EXODUS ZION
Member
- Apr 17, 2024
- 95
- 149
Wewe dini gani?Japo katika kujibu swali hili kutahitaji historia, naomba tujitahidi tusilete udini bali chanzo halisi cha mgogoro huu wa Palestina na Israel.
Ninachokijua kime-base kwenye dini na ndio maana nashindwa kukiweka hapa, nawaomba wataalamu wa Historia ya Israel na Palestina watusaidie, pia mtu yoyote aliye na uelewe wa haya mambo anaombwa achangie.
Mleta mada kasema tujiepushe na dini! Lau tukienda kidini KO ni round ya kwanza mbona.Ukienda kwenye dini au bila dini Palestine ndio wenye haki, kwenye dini hio ardhi ilijulikana kama ya watu wenye asili ya Canaanites ambao ni watu wa pale ni Lebanon, Jordan, Palestine na part ya Syria wa Israel wala hawana hata asili ya Canaanites wanajaribu kufake kama walivyo fake kujiita waIsrael. Hata Qur'an inawatofautisha kati ya Wayahudi.na Watoto wa Yakobo. Qur'an ina waita Bani Israel lakini Wayahudi inawaita Yahudi.
Ukienda kwenye nje ya dini Wapalestine walikuwepo hapo kabla ya hao Wayahudi ambao wanajiita Waisrael walivyo kuwa wizi wa history hawa.
Unajisumbua hakuna jibu sahihi popoteJapo katika kujibu swali hili kutahitaji historia, naomba tujitahidi tusilete udini bali chanzo halisi cha mgogoro huu wa Palestina na Israel.
Ninachokijua kime-base kwenye dini na ndio maana nashindwa kukiweka hapa, nawaomba wataalamu wa Historia ya Israel na Palestina watusaidie, pia mtu yoyote aliye na uelewe wa haya mambo anaombwa achangie.
NYIE jamaa elimu yenu sijui mliipata wapiUvamizi huu naona unapewa baraka na nchi nyingi za Magharibi, mfano Marekani ambaye yupo tayari hata kutuma ndege za kivita kupeleka huko Gaza.
Kweli ukikosa nguvu umekosa mengi, hautapata unachostahili bali kile kilichobakia, muda huu wa Palestina wanafukuzwa kwao na kufumuliwa makombora.
Maybe Heaven is asleep!
Shida ni kwamba nchi ikigawanywa Jerusalem inakuwa upande wa PalestineWote wabishi hawawezani bora nchi igawanywe kati kama North na south Korea kwa maandishi
Uungane na mvamizi? Israel waungane na Palestina kweli? Ni ngumu mno. Hapo inabidi wazitwange tu mpaka mvamizi atakapotoka kwenye ardhi ya mwenzie.Nini suluhisgo la mzozo huu??
Binafsi naona bora wangeungana ikawa nchi moja.
Wawe naserikali ya umoja
😂😂😂 Mmoja aliiba sio kuiba ani aliiba choteTukianza kupitia vifungu kwenye vitabu vya Kidini hapo tunaenda kinyume na Uzi, ukiachana na mambo ya dini, nani aliyemvamia mwenzie kati ya Israel na Palestina?
Ungekuwa umesaidia kama ungetoa hoja na sio sentensi moja ambayo hata ninavyojaribu kuisoma mara kadhaa naambulia patupu. Je, ni dhihaka, ujivuni, ufurahishaji genge au maamuzi binafsi? Bado sijaielewa reply yako.NYIE jamaa elimu yenu sijui mliipata wapi
Yakobo alikuwa ana watoto wakiume 12 wote kwa pamoja walikuwa wanaitwa Waebrania au Israelites.Ukienda kwenye dini au bila dini Palestine ndio wenye haki, kwenye dini hio ardhi ilijulikana kama ya watu wenye asili ya Canaanites ambao ni watu wa pale ni Lebanon, Jordan, Palestine na part ya Syria wa Israel wala hawana hata asili ya Canaanites wanajaribu kufake kama walivyo fake kujiita waIsrael. Hata Qur'an inawatofautisha kati ya Wayahudi.na Watoto wa Yakobo. Qur'an ina waita Bani Israel lakini Wayahudi inawaita Yahudi.
