Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

huu ni ukatili wa kijinsia pole sana Binti kupitia wewe mabinti wengine watajifunza tabia ya kuwa na mahusiano na watu wenye umri kama wa baba yao ambao inapelekea kufanyiwa vitendo vya ukatili kama huu

Amekwambia alikuwa mpenzi wake, sasa kama alikuwa ni mpenzi wake je unyanyasaji uko wapi?
 
ser
Serikali yote imejaa mafirauni...
 

Sisi tunamwita kwa Yesu aje aokolewe.
 
Rc kakutana na kichaa 😄😄😄.....maana mtu unakubalije kitu kama hicho mitandaoni,sawa kakukosea na kesi ipo mahakamani si ungesubiri kuliko kufanya hichi ulichofanya....ona Sasa umeweka kumbukumbu ya milele😃😃😃.....katakuwa kalikuwa hakampendi au alikapa hela kidogo maana hichi ni kisasi live
 
hata bila ushahidi wa DNA kwenye shahawa, binti kama akieleza vizuri namna hiyo, ukawepo na ushaidi mwingine kama huo wa kutoa pesa hadi kuweka kwenye account ya mama, masimu kibao amepiga, cctv footage, inatosha kumpa 30 years.
Wewe unazungumza kishabiki na kiharakati. Mahakama iliyo huru haiwezi kumfunga.
Hivi hebu fikiri kidogo mtu atembee na mwanamke kisha anmtumie hela nama yake huyo mwanamke huoni kuwa hao ni malaya wawili mtu na mamaye wanaoshirikiana katika umalaya?

Kama unaku.mbuka rejea maelezo ya binti hili sakata likipoibuka mwanzo na maelezo yake ya sasa. ambapo kwa sasa anakiri kuwa walikuwa wapenzi kwa miezi sita lakini awali alidai kuwa aliitwa katika gari akabakwa.

Huyo ni malaya muuza tigo.

Ingia katika mtandao google watakuja wanawake kadhaa wanajitangaza wanauza tigo na namba za simu wameweka kabisa.
 
Wakati mwingine ushirikina unchangia.
 
Kwa hio Serikali ndio imelawitiwa si ndio? Imeingiliwa kinyume na maumbile? Sheria ngumu hivi kumbe
Baadhi ya kesi serikali husimama yenyewe,huko nyuma serikali ilishasimama kwa niaba ya kanisa kwenye kesi ya mhadhiri wa kiislam dibagula aliyehubiri yesu si Mungu kanisa likanuna na kushitaki, serikali ilishindwa hata hivyo
 
Baadhi ya kesi serikali husimama yenyewe,huko nyuma serikali ilishasimama kwa niaba ya kanisa kwenye kesi ya mhadhiri wa kiislam dibagula aliyehubiri yesu si Mungu kanisa likanuna na kushitaki, serikali ilishindwa hata hivyo
Kwa hio kwenye hii kesi Serikali imelawitiwa au unamaanisha nini Mkuu?
 


Yule RC ni kijana sio mzee.

Mwanachuo anatakiwa aolewe na ki juu ana wa makamo.

Binti mpaka amalize chuo kikuu anakua ni mzee wa kuolewa na mtu over 40 ndiye mwenye akili ya kuishi na Mbibi msomi wa chuo ambaye ameshakua sugu wa kuruka vihunzi 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…