Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Adi CCM wezi bila kuiba hutoboi
 
Mbona sijawahi kuyaona Kwa Mark Zuckerberg,Jeff bezos, warren Buffett,amancio Ortega, Bernad arnault, Elon musk , Na matajiri wengine.


Matajiri wengi wa bongo Hela zao ni za makando kando lazima uwe na roho mbaya
Hao jamaa kina zucker etc biashara zao ni za uvumbuzi sasa huku kwetu uchuuzi wa bidhaa kila mtu anafanya lazima kona kona zihusike
 
chai
 
Mbona sijawahi kuyaona Kwa Mark Zuckerberg,Jeff bezos, warren Buffett,amancio Ortega, Bernad arnault, Elon musk , Na matajiri wengine.


Matajiri wengi wa bongo Hela zao ni za makando kando lazima uwe na roho mbaya
Je mazingira ya bongo ni rafiki kwa wewe kuwa tajiri?

Maana nahakika mazingira ya bongo na mifumo ingekuwa kama ya ulaya huenda leo afeica ingekuwa kinara kwa mabilionea
 
duh! Huyu naye au ni utajiri wa
 
halafu chakula cha home hakinaga mazingaombwe
 
Pole mkuu hayo yapo dunia hii ina vita kali sana
 
Nionyeshe kwenye Quran walipoeleza namna ya kuwa tajiri
 
Huu sasa ni uongo
 
Mbona mm nipo hivyo na sio tajiri
 
Maskini tuna story nyingi sana za utajiri na matajiri kwenywe vijiwe vya kahawa.
 
Si useme kwa sentence moja sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…