Bila shaka tumepata picha kamili, uvunjifu wa haki huzalisha chuki ya kudumu

Bila shaka tumepata picha kamili, uvunjifu wa haki huzalisha chuki ya kudumu

Ukienda South Africa hii leo ukakutana na ndugu wa Steven Biko na ukafanya nao mazungumzo lazima watakuambia kweli kuwa kuna kovu kubwa ndani ya mioyo yao.

Maana ndugu yao aliuawa bila hatia na utawala dhalimu wa makaburu. Tena aliuawa kifo kibaya. Huu ni mfano tu ambao unaonesha namna gani ukiukwaji wa haki za binadamu unaweza kuzalisha chuki ya kudumu.

Kwa hapa Tanzania kuna chuki kubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania hasa baada ya Tundu Lissu kumiminiwa risasi zaidi ya 33 kama vile yeye sio binadamu. Maana ni tukio ambalo kila mtu haamini kuwa anaweza kufanyiwa binadamu aliyekuwa anahoji masuala ya msingi juu ya taifa lake.

My take: Taifa linalotenda haki humuinua Mungu.
Nyingine hii ya kipuuzi
 
Umetoa mfano wa Lissu ambaye alikuwa hapa nchi kwa zaidi ya miezi 3 akasepa kwa njia ya kihuni. Kwa nini unamsemea wakati muda aliokuwepo hapa angefuatilia upelelezi wa shambulio dhidi yake?

Rejea kauli zake kwenye majukwaa ya kampeni, je, ziligusa kushambuliwa kwake zaidi ya kufitinisha Rais aliyeko madarakani na jamii. Huoni yeye Lissu ndiye mwenye silika ya visasi?
Humu hawaruhusu matuso,ila unastajili kabisa! Kenyelo kyako!
 
Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Ndugu unajidanganya. Sikuamini kama awamu ya mitano tena imesinyaisha mioyo ya watu, tusubiri Tuone. Sijui hii chuki imetoka wapi!?
 
Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Tuwekee ushahidi ulionao nasi tuushuhudie.

Wewe umeona nini huko mitaani kunakokufanya kuwa "safi mno"?
-----------------------
Halafu angalia ulivyo mpuuzi:

"Chuki zao wanaziexpress humu mitandaoni - HAWATHUBUTU"!

Hao watu wa mitaani hawana chuki kwa vile HAWATHUBUTU kuzionyesha huko mitaani?

Hiyo ndiyo maana yako ya kutokuwepo chuki huko mitaani?
 
upuuzi huu huu ndio mlioufanya wakati wa uchaguzi mkuu mkiamini humu mitandaoni kuwa lissu anashinda na mtaani pia hivyo hivyo. mwisho wa siku lissu kapata kura mil 2. sasa watu wa mitandao wanamchukia jpm basi wanahisi huko mtaani nako hivyo hivyo
Eeenh,

Kuhangaika kote kule na vijiswali vya kipuuzi hitimisho lake ndilo hili la "uchafuzi" na uharibifu wa kura za wananchi?
 
Duh Lissu ndio afuatilie uchunguzi wa shambulio? Hvi Magufuli akitukanwa mitandaoni huwa anaenda kusimamia physically uchunguzi hadi wachochezi wakamatwe?

Ni kwanini majukumu ya DPP/DCI ama forensic investigators umpatie Lissu kana kwamba ni suala binafsi?

Ina maana kma Lissu Angekufa basi uchunguzi haufanyiki sababu tu mhanga hayupo kutoa ushahidi?

Sikutegemea msomi kma ww uje na argument ya hivi!! Kweli mnaacha taaluma ili ku justify upuuzi wa mtu mmoja tu?

Nadhani wewe umenijibu, nyuma ya pazia, una lako jambo, ambalo bila shala ni lengo la kisiasa kama ambavyo Lissu alilifanya la kisiasa akiwa nje.

Shambulio lilikuwa dhidi ya maisha yake. Alipokuwa nje ya nchi lilikuwa ni agenda yake kuu. Vipi arudi nchini alikoshambuliwa awe kimya, wakati alikuwa akidai anawajua waliomshambulia? Akili kichwani.
 
Kuanzia lini muhanga wa shambulio akafanya upelelezi na polisi kazi yao nini. Hivi wako watanzania bado wajinga kama wewe kweli katika hii karne.
Bora niwe mjinga kuliko kuwa lofa ns mpumbavu, mithili ya nyumbu.

Haiingii katika akili aliyeshambuliwa anadai, nje ya nchi, kuwa anawajua waliomshambulia. Anarudi nchini hachukui hatua yoyote kusaidia upelelezi. AKILI ZA KUUNGANISHA
 
Unaposema amesepa kihuni kuna mtu anamdai? Au umeona lisu analo jeshi la kupeleleza? Utumie akili kujibu hija Lissu.
Lissu ni mwanasheria nguri anayejua jinsi ushahidi unavyopatikana. Shambulio lake anajua mwenyewe na ndio maana analizungumzia kisiasa. AKILI KICHWANI
 
magufuli kachafua sana.nchi hii na kujenga chuki kubwa miongoni wa watanzania ndo maana watu wanafurahi afe kwa faida ya walio wengi
 
Ficha ujinga wako wew kibwetele.
Subiria mama yko apigwe risasi ndio uharishe hyo maneno mdomoni mwako. Taifa bado lina watu wajinga sana wa aina yako
Umeonesha kiwango chako cha utoto na siyo ujana. HONGERA
 
Back
Top Bottom