Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

Mara zote nimekuwa nikisema, mtu anayelawiti watu na anayelawitiwa, ukiwaangalia tu hata sura zao na mionekano yao , haiba zao, huwa inaonesha kwamba, wanaweza kufanya hivyo bila ya maswali mengi!

Usiniulize suala la mfilaji kuwa na pesa nyingi!

Pesa hazinaga uchaguzi wa sura! Popote huwa zinaenda, ila ufilaji na ufilwaji, huendana na mwonekano, mtu smart bonge la mtu, bonge la sister, hawawezi kufanya upumbavu huo, uchafu humfuata mtu mchafu!
Huna ulijualo ktk mapenzi hayo,hao unaowaita smart ndio wanaongoza ktk hiyo michezo.kuta za chumba zinaficha siri nyingi.
 
cha muhimu wanaume tumwogope Mungu, tuache uzinzi na tujiheshimu. imagine, binti wa 21 years anamwita huyo phd hold "namwanda", anamwona wapo sawa tu kiumri, wakati wewe unahangaika ukienda pale unamwitha "MHESHIMIWA MKUU WA MKOA", kabinti kama haka kanamwona namwanda tu, kwasababu wameshaonana sehemu za siri. imagine binti mdogo kama huyu alikuwa anashida korodani za mtu kama babake, anaona hadi makalio yake, si wapo uchi na kamesema kalikuwa kapenzi kake kitambo tu. kwanini tunapenda kupoteza heshima yetu kirahisi namna hii? kweli binti kama huyu aone korodani zangu, anione nilivyozaliwa? kweli?
Kwa maelezo ya binti hawajawahi kushiriki tendo nae kabla na walikosana kwa sabab RC alitaka kumlawiti toka awali..sikiliza vizuri, yeye RC ndie amemrubuni huyu mtoto. kwa cheo, hadhi na pesa.
 
Kwa maelezo ya binti hawajawahi kushiriki tendo nae kabla na walikosana kwa sabab RC alitaka kumlawiti toka awali..sikiliza vizuri, yeye RC ndie amemrubuni huyu mtoto. kwa cheo, hadhi na pesa.
OK, ila kama mtu mzima, utakuwa umeelewa tu kwamba haiwezekani wawe hawajawahi kuzini kikawaida, waligombana nini sasa kama hawajawahi kuwa pamoja? lazima walishakuwa pamoja jamaa kaomba sodoma binti kagoma.tangu lini mhaya tena mgalatia akakubali kulawitiwa? big up wahaya.
 

Binti aliyesadikika kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu anafunguka yote amtaja RC Mwanza.


Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha SAUT Mwanza anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Yahaya Newanda anafunguka ukweli wote kuhusu Tuhuma hizo.

Tumsime mwenye umri wa Miaka 21 amekiri kufanyiwa kitendo hicho kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtuhumiwa kwa muda wa miezi sita.

Hatahivyo; Tumsime anaomba haki itendeke na kesi yake ifike mahakamani ili apatiwe haki kwani kwa sasa maisha yake yapo hatarini na hata chuo amesitisha.

Hii kesi sio ya kushabikia sana , nchi hii nimegundua ambae atawahi kituo cha police toa tahalifa ndo mwenye haki , ila yule ambae ametendewa makubwa na kutowahi kituo cha police ndo shida, kuna jambo limetokea mkoa flan hivi alieumizwa hakufungua kesi ila alie humia ndo akaswekwa ndani kabla ya kupata dhamana , kwa makosa ya kijinai ambayo hakutenda .

Naanza amini wapo police wazuri tu sana na utu ila wapo wabaya sana ,

Serikali wekezeni kwa mapolisi wetu , sio kwamba mtu amekuja tu na kutoa hutuma wewe wakimbilia kufungua kesi utakavyo kwa kuwa labda ni ndungu au umepewa vijisent , tuishi ndugu ,jirekebishe ndugu polisi , binadam tunaishi kwa kutegemeana period, mheshim ,mahabusu maana bado hana hatia, maana nawe waweza kua mahabusu mtarajiwa kesho, watendeeni mema mahabusu na Mungu atakubariki
 
cha muhimu wanaume tumwogope Mungu, tuache uzinzi na tujiheshimu. imagine, binti wa 21 years anamwita huyo phd hold "namwanda", anamwona wapo sawa tu kiumri, wakati wewe unahangaika ukienda pale unamwitha "MHESHIMIWA MKUU WA MKOA", kabinti kama haka kanamwona namwanda tu, kwasababu wameshaonana sehemu za siri. imagine binti mdogo kama huyu alikuwa anashida korodani za mtu kama babake, anaona hadi makalio yake, si wapo uchi na kamesema kalikuwa kapenzi kake kitambo tu. kwanini tunapenda kupoteza heshima yetu kirahisi namna hii? kweli binti kama huyu aone korodani zangu, anione nilivyozaliwa? kweli?

