Bro,CCTV haiwezi kuonesha kosa la kulawiti. Kufika eneo la taking na matendo mengine hayathibitishi.
Hata hivyo, katika hali ya kawaida, siyo rahisi mtu mzima kulawitiwa kama hajatoa ushirikiano (kwa kulazimishwa au hiari).
Eneo lenye watu wengi karibu, kulazimishwa inatia shaka, kama ilikuwa hiari (kinyume na maadili) basi kwa nini malalalamiko baadaye? Ni vigumu kuthibitisha.
Maadili ya viongozi yameporomoka, acha wanyooshwe na nshomile!!Huyo Mwanza haponi hata hao wengine ambao anasema hajawataja hapo
Which lines?'when you read between the lines'
Huyo Binti ni habari ingine, hujaona alivyomuingiza mtegoni pia Rc wa Mwz?Bado hajapewa 35 na yeye au mpaka mumkute katupwa kwenye Pori tengefu huko
the ones she was talking about.Which lines?
Kwa hio RC wa Mwanza nae kamfanyaje tena list inakua ndefu tena? Na yeye kamtafuna Binti huyu ana miaka 21 kweli?Huyo Binti ni habari ingine, hujaona alivyomuingiza pia Rc wa Mwz?
Huyo binti hana akili ,adabu, maadili na hivyo hajatulia kijamii.Bro,
You’re heartless! Umejiuliza binti ana miaka mingapi? Put yourself in her shoes.
Unajua alikuwa ana deal na mtu gani? Mkuu wa Mkoa…such powerful man. Imagine hiyo power imbalance. Imagine kwa nchi yetu kumuongelea mkuu wa mkoa, kama alivyofanya huyo binti..ni courage ya ajabu! Wengi hatuwezi.
Tuwe na utu kidogo. Imagine such experience inampata binti yako.
Wengi NAJUA humu Tupo concerned na jamaa kupoteza ukuu wa mkoa kuliko situation ya hiyo binti. Such is life in our poor communities.
No kategwa kategeka Kwa kuhonga ml 3 Kwa family,Kwa hio RC wa Mwanza nae kamfanyaje tena list inakua ndefu tena? Na yeye kamtafuna Binti huyu ana miaka 21 kweli?
Hatari sana na yeye jumba limemdondokeaNo kategwa kategeka Kwa kuhonga ml 3 Kwa family,
Zilipoisha wamerudi tena kuinua UPYA kesi.
Ndani ya vyama huko hasa ccm... Majumbani, makanisani na misikitini mbona wengi mnafanyiwa/mnafanya...Mkuu wa MKoa wa mwanza pia anastahili kufurushwa, hastahili kuwa RC tena, kumbe alikuwa anaizima iyo issue? ina maana Samia anafurahia mabinti hawa wakilawitiwa na RC wa mwanza anataka kuificha? ndio hivyo aliwatuma wakawe wanafanya kazi?
Mtego wa maokoto na teuzi!No kategwa kategeka Kwa kuhonga ml 3 Kwa family,
Zilipoisha wamerudi tena kuibua UPYA kesi.
cctv footage ni corroborative evidence, kuonyesha kuwa kile anachokisema binti ni cha kweli kwamba alifika pale akaingia kwenye gari yake. gari ikionekana, aina ya gari, binti akiingia, ni ushahidi wa kuung amkono kile anachokisema kwa mdomo. kama ulishawahi kwenda mahakamani.CCTV haiwezi kuonesha kosa la kulawiti. Kufika eneo la taking na matendo mengine hayathibitishi.
Hata hivyo, katika hali ya kawaida, siyo rahisi mtu mzima kulawitiwa kama hajatoa ushirikiano (kwa kulazimishwa au hiari).
Eneo lenye watu wengi karibu, kulazimishwa inatia shaka, kama ilikuwa hiari (kinyume na maadili) basi kwa nini malalalamiko baadaye? Ni vigumu kuthibitisha.
sidhani kama ulishawahi kukanyaga hata viunga vya mahakama tu. muwe mnatembelea hata kusikiliza tu mpate maarifa.Wewe unazungumza kishabiki na kiharakati. Mahakama iliyo huru haiwezi kumfunga.
Hivi hebu fikiri kidogo mtu atembee na mwanamke kisha anmtumie hela nama yake huyo mwanamke huoni kuwa hao ni malaya wawili mtu na mamaye wanaoshirikiana katika umalaya?
Kama unaku.mbuka rejea maelezo ya binti hili sakata likipoibuka mwanzo na maelezo yake ya sasa. ambapo kwa sasa anakiri kuwa walikuwa wapenzi kwa miezi sita lakini awali alidai kuwa aliitwa katika gari akabakwa.
Huyo ni malaya muuza tigo.
Ingia katika mtandao google watakuja wanawake kadhaa wanajitangaza wanauza tigo na namba za simu wameweka kabisa.
Alikuwa na mahusiano nae kwa miezi sita ila sasa anataka haki itendeke. Yaani wagawane mali walizochuma kwa miezi sitaBinti aliyesadikika kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu anafunguka yote amtaja RC Mwanza.
Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha SAUT Mwanza anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Yahaya Newanda anafunguka ukweli wote kuhusu Tuhuma hizo.
Tumsime mwenye umri wa Miaka 21 amekiri kufanyiwa kitendo hicho kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtuhumiwa kwa muda wa miezi sita.
Hatahivyo; Tumsime anaomba haki itendeke na kesi yake ifike mahakamani ili apatiwe haki kwani kwa sasa maisha yake yapo hatarini na hata chuo amesitisha.