Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi


Binti aliyesadikika kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu anafunguka yote amtaja RC Mwanza.


Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha SAUT Mwanza anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Yahaya Newanda anafunguka ukweli wote kuhusu Tuhuma hizo.

Tumsime mwenye umri wa Miaka 21 amekiri kufanyiwa kitendo hicho kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtuhumiwa kwa muda wa miezi sita.

Hatahivyo; Tumsime anaomba haki itendeke na kesi yake ifike mahakamani ili apatiwe haki kwani kwa sasa maisha yake yapo hatarini na hata chuo amesitisha.

1. Kwa nini hakumshitaki alipotaka kumlawiti mara ya kwanza?
2. Kwa nini alipotoka kituoni hakwenda nyumbani akaenda chuoni?
3. Ma RC wawili waende chuoni kukutafuta?
4. Yaani polisi wa kawaida apingane na RC(mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa)?
5. RC akitaka kuingilia jambo la kipolisi si atapitia kwa RPC?Na RPC akiagiza polisi yeyote hawezi kukataa.
NB: Kuna mkono wa siasa hapa au binti anatafuta utajiri ili aokoe familia yao.
 
Ila Kiswahili kinazidi kuwa kigumu sana. Uongeaji wa binti ni wa hovyo. Kujieleza kama mwanafunzi wa Chuo Kikuu. Kiswanglish kingi.

L na R ni mtihani mzito.
Uongeaji wa kimalaya huyo mfiraji Nawanda na huyu malaya mwenzie wote washenzi tu kwa upande wangu simuhurumii huyu malaya ni wazi ni mzoefu naweza pia kuamini anatumika kisiasa kwa muonekano wake na hata familia yake inaonekana ni ya kimalaya tu ndio maana huyo mama ake akachukua hzo mil3 kifupi hicho ki tusiime ni kimalaya pumbaf kabisa
 
1. Kwa nini hakumshitaki alipotaka kumlawiti mara ya kwanza?
2. Kwa nini alipotoka kituoni hakwenda nyumbani akaenda chuoni?
3. Ma RC wawili waende chuoni kukutafuta?
4. Yaani polisi wa kawaida apingane na RC(mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa)?
5. RC akitaka kuingilia jambo la kipolisi si atapitia kwa RPC?Na RPC akiagiza polisi yeyote hawezi kukataa.
NB: Kuna mkono wa siasa hapa au binti anatafuta utajiri ili aokoe familia yao.
Siku binti yako akilawitiwa utahoji hayo maswali
 
1. Kwa nini hakumshitaki alipotaka kumlawiti mara ya kwanza?
2. Kwa nini alipotoka kituoni hakwenda nyumbani akaenda chuoni?
3. Ma RC wawili waende chuoni kukutafuta?
4. Yaani polisi wa kawaida apingane na RC(mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa)?
5. RC akitaka kuingilia jambo la kipolisi si atapitia kwa RPC?Na RPC akiagiza polisi yeyote hawezi kukataa.
NB: Kuna mkono wa siasa hapa au binti anatafuta utajiri ili aokoe familia yao.
hapa kuna shaka kwa kweli, kwa mtazamo wangu huwenda RC kanasa kwenye mtego wa adui zake na kweli kafanya ..hivyo binti katumika kumuangamiza..
 
NEVER would that happen in my life. Nadhani hapa tunajadili mtu mwenye miaka 46, MKuu wa MKoa, kulawiti binti wa miaka 21, awe binti malaya au sio malaya. yet, kuna watu wanatetea. wanaona ni kitu cha kawaida, wanataka RC asiwajibishwe mahakamani, ndio maana tunasema ninyi mtakuwa walawitiwa ndio maana mnaona kulawitiwa kwa binti ni kitu cha kawaida.

kwetu sisi hakika, icho kitu kinaitwa sodomy sio utamaduni wetu hutaki kabisa hata


kukisikia. inapotokea mteuliwa wa rais anatenda hayo na kuna watu wanamtetea hapo ndipo tunaona jamii ilipofikia ni pabaya sana. Mungu aiokoe.
Wewe unajiita wakili lakini hujui mtoto anakomea umri gani, mtu mzima mwenye miaka 21 ambaye anaweza kuwa hata mbunge na waziri kwako ni mtoto! Unajiita mkristo lakini hujui mtu wa umri wowote anaweza kuoa au kuolewa na yeyote bila kujali umri mradi wawe na umri usiooungua miaka 18 ndani ya kanisa, tofauti ya umri haizuii watu kuoana, makanisa yote na misikiti mtu wa miaka 60 anaruhusiwa kuoa/ kuolewa na nrtu mwenye miaka 18.

Wote mnaomuona RC ana makosa kama nyinyi mnaoongozwa na jazba, chuki na kisasi na hamfai kushika ofisi ya umma..
Kuna wanawake hata ndani ya ndoa ambao kwa hiyari wanachepuka na kulawitiwa kwa hiyari lakini ndani ya ndoa hawalawitiwi. Mke kama huyo akiamua kumpakazia mumewe wa ndoa kuwa anamlawiti na imeishawahi kutokea haipaswi kukurupuka kuwa ni mumewe anayemlawiti kwa kuwa tu vipimo vinaonyesha analawitiwa.

Serikali iwe macho na watu kama nyinyi hantakiwi hata kushiriki uundaji wa katiba mpya maana mtatuletea katiba ya jazba, chuki ambayo itasambaratisha nchi na kusababisha vita.

Huyo binti ni ntu mzima mwenye uhuru wa kufanya maanuzi yawe mabaya au mazuri au halali kisheria au la. Akifanya maamuzi haitakiwi alaumiwe mwingine.
Kwa kuwa kulawitiana ni kosa kisheria ilitakiwa uchunguxzi ufanywe ili kujua huyo malaya ni mlawitiwa mzoefu na kana kushtakiwa ashtakiwe yeye kwa kuruhusu kulawitiwa kama kule Mtwara kuna mwanaume alifunngwa miaka 30 kwa kukiri kulawitiwa na hakuna walawiti waliofungwa naye..
 
Back
Top Bottom