Uchaguzi 2020 Biharamulo - Rusahunga Dkt. Magufuli aikacha Ngara, aelekea Kigoma

Hawa ni wapuuzi wapuuze tu
 
Watu wa rusahunga ange waambia nini juu ya ubovu wa barabara ya kutokea Nyakanazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sisi wasafiri wa mabasi, a delay of 3 hrs..!!! Standstil ya 3 hrs na unatakiwa kufika dar, aisee dat is hell delay dat u cant recover hata iwaje
 

Jirani yangu wewe kumbe
 
Jirani yangu wewe kumbe

Mkuu ni uzalendo tu hata Lupaso nilitingwa tu. Ila JKNIA na uhuru kwa Nkapa (rip) msema kweli mpenzi wa Mungu nilitia timu.

Kwa nini kusubiria kusimuliwa?

Kwanini kuandikia mate?
 
Mgombea wa CCM pale ngara ameshashinda anasubiri kuapishwa tu so kwenda kule ni kupoteza muda tu chama kwa sasa kimefokasi kwenye maeneo yenye upinzani zaidi.
Ccm kuna sehemu wanapata upinzani? Acha uongo mkuu
 
Bora akache tu , huko siyo rahisi kuwakusanya watoto wa shule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…