ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Unasoma ninacho andika? hata akitajwa mara 1000, nimesha kwambia toka juu huko waisrael na waarabu pale wote ni wavamiziTupe mstari hata mmoja Allah anataja neno Palestina. Nami nitakuletea countless number of times akiitaja ISRAEL na nchi yao.