Binti (miaka 19) amepotea, naomba msaada kwa atakayemuona

Poleni,

Ila.sidhan kama kapotea nnachoona hapo 99% kadanganywa na mwanaume, hizi case zipo nyingi sana mtaani ,hawa mabinti ambao hawana shughuli maalumu ya kuwaingiza kipato cha kueleweka ,akili zao zinakua na wenge sana
Mfano mzuri ni ma house girl ,wanatoroshwa sana na kwenda kuishi kinyumba na wahuni

Naomba utatupa mrejesho hapa
 
Picha moja binti akila ice cream,, na pembeni yake kuna kikopo kingine kimoja cha ice cream,,
Lakini hakuna mtu.

Anza na kufatilia aliyekuwa nae kwenye ice cream ni nani?

Utakuja kunishukuru baadae
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajua humu watu hawana experience yoyote kazi ni kuropoka tu kutrack tena unaweza watumia hao hao ukiwa nyumban Wana kutrakia mtu yoyote ambae unashda nae uwe na hela tu.
Una track vp simu ambayo ipo offline,means simu haitumiki na line haitumiki....hyo kitu nachojua hakiwezekan...
 
Endelea kumtafuta ila usitumie vitisho kwake au kwa mtu alie nae
 
Nimempata. Alitoroshwa na huyu jamaa. Baada ya kumtorosha alimbadilishia namba ya simu, hadi sasa anatumia namba ya simu iliyosajiliwa kwa jina la huyu jamaa. Kwa mujibu wao wameoana. Asanteni kwa michango yenu, mbinu nilizopata humu ndizo nilizozitumia kumpata. Asanteni sana.
 

Attachments

  • IMG-20230915-WA0068.jpg
    14.6 KB · Views: 3
Sasa mkuu hebu ngoja kwanza...
 
Wameoana[emoji1787][emoji1787]

Uyo jamaa sio dereva wa boda kweli mana ndio michezo yetu sisi..,mabeki tatu,mama ntilie,hao wa kushona yan mademu flan vitonga
 
Hapo mjiandae kupokea mdogo wako akiwa na mimba

Huyo muhuni atamchoka soon
 
Taarifa ya mtu kupotea kiutaratibu inathibitika baada ya masaa 48, unatoa taarifa za awali kituo cha polisi halafu unaendelea kumtafuta sehemu mbalimbali, huwenda mtu alianguaka njiani kapoteza fahamu akakimbizwa hospitali, inatakaiwa muhusika/mtafutaji kwanza upite sehemu zote hizo, yaani mahospitali na kwengineko, baada kukosa majibu ndio unarudi tena kituo cha police na jalada la kupotea linafunguliwa baada ya masaa hayo 48. Ila kama unazo taarifa kamili za kutoroshwa au kuibiwa na kuna wahusika unawashuku hapo polisi wanafungua jalada muda huohuo.
 
Wafuatulie mnara wa mwisho ambao simu yake ilikuwa ina ping, pia waonbe Subpoena ili mtandao wa simu watoe taarifa ya meseji na simu zote zilizoingia na kutoka siku za karibu na tukio
 
Daahh mwamba kala chuchu mwezi mzima hatar sana, Hawa mabinti miaka 17-21 ni visanga sana.
 
Wameoana[emoji1787][emoji1787]

Uyo jamaa sio dereva wa boda kweli mana ndio michezo yetu sisi..,mabeki tatu,mama ntilie,hao wa kushona yan mademu flan vitonga
Boda boda huyo huoni hiyo picha hapo wamekaa kwenye boda boda
 
Kumbe umempata, okay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…