Sasahivi wanapakuwa haswa mkuuMwigulu amekaa kipigaji pigaji sana na kumbuka enzi za Jk alikuwa naibu Waziri wa fedha, kipindi hicho watu wanabeba pesa kwenye Viroba wakina Mama Tibaijuka na Mzee wa Vijisent.
Upigaji pale lazima uwe mkubwa sana Mwigulu sijui amefika fika vipi pale.
Tutarajie upigaji wa kutisha awamu hii ingawa hata kwa mwenda zake bado watu walipiga
Lile ni genge la majangili haswaHakuna ccm msafi, yaani mtu anaondoshwa wizara hii anaenda kuekwa nyengine, alaf tutegemee maendeleo yatabadilika na kuwa mazuri? Kikundi cha wahuni tu
Mm nashangaa sana ninapomuona kijana anajikaza ukifika uchaguzi anaenda kupiga kura ccm huwa najiuliza anakua na malengo gani haswaa wallah, maana mzee siwezi kumlaumu kutokana na umri naweza kusema taari amezeeka ila kijana ambae anategemea better life anategemea ajira, anategemea njia nzuri za kujiajiri [emoji848]Lile ni genge la majangili haswa
Binadamu anatamaa ni asili yake, kuzibiti wizi ni lazima kuweka mifumo ya kieletroniki ambayo mtu mmoja akitoa,kulipa au kulipwa basi viongozi wa juu wote wanapata taarifa, na njia rahisi na ya muda mrefu na yenye mafanikio ni democracia huru na Vyombo Vya Habari Vya uchunguzi viwe huru ili kutoa taarifa kama hizo kwa jamii na kuwafutalia watumishi wa umma mali zao na uwajibikaji wao ktk kazi.Mwigulu amekaa kipigaji pigaji sana na kumbuka enzi za Jk alikuwa naibu Waziri wa fedha, kipindi hicho watu wanabeba pesa kwenye Viroba wakina Mama Tibaijuka na Mzee wa Vijisent.
Upigaji pale lazima uwe mkubwa sana Mwigulu sijui amefika fika vipi pale.
Tutarajie upigaji wa kutisha awamu hii ingawa hata kwa mwenda zake bado watu walipiga
Ni kwa sababu hakuna watu wenye nia njema. Wamejazana wanafiki na mazandiki tu. Tena sina tatizo na mtu ila nataka ukweli bila hila wala unafiki. Mnaweza kumfanya lolote kwa hidden agendas lakini si suluhisho la giza tulilomo na tunakoelekea.Nipende kukuhakikishia tu kuwa Maderu huu ndiyo mwisho wake hapo wizarani
Balaa tupuMm nashangaa sana ninapomuona kijana anajikaza ukifika uchaguzi anaenda kupiga kura ccm huwa najiuliza anakua na malengo gani haswaa wallah, maana mzee siwezi kumlaumu kutokana na umri naweza kusema taari amezeeka ila kijana ambae anategemea better life anategemea ajira, anategemea njia nzuri za kujiajiri [emoji848]