Bilioni 1.6 imeibiwa ndani ya miezi miwili na Waziri wa Fedha Mwigulu yupo!

Mna ushahidi kua ameiba? Acheni upotoshaji. Mwigulu piga kazi kivyovyote piga kazi.
Kuna mawili hapa ndugu ambayo kwa bahati mbaya yote si mazuri kwa Mwigulu,

1. Anahusika kweli na alijua kinachoendelea of which lazima awajibike

2. Hata kama hakuhusika moja kwa moja ila kwa kuwa ubadhilifu huu umetokea ofisini kwake na hakuchukua hatua yoyote hadi waziri mkuu kaugundua ni udhaifu kama waziri anatakiwa awajibike
 
Hoja ni wizi ama hoja ni Mwigulu?

Wapinzani wa mwigulu naona mmepata kijisababu cha kuropokea.

Mwigulu bado yupo sana. Mind you Mwigulu atakuja kua prime minister wa nchi hii ama Rais.
 
Mwigulu ni jangili kama majangili mengine
 
Binafsi nashangaa na hadi sasa huyo waziri alitakiwa awe pembeni akipisha uchunguzi huru.
Nani kakwambia bongo kuna ministerial au collective responsibility kwa hawa wachumia tumbo mkuu
Haiwezekani kamwe kutema posho na marupurupu wanayo pata + many privilege
 
Mama anavyomuacha mwigilu ofisin kwa Muda ndio anazidi kummaliza kabisa amuondoe haraka Sana
 
Nani kakwambia bongo kuna ministerial au collective responsibility kwa hawa wachumia tumbo mkuu
Haiwezekani kamwe kutema posho na marupurupu wanayo pata + many privilege
Hilo ni gonjwa sugu kwa viongozi wetu wa Afrika
 
Wizi huu mkubwa uliofanyika Katiba Mkuu wa wizara ya fedha akiwa Doto James. Ninashauri Doto James akamatwe na afukuzwe kazi huko aliko hamishiwa soon.
 
Labda kuwepo kwake ndio tumegundua imeibiwa unless otherwise tusingejua....

Just Saying.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…