Hiyo saa 10 watakuwa na mambo yao ya kufanya training jinsi ya kuruka ukuta ili siku rasmi ya mechi iwe rahisiHawa vijana sijui wanataka wakacheze na mobeto
View: https://x.com/privaldinho/status/1898332864678076611?t=qcBI2TPUI7xRvqnUA8kyGw&s=19
Yanga wanataka kwenda uwanjani kwenda kutoa takataka zao walizokuwa wakizilindaHiyo saa 10 watakuwa na mambo yao ya kufanya training jinsi ya kuruka ukuta ili siku rasmi ya mechi iwe rahisi
Azam waliondoka uwanjani toka saa nne asubuhi, kuna mdau twitter aliweka picha magari yao matatu yakiondoka uwanjani.NAWAONA AZAM WANAVOSONYA HUKO PEMBENI
Ko Ndo Simba inavotaka ishinde kwa mtindo huo huoni kama ni ugonjwa wa akili huoKwa usenge waliofanya yanga hakuna mechi yoyote itachezwa, simba anapewa points 3 na goli 3... sasa yanga jifanyeni kwenda uwanjani mpokonywe points 10 apewe mnyama.
Hawana jeuri hiyo YangaHili sekeseke litaendelea tu...
Hiyo tarehe mpya itakayopangwa nao Yanga watagoma kuleta timu uwanjani (kwa mujibu wa barua yao waliyotoa leo)
Tunarudi kule kule...
Haya mauza uza hadi lini sijui kwa kweli
DuuuAzam waliondoka uwanjani toka saa nne asubuhi, kuna mdau twitter aliweka picha magari yao matatu yakiondoka uwanjani.
Heee! Vipi tena mzee...[emoji23]Hawa ni zaidi ya mbwaa kumaninaaaa zao wote waliohusika na huu ujinga na kuonesha uhalisia wa league yetu uswahili mwingi shenziiiiiii kabisa.
Yanga ni wapumbavu pumbavu.... Kuna fala alipiga mtu makofi nikasema I wish I could be there....Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha leo Machi 8, 2025, ilipitia shauri la klabu ya Simba kuzuiliwa kuingia kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC (Young Africans SC vs Simba SC) uliopangwa kufanyika kwenye uwanja huo leo kuanzia saa 1:15 usiku.
Soma Pia: Simba SC yatangaza haitacheza mechi dhidi ya Yanga, Wakidai vitendo visivyo vya kiungwana dhidi yao
Katika shauri hilo, klabu ya Simba iliandika barua kwa Bodi ya Ligi kueleza kususu tukio tajwa hapo juu, huku pia ikieleza nia yao ya kuto shiriki mchezo huo kwa sababu wamezuiliwa kutumia haki yao ya kikanuni kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni ya 17:45 ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.
View attachment 3263593
Kwamba wahusika hawajui kanuni za ligi?simba anazingua unaendaje kwenye uwanja bila taarifa kwa wahusika
Kwahio kijana upo uwanjani? [emoji23][emoji23][emoji23]Bodi ya Ligi imekuwa bodi ya HOVYO sana, kwanini mchezo uahirishwe? Mbona mchezo wa JKT Queens haukuahirishwa? Yanga hatupo tayari kwa mchezo siku nyingine na tunafahamu mchezo ni leo.FULLSTOP
Anapenda sana soka la bongoBadala abak kushabikia huko alipo anakuja kwa makolo na utopolo na Tifufu wenye utoto
Kwani mechi ingechezwa nani angezilipa hizo gharama za lodge?Hasara ya nauli, gharama za Lodge, nani atazilipa..?
Simba walaumiwe kwa hili
tuwaulz TFF kwa nini wanataka wawasiliane nao ikiwa kanuni haisemi hivyoKwamba wahusika hawajui kanuni za ligi?
wamezoea hao mabaunsa wachukuliwe hatuaMabaunsa ndio chanzo cha yote haya
Bodi ya ligi wasenge Manigga Qwameutaenda bila mawasiliano mkuu, lazima utoe taarifa uandaliwe
bado bodi kasema hapo kuna ujinga mwingi unachunguzwa (itakuwa stori ya bus kujaza wazee na kuwa na mbuzi kwenye bus)