Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

Japo katika kujibu swali hili kutahitaji historia, naomba tujitahidi tusilete udini bali chanzo halisi cha mgogoro huu wa Palestina na Israel.


Ninachokijua kime-base kwenye dini na ndio maana nashindwa kukiweka hapa, nawaomba wataalamu wa Historia ya Israel na Palestina watusaidie, pia mtu yoyote aliye na uelewe wa haya mambo anaombwa achangie.
Wewe dini gani?
 
Ukienda kwenye dini au bila dini Palestine ndio wenye haki, kwenye dini hio ardhi ilijulikana kama ya watu wenye asili ya Canaanites ambao ni watu wa pale ni Lebanon, Jordan, Palestine na part ya Syria wa Israel wala hawana hata asili ya Canaanites wanajaribu kufake kama walivyo fake kujiita waIsrael. Hata Qur'an inawatofautisha kati ya Wayahudi.na Watoto wa Yakobo. Qur'an ina waita Bani Israel lakini Wayahudi inawaita Yahudi.

Ukienda kwenye nje ya dini Wapalestine walikuwepo hapo kabla ya hao Wayahudi ambao wanajiita Waisrael walivyo kuwa wizi wa history hawa.
Mleta mada kasema tujiepushe na dini! Lau tukienda kidini KO ni round ya kwanza mbona.
 
Japo katika kujibu swali hili kutahitaji historia, naomba tujitahidi tusilete udini bali chanzo halisi cha mgogoro huu wa Palestina na Israel.


Ninachokijua kime-base kwenye dini na ndio maana nashindwa kukiweka hapa, nawaomba wataalamu wa Historia ya Israel na Palestina watusaidie, pia mtu yoyote aliye na uelewe wa haya mambo anaombwa achangie.
Unajisumbua hakuna jibu sahihi popote
 
Uvamizi huu naona unapewa baraka na nchi nyingi za Magharibi, mfano Marekani ambaye yupo tayari hata kutuma ndege za kivita kupeleka huko Gaza.

Kweli ukikosa nguvu umekosa mengi, hautapata unachostahili bali kile kilichobakia, muda huu wa Palestina wanafukuzwa kwao na kufumuliwa makombora.

Maybe Heaven is asleep!
NYIE jamaa elimu yenu sijui mliipata wapi
 
Nini suluhisgo la mzozo huu??

Binafsi naona bora wangeungana ikawa nchi moja.

Wawe naserikali ya umoja
Uungane na mvamizi? Israel waungane na Palestina kweli? Ni ngumu mno. Hapo inabidi wazitwange tu mpaka mvamizi atakapotoka kwenye ardhi ya mwenzie.
 
Kwani miaka 3000 iliyopita kulingana na historia Jerusalem ilikuwa mji mkuu wa taifa gani? Au tuseme suleiman Temple huyo Suleiman alikuwa kiongozi wa Taifa gani kulingana na history na hilo eneo liko wapi leo?
 
Ukienda kwenye dini au bila dini Palestine ndio wenye haki, kwenye dini hio ardhi ilijulikana kama ya watu wenye asili ya Canaanites ambao ni watu wa pale ni Lebanon, Jordan, Palestine na part ya Syria wa Israel wala hawana hata asili ya Canaanites wanajaribu kufake kama walivyo fake kujiita waIsrael. Hata Qur'an inawatofautisha kati ya Wayahudi.na Watoto wa Yakobo. Qur'an ina waita Bani Israel lakini Wayahudi inawaita Yahudi.

Ukienda kwenye nje ya dini Wapalestine walikuwepo hapo kabla ya hao Wayahudi ambao wanajiita Waisrael walivyo kuwa wizi wa history hawa.
Yakobo alikuwa ana watoto wakiume 12 wote kwa pamoja walikuwa wanaitwa Waebrania au Israelites.

Mataifa kumi yalichukuliwa uhamishoni wakati wa Uhamisho/Uvamizi wa Ashuru (Assyrians).

Makabila yalibaki ni Kabila la Yuda na Benjamin haya makabila mawali yakaunga yakaunda Dola inaitwa Judea.. neno Yahudi linatokana na (Yuda) na hii ni historical fact.

