Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

Kiufupi wenyeji wa hapo aswa hawajulikani maana hao wakuja hapo kwa maana ya waisrael na waarabu waliingia hapo kwa vita sana, kama muisrael aliambiwa kabisa awaue wenyeji bila kuwaacha hai hata mmoja, kwahiyo kwasasa wenyeji wamejichanganya miongoni mwa wapalestina wengine walikimbia kuokoa maisha yao , hivyo ndivyo mambo yalivyo
Aliambiwa wapi awauwe? Bring historical facts tuachane na dini. Mada ndivyo inavyosema.
 
Hadi Karne ya 12 eneo lile liliitwa peleset , wakati wengine wakiita Canaan au promised land , peleset au Palestina ndio ilianza kabla ya unachokiita Israel , machapisho yapo maktaba mbalimbali hasa egypt
Karne ya 12BC au CE, neno Palestina limetokana na neno Philisiti neno Peleset linatokana na Philisiti.

Kiarabu Wanaita Falestin/Filisiti sawa na Jamii ya Watu waliokuwa Wanaitwa Wafilisti ambao mmojawapo ni Goliath.
 
Hata ukienda kwenye dini, hilo eneo la palestina. Vitabu vya dini vinasema Israel ilitokana na mtoto wa Ibrahim aitwe isaka na Ibrahim pale alikuwa ni muamiaji tu ambaye aliwakuta wenyeji
 
Mungu wa Biblia
Basi umeenda kinyume na Uzi, ukiachana na mambo ya dini, ni nani aliyevamia ardhi ya mwenzie kati ya Israel na Palestina? Ukileta nukuu za Biblia zikipingwa kwa mistari ya Quran hautakiwi kubisha, neutral ground pekee ni pale tutakapojadili hii mada-Israel Vs Palestina bila kuleta udini na uhafidhina.
 
Israel alivamia eneo la mwenzake , na Israel imeundwa mwaka 1948 , wakati Palestina ilikuepo muda mrefu sana
Bado hujafuatilia historia ukaijua, hicho ulichoandika sivyo pale alirudi kwake... kasome historia yao
 
Basi umeenda kinyume na Uzi, ukiachana na mambo ya dini, ni nani aliyevamia ardhi ya mwenzie kati ya Israel na Palestina? Ukileta nukuu za Biblia zikipingwa kwa mistari ya Quran hautakiwi kubisha, neutral ground pekee ni pale tutakapojadili hii mada-Israel Vs Palestina bila kuleta udini na uhafidhina.
Wote wavamizi ni suala la kupokezana tu
 
Hilo linawaumbua sana! Kingdoms zote middle east zinafahamika; hapajawahi kuwepo kingdom yoyote related to kabila la mchongo Palestine.
Mbona waislamu wanalazimisha sana hiyo nchi ni ya wapalestina ili hali hata kingdom ya wapalestina hajawahi kuwepo hata mfalme mmoja wapalestina hawamjui?
 
Mimi niko kwenye majadiliano tayari, wewe lete ulicho nacho
Tupe mstari hata mmoja Allah anataja neno Palestina. Nami nitakuletea countless number of times akiitaja ISRAEL na nchi yao.
 
Hata ukienda kwenye dini, hilo eneo la palestina. Vitabu vya dini vinasema Israel ilitokana na mtoto wa Ibrahim aitwe isaka na Ibrahim pale alikuwa ni muamiaji tu ambaye aliwakuta wenyeji
Umeenda kinyume na sheria za Uzi, usitumie vitabu vya dini ili kuondoa mkanganyiko.
 
Tupe mstari hata mmoja Allah anataja neno Palestina. Nami nitakuletea countless number of times akiitaja ISRAEL na nchi yao.
Huku unakoenda wala si dhamira ya Uzi, jaribu kufuata utaratibu.
 
Ila kwa kweli mie kuna vitu vinanichanya sana, tuseme Kenya, Uganda na Tanzania wote weusi yaan African alafu gafla anatokea Mzungu anaanza kusema yeye ni Mzawa na ndio mwenye asili ya Tanzania, Hii inaingiaje akilini
Fafanua vizuri hoja yako utapata majibu mazuri.

Hiki ulichokiandika kirejeshe mashariki ya kati halafu maliza kwa kuuliza swali lako.
 
Uvamizi huu naona unapewa baraka na nchi nyingi za Magharibi, mfano Marekani ambaye yupo tayari hata kutuma ndege za kivita kupeleka huko Gaza.

Kweli ukikosa nguvu umekosa mengi, hautapata unachostahili bali kile kilichobakia, muda huu wa Palestina wanafukuzwa kwao na kufumuliwa makombora.

Maybe Heaven is asleep!
Tatizo wapalestina wa Gaza ni wakorofi, mbona wenzao wa kule Ramallah hawana chokochoko nyingi. Pia wakati wanaweka mipaka walikosea palestina kuweka pande mbili yaani kule ukingo wa magharibi na upande wa Gaza, ilipaswa wote wawekwe pamoja. Hao wa gaza kama vipi wapewe hifadhi hata hapo Jordan tatizo vichwa vyao vibovu kila mwarabu anawaogopa.
 
Back
Top Bottom