Ukienda kwenye nje ya dini Wapalestine walikuwepo hapo kabla ya hao Wayahudi ambao wanajiita Waisrael walivyo kuwa wizi wa history hawa.
Japo katika kujibu swali hili kutahitaji historia, naomba tujitahidi tusilete udini bali chanzo halisi cha mgogoro huu wa Palestina na Israel.
Ninachokijua kime-base kwenye dini na ndio maana nashindwa kukiweka hapa, nawaomba wataalamu wa Historia ya Israel na Palestina watusaidie, pia mtu yoyote aliye na uelewe wa haya mambo anaombwa achangie.
MIMI NAOMBA TU NISEME HIVI MWENYE KWAO NI KWAO PIAH WANASEMAGA GIZA HALIWEZI KUKUTISHA KWENU HATA LIWE GIZA LA AINA GANIJapo katika kujibu swali hili kutahitaji historia, naomba tujitahidi tusilete udini bali chanzo halisi cha mgogoro huu wa Palestina na Israel.
Ninachokijua kime-base kwenye dini na ndio maana nashindwa kukiweka hapa, nawaomba wataalamu wa Historia ya Israel na Palestina watusaidie, pia mtu yoyote aliye na uelewe wa haya mambo anaombwa achangie.
Hadi Karne ya 12 eneo lile liliitwa peleset , wakati wengine wakiita Canaan au promised land , peleset au Palestina ndio ilianza kabla ya unachokiita Israel , machapisho yapo maktaba mbalimbali hasa egyptKwa mara ya kwanza neno PALESTINA lilianza kuonekana kwenye kumbukumbu na official documents lini?
Similarly, when did the word ISRAEL appear for the first time in historical records and official communications?
Mahali pa kuanzia ni kwenye records za falme za Mesopotamia, Uajemi, Faraoh, Rumi, Ottoman, etc. the word ISRAEL imetokea mara nyingi mno. Tupatieni historical records za PALESTINE. Sizungumzii dini; mleta mada ametahadharisha!
Kwa hiyo huyo Mungu ni Biden ...Mungu akisema amesema. There is no going back.
"The days are coming,’ declares the Lord, ‘when I will bring my people Israel and Judah back from captivity[a] and restore them to the land I gave their ancestors to possess,’ says the Lord.”
Jeremiah 30:3 - The Restoration of Israel and Judah
For behold, the days are coming, declares the LORD, when I will restore from captivity My people Israel and Judah, declares the LORD. I will restore them to the land that I gave to their fathers, and they will possess it.'biblehub.com
Hahaha..sasa itaisha lini hii vita aseee??Uungane na mvamizi? Israel waungane na Palestina kweli? Ni ngumu mno. Hapo inabidi wazitwange tu mpaka mvamizi atakapotoka kwenye ardhi ya mwenzie.
Mwaka 1948 wakati Taifa la Palestine linaundwa je kuna wapalestina waliondolewa hilo eneo??Hadi Karne ya 12 eneo lile liliitwa peleset , wakati wengine wakiita Canaan au promised land , peleset au Palestina ndio ilianza kabla ya unachokiita Israel , machapisho yapo maktaba mbalimbali hasa egypt
Nimekupuuza, ulitakiwa ujenge hoja zako na uzitetee sio kuleta utoto wako kwa wanaumeHahahaa! Dah! Umejibu kishamba sana, kama vile jinsi ulivyo!
Karne ya 12 CE au BCE maana hampendi (AD/BC nowadays). Unazungumzia the recent past?Hadi Karne ya 12 eneo lile liliitwa peleset , wakati wengine wakiita Canaan au promised land , peleset au Palestina ndio ilianza kabla ya unachokiita Israel , machapisho yapo maktaba mbalimbali hasa egypt