Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
huu uzi utafutwa muda si mrefu, na hivi mmiliki wa forum ni mkatolikiMambo ya mume wenu papa au kaa kwa kutulia kuku wewe
Ukatoliki unapingana na bibilia nzima
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Leo hii uislamu usingekuwepo duniani lakini Catholic ilizaa Islamic. Usidanganye watu.
Read thisTwo wrongs don't make one right. You too fallacy
Wadau hamjamboni nyote?
Niende kwenye mada Moja Kwa Moja
Bila Kanisa Katoliki:
Kanisa Katoliki kwa habari ya hapa Duniani ndiye Mlinzi Mkuu wa Ukristo. Kanisa Katoliki ndiye Msemaji Mkuu wa Ukiristo. Ili kupambana na kuufuta Ukiristo Duniani lazima kwanza yule adui apambane & kuushinda Ukatoliki. Mungu libariki Kanisa Katoliki.
- Ukristo usingeenea Duniani
- Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa
- Ukristo usingeheshimika
- UKRISTO ungefutika na dini ile nyingine ingetawala
Karibuni tujadili kwa hoja
NB: Lugha zisizo na staha hazikubaliki na ikibidi Uzi huu utafutwa
Soma hoja iliyowasilishwa kwa umakini na kisha ndiyo uchangie
Tupe ushahidi wa Roman Catholic ilitengeneza uislamu?Mngekuwa mnatofautisha Catholic Churches na Roman Catholic Church Mngekuwa ktk mstari, sasa mnapuyanga tu kujadili msichokielewa.
Catholic haikuzaa uislam, Ila Roman Catholic ilitengeneza na kuuboresha uislam kwa manufaa yao.
Kasome historia vzr nani alikuwa anaua wakristoWasabato watapinga!
Tungekuwa na hali mbaya sana. Hii nyumba ya Ibada mimi naiheshimu mno!Wadau hamjamboni nyote?
Niende kwenye mada Moja Kwa Moja
Bila Kanisa Katoliki:
Kanisa Katoliki kwa habari ya hapa Duniani ndiye Mlinzi Mkuu wa Ukristo. Kanisa Katoliki ndiye Msemaji Mkuu wa Ukiristo. Ili kupambana na kuufuta Ukiristo Duniani lazima kwanza yule adui apambane & kuushinda Ukatoliki. Mungu libariki Kanisa Katoliki.
- Ukristo usingeenea Duniani
- Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa
- Ukristo usingeheshimika
- UKRISTO ungefutika na dini ile nyingine ingetawala
Karibuni tujadili kwa hoja
NB: Lugha zisizo na staha hazikubaliki na ikibidi Uzi huu utafutwa
Soma hoja iliyowasilishwa kwa umakini na kisha ndiyo uchangie
Huna hoja?Acha ushirikina wewe, Mungu ana njia nyingi
Muongo wa kiwango cha juu sana.Hili kanisa lilijaribu kufuta ukristo likashindwa, liliua watu mamilioni kwa mamilioni. Miaka fulani hapo kati papa aliomba radhi. Wadanganye wasiojua historia. Kuna watu walipata shida sana kusimamisha ukristo, akina Martin Luther wa kkkt
Katoliki baba lao, dini yenu mama lao.Mambo ya mume wenu papa au kaa kwa kutulia kuku wewe
Ukatoliki unapingana na bibilia nzima
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Akijibu nitagCatholic ilizaaje Uislam?
Ushahidi siweki, sasa unaamua nini na kidini chenu tayari ni kivuli cha ukatolikiWw jamaa mbona kama kichwani umejaza makamasi na mavi badala ya ubongo? kwani hapa tunabishana kuhusu nn hapa ?si ushahidi wa kihistoria unao dhibitisha hilo ?
Kwani ungeweka udhibitisho wa huo uharo wako ulio uandika haya mabishano yangekuwepo au yangeendelea?
Mbona huyo mleta mada ameaanzisha hoja na ameweka vielelezo vilivyo shiba kabisa mpaka ameeleweka?
Mtu mwenye akili ni yule anaye anzisha hoja na kuweka maelezo yanayo jitosheleza ili hoja yake ieleweke na kukubalika, na sio kuanzisha hoja ya kipumbavu na kilevi alafu unalazimisha watu wenye akili waiamini bila kuwawekea udhibitisho.
Kwani wewe unaamini Wakatolik ni wakristo?Muongo wa kiwango cha juu sana.
Wakatoliki walitaka kuufuta Ukristo!
Hiyo ipo wazi....ili uangamize Ukristo lazima uliangamize Kanisa Katoliki kwanza
Hakuna dini nyingineKatoliki baba lao, dini yenu mama lao.
Sio kuamini tu ninajua kwa uhakika kuwa Wakatoliki ni Wakristo na ni wamiliki halali wa biblia.Kwani wewe unaamini Wakatolik ni wakristo?
Siwezi kuingiza hapa huo ushahidi maadam bandiko halihusiani na hilo.Tupe ushahidi wa Roman Catholic ilitengeneza uislamu?
Hoja gani unataka?Huna hoja?
Toa hoja ya kukataa kuwa bila Wakatoliki Ukristo utapoteaHoja gani unataka?