Sergeant Stonebridge
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 479
- 4,894
"hatuamini tena kama sisi tunaweza kukua pamoja kama wenzi katika awamu hii inayofuata ya maisha yetu"
Maneno mazuri yenye busara
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Hatutaki vya bure. Pesa tutaipata kwa kufanya kazimmojawapo aje kwenu gongolamboto awajaze mahela
Hehehe kiwanja kimoja town DSM hapo. Nenda pale na dollar kadhaa Sat night ndo utagundua upo kwenye mahusiano ambayo hujui yanahusiana na nini.
Bora hata hawa wana cha kugawana.huku kazini ni vituko.mke anataka kagawana kiwanja basi kiko mlimani hata mil 2 hazifiki ila ndo hivyo tena kesi iko mahakamani. Hapo hapo wana watoto[emoji23][emoji23]
56 anapelekeka moto vizuri tu! Sema naamini hawazi tunavyowaza, mawazo yetu kibongobongo ana kibenten kinataka kipeleke moto, kumbe wenzetu wapo real tu.
Hapo sasaSasa wana achana wanaenda wapi nao sasa
Hawaii hii hii ya Manzese ya kunywa gongo ?
Mkuu umenichoka.
Hapo sasa
Wewe unahisi wanaenda wapiSasa wana achana wanaenda wapi nao sasa
KolomijeWewe unahisi wanaenda wapi
Ha haa wasukuma wamekufanya nini mkuu?Alisikika msukuma mmoja akiongea kwa sauti huku akila matobolwa.
So wacha tukomae kutafuta hela zetu thenMwanamke akishashika hela ndefu anakuwa haoni haja ya kuwa na mwanaume tena
na mm nimehisi kabisa kuwa mark zuberg is nextHapa Wamebaki Wajuba Wa3 Tu [emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 1772994
Dah....inasemekana ndoa ya mwamba ilianza kulegalega tangu mwaka 2017 alipotembelea Tanga. Sijui alionja nini huyu mwamba pale Tanga hadi vikamchanganya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Conspiracy theory mapenzi ni kama litmus paper Leo blue kesho red
Umesahau ya BENPOL?SEPARATION YENYE BENEFIT
SIO ZA HUKU BONGO