Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
kwasababu rais ni mwanamke, ilitegemewa huyu rc awe gerezani hadi sasaivi. kweli wanawake huwa hawateteani. ndio maana tutawatawala milele.Sasa na yeye apewe million 35 au mpaka akaokotwe Katavi?
Huna ulijualo ktk mapenzi hayo,hao unaowaita smart ndio wanaongoza ktk hiyo michezo.kuta za chumba zinaficha siri nyingi.Mara zote nimekuwa nikisema, mtu anayelawiti watu na anayelawitiwa, ukiwaangalia tu hata sura zao na mionekano yao , haiba zao, huwa inaonesha kwamba, wanaweza kufanya hivyo bila ya maswali mengi!
Usiniulize suala la mfilaji kuwa na pesa nyingi!
Pesa hazinaga uchaguzi wa sura! Popote huwa zinaenda, ila ufilaji na ufilwaji, huendana na mwonekano, mtu smart bonge la mtu, bonge la sister, hawawezi kufanya upumbavu huo, uchafu humfuata mtu mchafu!
Kwa maelezo ya binti hawajawahi kushiriki tendo nae kabla na walikosana kwa sabab RC alitaka kumlawiti toka awali..sikiliza vizuri, yeye RC ndie amemrubuni huyu mtoto. kwa cheo, hadhi na pesa.cha muhimu wanaume tumwogope Mungu, tuache uzinzi na tujiheshimu. imagine, binti wa 21 years anamwita huyo phd hold "namwanda", anamwona wapo sawa tu kiumri, wakati wewe unahangaika ukienda pale unamwitha "MHESHIMIWA MKUU WA MKOA", kabinti kama haka kanamwona namwanda tu, kwasababu wameshaonana sehemu za siri. imagine binti mdogo kama huyu alikuwa anashida korodani za mtu kama babake, anaona hadi makalio yake, si wapo uchi na kamesema kalikuwa kapenzi kake kitambo tu. kwanini tunapenda kupoteza heshima yetu kirahisi namna hii? kweli binti kama huyu aone korodani zangu, anione nilivyozaliwa? kweli?
OK, ila kama mtu mzima, utakuwa umeelewa tu kwamba haiwezekani wawe hawajawahi kuzini kikawaida, waligombana nini sasa kama hawajawahi kuwa pamoja? lazima walishakuwa pamoja jamaa kaomba sodoma binti kagoma.tangu lini mhaya tena mgalatia akakubali kulawitiwa? big up wahaya.Kwa maelezo ya binti hawajawahi kushiriki tendo nae kabla na walikosana kwa sabab RC alitaka kumlawiti toka awali..sikiliza vizuri, yeye RC ndie amemrubuni huyu mtoto. kwa cheo, hadhi na pesa.
Mkuu, watu smart hawawezi fanyauchafu huoHuna ulijualo ktk mapenzi hayo,hao unaowaita smart ndio wanaongoza ktk hiyo michezo.kuta za chumba zinaficha siri nyingi.
Huyo Mwanza haponi hata hao wengine ambao anasema hajawataja hapoBinti anaenda kula pia KICHWA Cha RC Mwanza!!
Milioni tatu zimeliwa sasa zinatakiwa pesa zingineπ€
Hii kesi sio ya kushabikia sana , nchi hii nimegundua ambae atawahi kituo cha police toa tahalifa ndo mwenye haki , ila yule ambae ametendewa makubwa na kutowahi kituo cha police ndo shida, kuna jambo limetokea mkoa flan hivi alieumizwa hakufungua kesi ila alie humia ndo akaswekwa ndani kabla ya kupata dhamana , kwa makosa ya kijinai ambayo hakutenda .Binti aliyesadikika kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu anafunguka yote amtaja RC Mwanza.
Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha SAUT Mwanza anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Yahaya Newanda anafunguka ukweli wote kuhusu Tuhuma hizo.
Tumsime mwenye umri wa Miaka 21 amekiri kufanyiwa kitendo hicho kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtuhumiwa kwa muda wa miezi sita.
Hatahivyo; Tumsime anaomba haki itendeke na kesi yake ifike mahakamani ili apatiwe haki kwani kwa sasa maisha yake yapo hatarini na hata chuo amesitisha.