Tukizungumza Historia bila kuweka Quran (sababu sio historical text)

Sinwar kama Mpalestina historia yake haizidi vizazi 8 Hadi 10, Wapalestina wengi wameishi Hapo kwa Miaka karibu 400 tu, wakati wayahudi kabla ya mwaka 70AD Walioishi hapo kwa Miaka zaidi ya 3000.

Historia ya Palestina hata kwenye website yao inaanzia mwaka 1986.

Hata wakimzungumzia Yesu hawamtaji kama Myahudi wakati alikuwa Myahudi hawamtaji Daudi kama mfalme wa Dola ya Israel wakati alikuwa Mfalme wa United Israel kingdom.

Hakujawahi kuwepo taifa huru/Sovereign state au Ufalme wa Palestina ambao una Kiongozi wake.

logic ya madai ya Wapalestina Iko Lakini wote mnajaribu kuilezea kijinga au kwa hoja za kijinga
 
Japo katika kujibu swali hili kutahitaji historia, naomba tujitahidi tusilete udini bali chanzo halisi cha mgogoro huu wa Palestina na Israel.


Ninachokijua kime-base kwenye dini na ndio maana nashindwa kukiweka hapa, nawaomba wataalamu wa Historia ya Israel na Palestina watusaidie, pia mtu yoyote aliye na uelewe wa haya mambo anaombwa achangie.

Kabla ya 1948 kulikuwa na nchi ya Israel..
 
Japo katika kujibu swali hili kutahitaji historia, naomba tujitahidi tusilete udini bali chanzo halisi cha mgogoro huu wa Palestina na Israel.


Ninachokijua kime-base kwenye dini na ndio maana nashindwa kukiweka hapa, nawaomba wataalamu wa Historia ya Israel na Palestina watusaidie, pia mtu yoyote aliye na uelewe wa haya mambo anaombwa achangie.
MIMI NAOMBA TU NISEME HIVI MWENYE KWAO NI KWAO PIAH WANASEMAGA GIZA HALIWEZI KUKUTISHA KWENU HATA LIWE GIZA LA AINA GANI
 
Kwa mara ya kwanza neno PALESTINA lilianza kuonekana kwenye kumbukumbu na official documents lini?

Similarly, when did the word ISRAEL appear for the first time in historical records and official communications?

Mahali pa kuanzia ni kwenye records za falme za Mesopotamia, Uajemi, Faraoh, Rumi, Ottoman, etc. the word ISRAEL imetokea mara nyingi mno. Tupatieni historical records za PALESTINE. Sizungumzii dini; mleta mada ametahadharisha!
Hadi Karne ya 12 eneo lile liliitwa peleset , wakati wengine wakiita Canaan au promised land , peleset au Palestina ndio ilianza kabla ya unachokiita Israel , machapisho yapo maktaba mbalimbali hasa egypt
 
Mungu akisema amesema. There is no going back.

"The days are coming,’ declares the Lord, ‘when I will bring my people Israel and Judah back from captivity[a] and restore them to the land I gave their ancestors to possess,’ says the Lord.”
Kwa hiyo huyo Mungu ni Biden ...
 
Uungane na mvamizi? Israel waungane na Palestina kweli? Ni ngumu mno. Hapo inabidi wazitwange tu mpaka mvamizi atakapotoka kwenye ardhi ya mwenzie.
Hahaha..sasa itaisha lini hii vita aseee??
 
Hadi Karne ya 12 eneo lile liliitwa peleset , wakati wengine wakiita Canaan au promised land , peleset au Palestina ndio ilianza kabla ya unachokiita Israel , machapisho yapo maktaba mbalimbali hasa egypt
Mwaka 1948 wakati Taifa la Palestine linaundwa je kuna wapalestina waliondolewa hilo eneo??
Au lilikuwa halina mtu?
 
Hadi Karne ya 12 eneo lile liliitwa peleset , wakati wengine wakiita Canaan au promised land , peleset au Palestina ndio ilianza kabla ya unachokiita Israel , machapisho yapo maktaba mbalimbali hasa egypt
Karne ya 12 CE au BCE maana hampendi (AD/BC nowadays). Unazungumzia the recent past?

Roma haijaanza kujengwa (740 BCE), Jerusalem imesimama watu wanakula maisha unatuletea stori za juzi hapa hadi Oxford wanatoa degrees?

Tunazungumzia mambo ya kale mzee.
 
Back
Top Bottom