huu ni ukatili wa kijinsia pole sana Binti kupitia wewe mabinti wengine watajifunza tabia ya kuwa na mahusiano na watu wenye umri kama wa baba yao ambao inapelekea kufanyiwa vitendo vya ukatili kama huu
Serikali yote imejaa mafirauni...Binti aliyesadikika kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu anafunguka yote amtaja RC Mwanza.
Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha SAUT Mwanza anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Yahaya Newanda anafunguka ukweli wote kuhusu Tuhuma hizo.
Tumsime mwenye umri wa Miaka 21 amekiri kufanyiwa kitendo hicho kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtuhumiwa kwa muda wa miezi sita.
Hatahivyo; Tumsime anaomba haki itendeke na kesi yake ifike mahakamani ili apatiwe haki kwani kwa sasa maisha yake yapo hatarini na hata chuo amesitisha.
na ikifika mahakamani, kwa ushahidi huu nakuhakikishia rc anafungwa.
1. kuna ushahidi wa binti/mtendewa umenyooka kama anavyoongea hapo.
2. kuna ushahidi wa cctv footage
3. kuna ushahidi wa bank statement akijaribu kumhonga mama wa binti, polisi waende bank wakachukue statement ya account ya mama wa binti, anasema alimwekea 3m. ili tuone kama RC atasema aliziweka za mahali au z akitu gani.
4. kuna ushahidi wa vipimo PF3
5. kuna ushahidi wa wanafunzi wenzake binti waliomwona binti anarudi ananuka kinyesi, pia ushahidi wao namwanda alipokuwa anatumia simu zao kuomba aongee na huyo binti.
6. na ushahidi mwingine mwingi.
NAMWANDA AMEISHA. HII TABIA YA WAKUU WA MKOA IKOMESHWE.
Wewe unazungumza kishabiki na kiharakati. Mahakama iliyo huru haiwezi kumfunga.hata bila ushahidi wa DNA kwenye shahawa, binti kama akieleza vizuri namna hiyo, ukawepo na ushaidi mwingine kama huo wa kutoa pesa hadi kuweka kwenye account ya mama, masimu kibao amepiga, cctv footage, inatosha kumpa 30 years.
Wakati mwingine ushirikina unchangia.Ila huyu jamaa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu ni kiboko...
Na kwa maelezo ya binti huyu, ni wazi kuwa huyu Nawanda na mwenzake RC wa Mwanza ndugu Mtanda, kumbe kulawiti na kubaka vibinti vya chuo ni tabia yao komavu...
Ona tu RC Mtanda anavyojaribu kumtetea na kumlinda mwenzake. Huu ni ushahidi na uthibitisho tosha kuwa hawa ni washirika wa uhalifu huu wa kimaadili toka kwao wanaopaswa kulinda maadili mema....
Na nchi ikiwa na viongozi wasagaji (tunaambiwa bi mkubwa ana tabia hii) na wafiraji kama huyu RC Nawanda, Mtanda na yule aliyekuwa DC wa Hai - Kilimanjaro enzi za giza aliyehenyeshwa sana mahakamani hadi kwenda jela Sabaya Ole Lengai , basi tusitegemee kuwa kuna siku viongozi wa namna hii wanaweza kufanya maamuzi yoyote ya maana kuipeleka nchi mbele kwa sababu ya laana na mikosi iliyobebwa na roho ya shetani iliyomo ndani yao...
Ndiyo maana roho ya ushoga na usagaji kwa sasa iko wazi mno. Kumbe mambo haya yanaanzia ikulu na kushuka mpaka kwenye viofisi vya Wakuu wa mikoa, mawaziri, wakuu wa wilaya na sasa inaharibu jamii nzima...
Jamani tukatae na tuombe sana ili roho ya Jezebel iliyokalia kiti cha Ikulu ya nchi yetu ishindwe na kurudi kuzimu...!
