Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
ok, nilikosea, ni kweli alikuwa SUA sio mzumbe. kwahiyo kama ni mlawiti, na alikuwa anafundisha wanafunzi, tutajuaje kuan wamama wengi makazini huko hawana marinda ili wapate marks.Alikuwa SUA pia huyu mh..Comedian sana mwa mwi wa kipindi ni kucheka tu
😂😂😂 Likilemba limekufanyaje?Kalikuwa kazuri kanavutia mpaka nilitamani nikafariji.Ila huyu wa leo kachujuka sana na hilo likilemba hapana aisee.
Vinatamaa sanaNdio life yao hao wadada wa Chuo wengi wao wako hivo alaf mijitu inatokea kusikitika kama mtu kabakwa kumbe ni umalaya wake
Ahh lazima kashawafukua sana mitaro madem na wake za watu itakuwa 😄ok, nilikosea, ni kweli alikuwa SUA sio mzumbe. kwahiyo kama ni mlawiti, na alikuwa anafundisha wanafunzi, tutajuaje kuan wamama wengi makazini huko hawana marinda ili wapate marks.
Linatisha sanaa.Enzi za ujana wangu nilipataga limanzi mabatani hukoo lilikuwa jeusi halafu limevaa bonge la kilemba,usiku niliweweseka sana .Mbona nilikimbia mwenyewe lodge .Toka siku hiyo mi na wanawake weusi na mavilemba mbali mbali😄😄😄😂😂😂 Likilemba limekufanyaje?
Duh!Pole sana Yahaya nawanda sikuombei ufungwe ila furaha yangu kwenye familia yenu ni pale nilipochangia kwa 40% wewe kuanguka kwenye kura za maoni hali iliyopelekea mama yako afe kwa presha,Nilitamani mama yako leo angekuwepo ili aone mateso unayopitia,sina ugonvi na wewe ila kiukweli sitoweza kumsamehe mama yako
kwetu sisi watu wazima, namwona huyo ni mtoto, ana tamaa kwasababu bado yupo foolish age, ila wewe wa 46 unategemewa utumie utu uzima wako vyama kwa kutotake advantage. labda kama haujazaa, imagine kama ni binti yako, yupo hivyo, hata kama malaya, utapenda mtu amlawiti?Vinatamaa sana
Huyo kwenye clip tu anaonekana
Mcharuko ndomana rc kaona isiwe kesi Acha amfukunyue mtr, maana itakuwa alizidi mizingaa
Ova
Hapo serikali watakua ndiyo walalamikaji, mahakamani Kuna pande mbili tu, mlalamikaji na mlalamikiwaSio mlalamikaji ni Serikali ndio inaendesha kesi
Usimlaumu mwongeaji. Laumu mfumo wetu wa elimu.Sipendi mtu anaejimwambafai kuongea lugha ambayo haijui. Huyu mwanamke ni kichefuchefu kuanzia namna anavyoongea tu.
Kwa hio Serikali ndio imelawitiwa si ndio? Imeingiliwa kinyume na maumbile? Sheria ngumu hivi kumbeHapo serikali watakua ndiyo walalamikaji, mahakamani Kuna pande mbili tu, mlalamikaji na mlalamikiwa
Nimesoma SUA pia sikuwahi msikia na scandal yyte mbay alikuwa poa sana.. hizo zingine ni faragha zake binafsi zimemkumba kwa wakati wakeok, nilikosea, ni kweli alikuwa SUA sio mzumbe. kwahiyo kama ni mlawiti, na alikuwa anafundisha wanafunzi, tutajuaje kuan wamama wengi makazini huko hawana marinda ili wapate marks.
unafikiri angeaka kwako kwamba anaenda kufumua marinda wadada? na kwani wadada wanaofumuliwa kwa jinsi kilivyo kitendo cha aibu wangekuwambia? hawa wanawake wana siri nzito sana, ndio maana hata ukienda bank unakuta mwanamke mzuri kweli counter, na ni mke wa mtu, kama ulikuwa mzinzi unakuta ndio yule alikuwa anajipanga CBE na IFM kama malaya wa barabarani bumu likiisha. ILA sasaivi, ni msimi na mama wa familia.Nimesoma SUA pia sikuwahi msikia na scandal yyte mbay alikuwa poa sana.. hizo zingine ni faragha zake binafsi zimemkumba kwa wakati wake
Linatisha sanaa.Enzi za ujana wangu nilipataga limanzi mabatani hukoo lilikuwa jeusi halafu limevaa bonge la kilemba,usiku niliweweseka sana .Mbona nilikimbia mwenyewe lodge .Toka siku hiyo mi na wanawake weusi na mavilemba mbali mbali[emoji1][emoji1][emoji1]
Kufilimbwa damu imwagike kwanza tena itapakae chumba kizima.[emoji81][emoji81][emoji81] mtakuwa mfilimbwe kuna siku
uchafu humfuata mtu mchafu!