Issue ya huyo Binti haina maslahi kwaoNGO za wanawake zipo kimya, legal and human rights centre ambao walikuwa kimya hata kwa satiba, wapo kimyaaa, wanawake wapo kimya, huyo binti si ukute anapambaniwa na wanaume.
ni kweli. hata legal and human rights centre? bi Kijo aliendaga wapi?Issue ya huyo Binti haina maslahi kwao
Kupona Vipi tena si mumpe 35 zake au mnataka mumteke kwanza ndio mchomoe 35?Huyo Mwanza haponi hata hao wengine ambao anasema hajawataja hapo
cha muhimu wanaume tumwogope Mungu, tuache uzinzi na tujiheshimu. imagine, binti wa 21 years anamwita huyo phd hold "namwanda", anamwona wapo sawa tu kiumri, wakati wewe unahangaika ukienda pale unamwitha "MHESHIMIWA MKUU WA MKOA", kabinti kama haka kanamwona namwanda tu, kwasababu wameshaonana sehemu za siri. imagine binti mdogo kama huyu alikuwa anashida korodani za mtu kama babake, anaona hadi makalio yake, si wapo uchi na kamesema kalikuwa kapenzi kake kitambo tu. kwanini tunapenda kupoteza heshima yetu kirahisi namna hii? kweli binti kama huyu aone korodani zangu, anione nilivyozaliwa? kweli?
Sasa kumzidi mwanamke hadi 20 yrs ulivyokwishawahi kufanya si ndiko alikofanya mr. Rc, ingawa wewe tayari ushajiokokea?umri wangu umeenda kidogo. ila miaka hiyo ya foolish, wapo niliotembea nao nimewazidi hadi 20, ila sijawahi kuwalawiti. namshukuru Mungu niliokoka, na uzinzi kwangu ni historia.
Haina maslahi kwao hizo NGO ukiona zinakomalia issue jua washaomba indorsement kwa Mzungu huko nyuma sasa kuonyesha kua kazi inafanyika ndio maonyesho kibao Ila hii haina maslahi unaigusa serekali hakuna Mzungu anataka kufanya hivyoni kweli. hata legal and human rights centre? bi Kijo aliendaga wapi?
Tena kwa sababu huyu ni Mwanamke amwongezee na 15 ziwe 50 kabisa sio 35 huyu apewe 50 alafu basi story iishie hapo kelele nyingi za nini?kwasababu rais ni mwanamke, ilitegemewa huyu rc awe gerezani hadi sasaivi. kweli wanawake huwa hawateteani. ndio maana tutawatawala milele.
Kufa Vipi mtawateka mkawatupe Katavi au?Malaya ni malaya tu yeye na mama yake wote malaya na watakufa kwa umalaya wao
kwahiyo rc alikuwa analawiti malaya, yeye sio malaya? na, mbona hata kama malaya ukilawiti ni kosa.Malaya ni malaya tu yeye na mama yake wote malaya na watakufa kwa umalaya wao
πππ Yaan kalikua nini kazuri ukataka na Wewe ukakaa ????Huyu binti nae anabadilika kweli ile picha iliyotumwa humu kalikuwa kazuri kweli ila kwenye hii video bongee la kakizibo.Poor RC Magwanda sijui Maranda.
Alikuwa SUA pia huyu mh..Comedian sana mwa mwi wa kipindi ni kucheka tupicha zilizotumwa mwanzo hazikuwa za kwake. kwa asili kuna baadhi ya wanaume, au nisme wanaume wote, huwa tunapenda kulala na wale walio chini ya umri wetu zaidi ya wale tunaolala nao kila siku wazee wenzetu. ni Neema ya wokovu tu imetuokoa sisi wengine, tumeshapitia sana hayo. ndio maana utakuta kiongozi mzima kutwa kukimbizana na wanafunzi wa chuo, na hata wa sekondari, kuna miaka ya nyuma kuna kiongozi mmoja mkubwa sana alikuwa analala sana na wanafunzi wa hapa jangwani secondary, Mungu amlaze mahali pema. hivyo kwa RC kwenda kwa wanafunzi, ni asili yetu wanaaume, usipojizuia utatenda tu iyo dhambi. na zaidi yeye alikuwa amezoea wanafunzi si alikuwa mwalimu wa mzumbe kabla ya kuja kwenye hayo mavyeo.
atakuwa alilawiti sana wanafunzi wa mzumbe ili awape marks huyu al haji.
Apewe 50 basi sio 35 km yule akatibiwe amechanwa nyuma yule msijifanye hamumuoni yule kachanwa mdomo kapewa 35 huyu kachanwa nyuma mpeni 50Hata kama ni malaya bado ni binadamu anastahili utu, haki na heshima na kutendewa km binadamu yeyote au wewe unavyotaka utendewe!
Kalikuwa kazuri kanavutia mpaka nilitamani nikafariji.Ila huyu wa leo kachujuka sana na hilo likilemba hapana aisee.πππ Yaan kalikua nini kazuri ukataka na Wewe ukakaa ????