Ndugu Yesu Anakuja, ukicheka cheka na shetani, si tu uutashikwa na kunyonywa korodani zako na binti kama huyu ambaye si mwanao. Bali unaweza kujikuta unaingiwa na tamaa ya kuingilia kimwili hata wanao wa kuzaa au dada zako...!

Unadhani ulitaka amwiteje huyu mtu? Heshima ya kuwa addressed kama "Mheshimiwa........." ameipoteza mwenyewe kwa kuwa aliweza kumruhusu shetani kuingia kwenye fikra na mawazo yake...

Shetani hamwogopi mtu eti kwa sababu ana status fulani ktk jamii, anaitwa Mkuu wa Mkoa au Waziri fulani au Rais wa nchi au mchungaji au Askofu au nabii au mtume fulani nk nk. Yeye anaangusha na kumwaibisha yeyote hadharani bila kujali ni nani maana ndiyo kazo yake..

Imeandikwa mahali fulani ktk Biblia kuwa:

"......shetani haendi kwa mtu ili amfanye rafiki na kutunza heshima na uhai wake, bali huenda kwa mtu yeyote ili aharibu, achinje na kuua kabisa..."

Huyo tayari ameshachinjwa na kuwawa kisiasa na heshima yake yote imeshaharibiwa. Hata hivyo, bado anayo nafasi ya kukimbilia kwa Yesu Kristo na atasamehewa na kumwondolea fedheha na aibu yake maana ndiyo maana Yesu Kristo aliteswa, akasulubiwa msalabani kwa aibu akiwa uchi ili Nawanda asipate aibu..

Anaweza kuiona fursa hii? Sijui. Ila neema ya Mungu iwe juu yake popote alipo..!
 
umri wangu umeenda kidogo. ila miaka hiyo ya foolish, wapo niliotembea nao nimewazidi hadi 20, ila sijawahi kuwalawiti. namshukuru Mungu niliokoka, na uzinzi kwangu ni historia.
Sasa kumzidi mwanamke hadi 20 yrs ulivyokwishawahi kufanya si ndiko alikofanya mr. Rc, ingawa wewe tayari ushajiokokea?

Kupishana umri kwenye mahusiano ni jambo la kawaida.

Ukishajishusha kwa mwanamke ukampenda wakati wewe una umri mkubwa, 'shikamoo' hupewi, pumbu utachezewa na jina lako kavu utaitwa bila kujali idadi ya makunyanzi yako usoni.
 
ni kweli. hata legal and human rights centre? bi Kijo aliendaga wapi?
Haina maslahi kwao hizo NGO ukiona zinakomalia issue jua washaomba indorsement kwa Mzungu huko nyuma sasa kuonyesha kua kazi inafanyika ndio maonyesho kibao Ila hii haina maslahi unaigusa serekali hakuna Mzungu anataka kufanya hivyo
 
Huyu binti nae anabadilika kweli ile picha iliyotumwa humu kalikuwa kazuri kweli ila kwenye hii video bongee la kakizibo.Poor RC Magwanda sijui Maranda.
😂😂😂 Yaan kalikua nini kazuri ukataka na Wewe ukakaa ????
 
picha zilizotumwa mwanzo hazikuwa za kwake. kwa asili kuna baadhi ya wanaume, au nisme wanaume wote, huwa tunapenda kulala na wale walio chini ya umri wetu zaidi ya wale tunaolala nao kila siku wazee wenzetu. ni Neema ya wokovu tu imetuokoa sisi wengine, tumeshapitia sana hayo. ndio maana utakuta kiongozi mzima kutwa kukimbizana na wanafunzi wa chuo, na hata wa sekondari, kuna miaka ya nyuma kuna kiongozi mmoja mkubwa sana alikuwa analala sana na wanafunzi wa hapa jangwani secondary, Mungu amlaze mahali pema. hivyo kwa RC kwenda kwa wanafunzi, ni asili yetu wanaaume, usipojizuia utatenda tu iyo dhambi. na zaidi yeye alikuwa amezoea wanafunzi si alikuwa mwalimu wa mzumbe kabla ya kuja kwenye hayo mavyeo.

atakuwa alilawiti sana wanafunzi wa mzumbe ili awape marks huyu al haji.
Alikuwa SUA pia huyu mh..Comedian sana mwa mwi wa kipindi ni kucheka tu
 
Hata kama ni malaya bado ni binadamu anastahili utu, haki na heshima na kutendewa km binadamu yeyote au wewe unavyotaka utendewe!
Apewe 50 basi sio 35 km yule akatibiwe amechanwa nyuma yule msijifanye hamumuoni yule kachanwa mdomo kapewa 35 huyu kachanwa nyuma mpeni 50
 
Back
Top Bottom