Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Pendeni na maadui zenu
katika Mt.5:44 imeandikwa ,
Lakini mimi namwambia, wapendeni adui zenu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pendeni na maadui zenu
Hakika mkuukatika Mt.5:44 imeandikwa ,
Lakini mimi namwambia, wapendeni adui zenu..
👊💪Hakika mkuu
👊💪Wote nawakubali
Unaweka kambi halafu hutazami🫠
Kiroho na kiimani ila sii katika maovu yao🤔katika Mt.5:44 imeandikwa ,
Lakini mimi namwambia, wapendeni adui zenu..
Ila we jamaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ipo siku utabubujikwa na machozi yasiyokatika ya Majuto ya kwanini ulinichukia mpaka kuniandika humu jukwaani kuonyesha chuki yako kwangu.Hii ni kwa kuwa mimi ni msema kweli Daima. wapo wengine walikuwa kama wewe lakini Mwisho wa siku baada ya kujuwa UKWELI walilia kilio kikali sana cha uchungu mpaka nguo zao zikaloa kwa machozi utafikiri walikuwa wanaoga na nguo vichakani
Mkuu kama wewe ni kiongozi naomba tuongee P.M unisaidie laki mojabinafsi napendwa kuchukiwa kwasabb sintasahaulika hata nikitangulia mbele ya haki 🐒
hata hivyo,
siwezi mchukia mwana familia yoyote wa JF, platform ambayo naipenda, naiheshimu na kuikubali sana kwasabb yoyote ile. iwe nimetukanwa au kuitwa majina mabaya....
By the way uongozi ni jalala. Na kwahivyo mazuri na ya hovyo Lazima uwe na uwezo wa kuyabeba 🐒
Akikusaidia leta ushahidi wa screenshots nimrefund 200kMkuu kama wewe ni kiongozi naomba tuongee P.M unisaidie laki moja
Hakuna aisee, umezidi uchawa, hata hivyo huwa naheshimu ustahimilivu wako pale members wanaposhindwa kujizuia na uchawa wako na kujikuta wakikuporomoshea matusi, mara zote umekuwa muungwana, huwa unawajibu kistaarabu, ila katika watu wanaochukiwa hapa jf wewe unaweza kuwa #2 na #1 akabakia nayo TlaatlaahIpo siku utabubujikwa na machozi yasiyokatika ya Majuto ya kwanini ulinichukia mpaka kuniandika humu jukwaani kuonyesha chuki yako kwangu.Hii ni kwa kuwa mimi ni msema kweli Daima. wapo wengine walikuwa kama wewe lakini Mwisho wa siku baada ya kujuwa UKWELI walilia kilio kikali sana cha uchungu mpaka nguo zao zikaloa kwa machozi utafikiri walikuwa wanaoga na nguo vichakani
Toka hapaIpo siku utabubujikwa na machozi yasiyokatika ya Majuto ya kwanini ulinichukia mpaka kuniandika humu jukwaani kuonyesha chuki yako kwangu.Hii ni kwa kuwa mimi ni msema kweli Daima. wapo wengine walikuwa kama wewe lakini Mwisho wa siku baada ya kujuwa UKWELI walilia kilio kikali sana cha uchungu mpaka nguo zao zikaloa kwa machozi utafikiri walikuwa wanaoga na nguo vichakani
ukiwa na adui jf jua umeanza kuwa chizi!Pendeni na maadui zenu
Watu weuweeeee..!🤸🥸ukiwa na adui jf jua umeanza kuwa chizi!
niongeze sauti au niminye..?😃Watu weuweeeee..!🤸🥸
Ongeza backbenchers wasikieniongeze sauti au niminye..?😃
sawa kuwa tayari tu kwa kupigwa na viatu vya bichwa...😂Ongeza backbenchers wasikie