Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Evidence na study zipo tu Mbona. Mfano Taurat, zaburi na Injili vipo kwenye Quran na ukatoliki umekuwepo kabla ya uislamu, pia nchi zote za kiislamu zilikuwa ni za kikatoliki kabla ya uislamu kuenezwa kwa upanga.
 
Hivi kwanini Wakimbizi wengi wanaotokea Afghanistan, Iran, Syria n.k hukimbilka nchi za Magharibi kama Ulaya na USA badala ya nchi za kiislamu kama Saud Arabia, Indonesia, Quarter n.k?

Kuna siri gani haswa hapo Chifu?
 
Mkuu wewe unasemaje kuhusu Uyahudi ni kabila au dini ?

Uyahudi ni kabila, Dini na sasa ni TAIFA.
Katika kabila la Yuda waliitwa wayuda ambao ni ufalme wa Kusini kama sijakosea. Kipindi wamechukuliwa uhamishoni ndio jina Wayahudi lilianza kutumika. Wakimaanisha Wana wa Yuda(Wayuda, Yehuda Kwa kiebrania)
Baadae dini Yao ikaitwa Uyahudi kutokana na desturi zao
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndio maana nikasema hapo ndipo baadhi yenu mnapokosea,

Dini yoyote lazima iwe na Siku ya Ibada katika wiki
Nenda kasome Torati ambaYO Mnaiamini utaona Siku ya Ibada ni ipi?

Alafu tofautisha Swala tano na siku ya Ibada.
Kamuulize Mwalimu wako akufundishe vizuri akuambie Kwa nini Waislam wanaabudu katika siku ya ijumaa.

Alafu ukirudi uje tujadili
 

Embu nitajie mungu wa Torati aliagiza siku gani iwe ya Ibada alafu uje kwenye Mungu wa Quran yeye anasema siku ipi ni yaibada.
Hyo ni mfano mmoja tuu Kati ya mingi itakayokuamsha usingizini kuwa hao ni miungu wawili tofauti kabisa, mbingu na Ardhi.

Nakusubiri unitajie Kwa reference, ukishindwa nitakusaidia
 

Nitajie sheria kuu 10 za Allah
Kisha linganisha na sheria kuu 10 za Yehova uone Kama zinafanana?
Alafu ukirudi tuendelee na mjadala
 
Kama wanasema ni kitabu Chao wakifwate , sio kukitoahoa. Kamwe hawawez kubadili maandiko ya quran
 
Yesu sio, Mungu.

Mungu ni mmoja tu na hakuna anayefafana naye
mkuu nimeshangaa kuambiwa kua yes ndio mungu duh. ila uzuri maandiko yanasema atakuja kuwakana kua yeye sio mungu walikua wanafanya makosa kumwabudu.
 
Ikiwa wewe unaona ni mungu tufauti ...kama nilivyosema haya ni mambo ya kiimani halazimishwi mtu, ukitaka kuchambua kukinzana kwa aya zilizopo kati ya vitabu vyenu vya sasa na Quran ni kweli utakuta tofauti nyingi na ndo maana sisi hatufuati hizo modified copies. Mi sikulazimishi na wala wewe usinilazimishe. Turudi kwenye mambo ya Qatar ndo mada ya leo.
 
mkuu nimeshangaa kuambiwa kua yes ndio mungu duh. ila uzuri maandiko yanasema atakuja kuwakana kua yeye sio mungu walikua wanafanya makosa kumwabudu.
Ni vichwa maji...

Wanasema mke ni mmoja tu. Wana vimada kibao
 
Tatizo hujui halafu unajifanya unajua...kwanza kwa muktadha wa uislam hata kula na usingizi ni ibada,wewe hiyo ijumaa ni siku ya kuabudu kwa waislam umetoa wapi!?..ilhali kila siku unasikia adhana asubuhi,mchana, alasiri,jioni na usiku kwamba waislam wanaitana Ibadan!?..Kama una hamu ya kuuongelea uislam (Jambo ambako umeonesha hivi karibuni) basi nakushauri ungejifunza kwanza uislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…