Bila kupepesa macho, Ni member gani haumkubali humu JamiiForums

Ila we jamaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mkuu kama wewe ni kiongozi naomba tuongee P.M unisaidie laki moja
 
1. mshana jr anapenda kusifiwatuu ukimtikisa kidogo anakufuata pm kukutukana😁😁mnafiki kweli huyu jamaa na muongo akiona vitu mitandaoni anakuja kuposti jf ili aonrkane mwamba

2.luca mbwa washamba anasifia ujingatuu hela yabando yenyewe inamsumbua.kanachonikera kanajiona kaposahihi mudawote kanaposifia hakapendi kupingwa

sijui kakipata cheo katakua kajitu kanamna gani😕😕kataua na kuteka watu sana kanaroho mbaya

3.tlaatlaa.huyu mjinga sasahivi sisomagi hata post Wala coment zake jinga sana hili toto
kazi kusifiatu mmmmmmmae zake
 
Hakuna aisee, umezidi uchawa, hata hivyo huwa naheshimu ustahimilivu wako pale members wanaposhindwa kujizuia na uchawa wako na kujikuta wakikuporomoshea matusi, mara zote umekuwa muungwana, huwa unawajibu kistaarabu, ila katika watu wanaochukiwa hapa jf wewe unaweza kuwa #2 na #1 akabakia nayo Tlaatlaah
 
Toka hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…