Hebu jaribu tu kufikiri kwamba;👇🏻
Kumbe tendo hili alilifanyia palepale nje parking ya viwanja vya Rock City Malls - Mwanza mchana kweupe kwa ku - lock milango ya gari tu...!!???
Alikuwa na tamaa gani mbaya hivi isiyo na staha? Si wangeenda hotelini huko ampeti - peti na kumpa maneno matamu ya kimahaba? Si ajabu huyu binti angemtimizia kwa hiari yake na mambo yasingetoka nje na kumwangamiza kiasi hiki...!
Tuikatae roho ya Jezebel, roho ya ukahaba iliyokalia kiti cha ikulu ya taifa letu. Mama Samia anahitaji kuombewa sana ili akombolewe na kuokoka kuiepusha nchi yetu na majanga na mapigo toka kwa Mungu..!
Baadhi ya kesi serikali husimama yenyewe,huko nyuma serikali ilishasimama kwa niaba ya kanisa kwenye kesi ya mhadhiri wa kiislam dibagula aliyehubiri yesu si Mungu kanisa likanuna na kushitaki, serikali ilishindwa hata hivyoKwa hio Serikali ndio imelawitiwa si ndio? Imeingiliwa kinyume na maumbile? Sheria ngumu hivi kumbe
Kwa hio kwenye hii kesi Serikali imelawitiwa au unamaanisha nini Mkuu?Baadhi ya kesi serikali husimama yenyewe,huko nyuma serikali ilishasimama kwa niaba ya kanisa kwenye kesi ya mhadhiri wa kiislam dibagula aliyehubiri yesu si Mungu kanisa likanuna na kushitaki, serikali ilishindwa hata hivyo
Dah,acha niangalie EuroKwa hio kwenye hii kesi Serikali imelawitiwa au unamaanisha nini Mkuu?
Hamna hujanijibu Swali hapo Mkuu Serikali imelawitiwa au huyo Binti ndio kalawitiwa?Dah,acha niangalie Euro
uyo bi dada ulishawai kumuona lakini alivyo mtepemtepe?,hata kama wewe uchomoki!...RC ajilaumu mwenyewe.
..imani ya bwana RC inamruhusu kuoa mpaka wake wanne.
Kwanini anakwenda kufanya zinaa na ukatili?
Ukiuwa mtu serikali itasimama dhidi yako kwa kesi ya mauaji,hapo unakua umeiua serikali!!Hamna hujanijibu Swali hapo Mkuu Serikali imelawitiwa au huyo Binti ndio kalawitiwa?
Unamaanisha nini Mkuu?uyo bi dada ulishawai kumuona lakini alivyo mtepemtepe?,hata kama wewe uchomoki!.
Hapo nimeelewa sasa si Serikali inasimama sababu ushakufa tayari au sio hivyo?Ukiuwa mtu serikali itasimama dhidi yako kwa kesi ya mauaji,hapo unakua umeiua serikali!!
SAUT Chuo kizima kimechafuka inaonekana wote wanalawitiwa mmoja akiozaMkienda shule mtulie msome bhn, mnaendekeza umalaya, matokeo yake ndo haya.
Serikali imeuliwa?..kwa nini asisimame ndugu wa marehem!?Hapo nimeelewa sasa si Serikali inasimama sababu ushakufa tayari au sio hivyo?
Hapo sasa ndio unifafanulie Mkuu kwanini sio ndugu wa Marehemu Ila inasimama Serekali kwani Serikali ndio imeuliwa?Serikali imeuliwa?..kwa nini asisimame ndugu wa marehem!?
Mnaomtetea huyo binti mna matatizo,
Hamuoni amevuna alichopanda?!
Hakuwaona vijana wenzake chuoni mpaka achague kuwa kwenye mahusiano na huyo RC ambaye ana umri sawa na mzee wake!!
Nimekuwa mwanachuo kwa hiyo ninawafahamu vizuri mabinti dizaini ya huyo ambaye ulimwengu umeamua kumfunza.