Bilioni 1.6 imeibiwa ndani ya miezi miwili na Waziri wa Fedha Mwigulu yupo!

Bilioni 1.6 imeibiwa ndani ya miezi miwili na Waziri wa Fedha Mwigulu yupo!

Mwigulu amekaa kipigaji pigaji sana na kumbuka enzi za Jk alikuwa naibu Waziri wa fedha, kipindi hicho watu wanabeba pesa kwenye Viroba wakina Mama Tibaijuka na Mzee wa Vijisent.

Upigaji pale lazima uwe mkubwa sana Mwigulu sijui amefika fika vipi pale.

Tutarajie upigaji wa kutisha awamu hii ingawa hata kwa mwenda zake bado watu walipiga
 
Bado huu uzi ni sehemu tu ya zile nyuzi za majungu.

Naamini serikali ni moja na alichofanya waziri mkuu ni sehemu ya maamuzi ya pamoja ya baraza la mawaziri.

Takukuru kupewa kazi ya kushughulika na kadhia hii ni maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.
 
Mwigulu ni mpigaji sana tarajia upigaji wa kutisha hapo Wizarani
 
Huyu jangili bado anazindi ku- survive
Kwenye wizara nyeti kama hyo.
In short hii wizara aliitaji the political economy
Kama Madilu nchemba
 
Aafu umkimdeki tu ,sura yake imekaa kama si mlevi ni mvuta bangi.nikimuaminia sana katika utendani wa kazi maana alikuwa yupo straight forward ,itakuwa amepitiwa na shetani unajua hela na yeye kaanza kuikimbiza zamani.Huwezi juwa.
 
Wakijaribu kufatilia kipindi cha Kayafa ni nyingi mno zimepigwa.
 
Mwigulu amekaa kipigaji pigaji sana na kumbuka enzi za Jk alikuwa naibu Waziri wa fedha, kipindi hicho watu wanabeba pesa kwenye Viroba wakina Mama Tibaijuka na Mzee wa Vijisent.

Upigaji pale lazima uwe mkubwa sana Mwigulu sijui amefika fika vipi pale.

Tutarajie upigaji wa kutisha awamu hii ingawa hata kwa mwenda zake bado watu walipiga
Sasahivi wanapakuwa haswa mkuu
 
Kwa haraka haraka ni kwamba kuwa na nyadhifa serikali ya Tanzania halafu usipige fedha za umma ni kama mwiko.
Ukiangalia kwa jicho la tatu mtu akipewa nafasi anamshukuru mungu, kuwa sasa nami zamu yangu kwenda kula mema ya nchi.
 
Kama anamuonea aibu kumpiga chini ,Ampeleke wizara ya utamaduni uko
 
Lile ni genge la majangili haswa
Mm nashangaa sana ninapomuona kijana anajikaza ukifika uchaguzi anaenda kupiga kura ccm huwa najiuliza anakua na malengo gani haswaa wallah, maana mzee siwezi kumlaumu kutokana na umri naweza kusema taari amezeeka ila kijana ambae anategemea better life anategemea ajira, anategemea njia nzuri za kujiajiri [emoji848]
 
Mwigulu tusimchukie tuwe wawazi huyu jamaa hakuwepo wakati pesa hizi zinachotwa alikuwa hajakabidhiwa ofisi

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
 
Tunasubiri mabadiliko saa 8 usiku....Meigulu hayupo team Mama yeye ni Mataga....hakumkubali Mama kama Mwana Kamati kuu mmoja ambae amepewa RC ili kumtoa ndani CC...maana aliubgana na Bashiru kumkataa Mama....hadharani...
 
Mwigulu amekaa kipigaji pigaji sana na kumbuka enzi za Jk alikuwa naibu Waziri wa fedha, kipindi hicho watu wanabeba pesa kwenye Viroba wakina Mama Tibaijuka na Mzee wa Vijisent.

Upigaji pale lazima uwe mkubwa sana Mwigulu sijui amefika fika vipi pale.

Tutarajie upigaji wa kutisha awamu hii ingawa hata kwa mwenda zake bado watu walipiga
Binadamu anatamaa ni asili yake, kuzibiti wizi ni lazima kuweka mifumo ya kieletroniki ambayo mtu mmoja akitoa,kulipa au kulipwa basi viongozi wa juu wote wanapata taarifa, na njia rahisi na ya muda mrefu na yenye mafanikio ni democracia huru na Vyombo Vya Habari Vya uchunguzi viwe huru ili kutoa taarifa kama hizo kwa jamii na kuwafutalia watumishi wa umma mali zao na uwajibikaji wao ktk kazi.
 
Mbona Mwigulu anapigwa vita hivi ? Hawezi kataka uraisi wakati anajua mama yupo

mama katika baraza laki la mawaziri Mwigulu na Majaliwa were the bestest choice , wapinzani wake wanamchafua
 
Nipende kukuhakikishia tu kuwa Maderu huu ndiyo mwisho wake hapo wizarani
Ni kwa sababu hakuna watu wenye nia njema. Wamejazana wanafiki na mazandiki tu. Tena sina tatizo na mtu ila nataka ukweli bila hila wala unafiki. Mnaweza kumfanya lolote kwa hidden agendas lakini si suluhisho la giza tulilomo na tunakoelekea.
 
Wizi huu umeanza kutekelezwa zaidi ya siku 50 zilizopita. Mfumo wa ulipaji serikalini hasa kwa viwango vya mamilioni kama hivi ni computerised/electronic. Kwa hivyo ni mfumo ulio wazi kwa viongozi wote wizarani kuona kinachoendelea 24x7 na kuchukua hatua proactively. Tunahitaji mawaziri wakakamavu style ya kalemani na siyo wanasiasa kama mwigulu ambao kazi yao kubwa kupiga vijembe wapinzani bungeni. The buck must stop at the minister - mwigulu nchemba.
 
Mm nashangaa sana ninapomuona kijana anajikaza ukifika uchaguzi anaenda kupiga kura ccm huwa najiuliza anakua na malengo gani haswaa wallah, maana mzee siwezi kumlaumu kutokana na umri naweza kusema taari amezeeka ila kijana ambae anategemea better life anategemea ajira, anategemea njia nzuri za kujiajiri [emoji848]
Balaa tupu
 
Kumbe hata Wizara ya pesa kuna mchwa kama halm! Mh naomba mpe pm mamlaka ya kufukuza watu akusaidie.
 
Back
Top Bottom