Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

Miaka 21 ni mingi sana kutosha kufanya maamuzi.
Yaani wamekaa kwenye mahusiano kwa miezi 6 hajawahi kulawitiwa, lakini siku 1 tu ndipo kafanyiwa?na ndipo katoa taarifa?.
Waliosoma LOGIC na PROBABILITY watanielewa.
 
kama wanateteana, na wote wanatoka mkoa mmoja basi watakuwa wote wafiraji. ondoeni laana hizo kwenye maofisi ya serikali.
 
Una uhakika gani na hio story ya bint ? Ukitka kujua ni uongo ni pale alipohama siti ya mbele akaenda ya nyuma .
Kwann aingie siti ya nyuma badala ya kuondoka ?
 
Una uhakika gani na hio story ya bint ? Ukitka kujua ni uongo ni pale alipohama siti ya mbele akaenda ya nyuma .
Kwann aingie siti ya nyuma badala ya kuondoka ?
kwasababu RC aliloki mlango wa gari. au unataka avunje dirisha atoke? watu mbona mna akili ndogo kufikiri?
 
Wakili wake ,atapata tabu sana kama hatamweka sawa

Storyote nimesikia ,and and and ,I was down ,pesa sikujua shingapi
 
ametoka mbio huko kuja kutetea kwasababu tu amesikia huyu x-rc ni ustaadhi alhaji. kimeshamramba.
Hapa nimeelewa kwann unakaza fuvu ? Kumbe unaleta udini kwenye hii case ,,
Mkuu inaonyesha hujawai kusingiziwa case ,kuna watu wanajua kusuka ushahidi unajua ilo
Mbowe alivopewa case ya ugaidi uliifatilia ?
 
Dr mkuu wa mkoa uwempole
 
kwasababu RC aliloki mlango wa gari. au unataka avunje dirisha atoke? watu mbona mna akili ndogo kufikiri?
Acha kutufanya sisi hatujui magari ukiwa ndani ya gari unaeza fungua mlango wowote ule maana lock ziko ndani ya gari
 
Hata huyu kapewa hela aje kuongea huu upuuzi ili tusahau suala la UTEKAJI. Suala la Sativa limewatibua kabisa.
 
Acha kutufanya sisi hatujui magari ukiwa ndani ya gari unaeza fungua mlango wowote ule maana lock ziko ndani ya gari
kitu gani usichoelewa hapo, upo ndani ya gari na hawara, nje kuna walinzi wako, gari tintedk, haujui kama atakubaka, umekuja pale kuombana msamaha sio kugombana, kurudi siti ya nyuma ni kitu cha ajabu? na hata kama pengine alirudi siti ya nyuma ili wafanye ngono, kuingiliwa kinyume na maumbile ndicho sheria inachosema ni kosa.
 
Nimemsikiliza huyu Binti mwanzo mpaka mwisho kutokana na maelezo yake pamoja na "body language" nimegundua kuna vitu vingi sana ameficha, hajaweka wazi.

Mfano, kwanza anasema alilawitiwa ndani ya gari bila ridhaa yake. Lakini, hii inaacha maswali mengi sana, kama aina ya nguo alizokuwa amevaa, je alivua nguo mwenyewe au alivuliwa kinguvu au nguo zilichanwa?

Na kama alivuliwa nguo kinguvu kwanini hakupiga kelele? Akaingiziwa mashine nyuma hakupiga kelele? Maswali ni mengi labda huko mahakamani atatolea ufafanuzi

Pili, huyu binti hajui kabisa kujieleza. Ikiwa hii kesi itafika mahakamani wakili wa mtuhumiwa akicheza karata zake vizuri binti atapoteza hii kesi asubuhi na mapema.

Binafsi siungi mkono vitendo vya zinaa, uasherati, ufiraji na ufirwaji, lakini kuna ukakasi kwenye hii issue ya huyu Binti.
 
Hapa nimeelewa kwann unakaza fuvu ? Kumbe unaleta udini kwenye hii case ,,
Mkuu inaonyesha hujawai kusingiziwa case ,kuna watu wanajua kusuka ushahidi unajua ilo
Mbowe alivopewa case ya ugaidi uliifatilia ?
semeni ukweli, kwa akili ya kawaida, nani ana ujasiri wa kumsingizia RC? na akawa na confidence namna ile kama hawakuiingiliana kweli. na kwanini RC anatapatapa hadi kuhonga hela kama hakufanya icho kitu? wewe ukisingiziwa hapo utakimbilia kuhonga, au ungekasirika kiasi cha kuweka press hapo ujisafishe tena kwa evidence? unafikiri angesingiziwa Polisi wangemkamata kweli, RC aliyekuwa boss wao? fikiria kwa mapana.
 
Wewe kabla ya kujificha kwenye ulokole ulilawitiwa sana ndio maana una chuki nzito dhidi ya huyo RC. Wewe kama kumchukia mchukie aliyekubikiri. Halafu kama hukupelekwa nje kufanyiwa operesheni ya hiyo anus yako, basi kwa sasa umepumzika tu baadae utarudia tu kulawitiwa ila kwa sababu umujivisha koti la ukristo utakuwa unatoa kwax siri.

Halqfu hakuna asiyejua kuwa kwa sheria za Tanzania kulawiti au kulawitiwa ni kosa la jinai. Tunachosema sisi wengine huyo binti ni mlawitiwa mzoefu na analawitiwa kwa hiyari yake.
 
NEVER would that happen in my life. Nadhani hapa tunajadili mtu mwenye miaka 46, MKuu wa MKoa, kulawiti binti wa miaka 21, awe binti malaya au sio malaya. yet, kuna watu wanatetea. wanaona ni kitu cha kawaida, wanataka RC asiwajibishwe mahakamani, ndio maana tunasema ninyi mtakuwa walawitiwa ndio maana mnaona kulawitiwa kwa binti ni kitu cha kawaida.

kwetu sisi hakika, icho kitu kinaitwa sodomy sio utamaduni wetu hutaki kabisa hata kukisikia. inapotokea mteuliwa wa rais anatenda hayo na kuna watu wanamtetea hapo ndipo tunaona jamii ilipofikia ni pabaya sana. Mungu aiokoe.
 
Mara nyingi tumeandika kuhusu uovu, ula rushwa na uonevu wa RC Mwanza Said Mtànda lakini watu huwa wanadhani ni chuki binafsi. Katika Jambo Baya kama hili ambalo Rais kamfuta kazi mtuhumiwa RC Mwanza anatumika kulimaliza kimya kimya na bado hachukuliwi hatua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…