Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Kwa usenge waliofanya yanga hakuna mechi yoyote itachezwa, simba anapewa points 3 na goli 3... sasa yanga jifanyeni kwenda uwanjani mpokonywe points 10 apewe mnyama.
 
Kwa usenge waliofanya yanga hakuna mechi yoyote itachezwa, simba anapewa points 3 na goli 3... sasa yanga jifanyeni kwenda uwanjani mpokonywe points 10 apewe mnyama.
Ko Ndo Simba inavotaka ishinde kwa mtindo huo huoni kama ni ugonjwa wa akili huo
 
Hili sekeseke litaendelea tu...

Hiyo tarehe mpya itakayopangwa nao Yanga watagoma kuleta timu uwanjani (kwa mujibu wa barua yao waliyotoa leo)

Tunarudi kule kule...

Haya mauza uza hadi lini sijui kwa kweli
Hawana jeuri hiyo Yanga
 
Hawa ni zaidi ya mbwaa kumaninaaaa zao wote waliohusika na huu ujinga na kuonesha uhalisia wa league yetu uswahili mwingi shenziiiiiii kabisa.
Heee! Vipi tena mzee...[emoji23]
 
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha leo Machi 8, 2025, ilipitia shauri la klabu ya Simba kuzuiliwa kuingia kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC (Young Africans SC vs Simba SC) uliopangwa kufanyika kwenye uwanja huo leo kuanzia saa 1:15 usiku.

Soma Pia: Simba SC yatangaza haitacheza mechi dhidi ya Yanga, Wakidai vitendo visivyo vya kiungwana dhidi yao

Katika shauri hilo, klabu ya Simba iliandika barua kwa Bodi ya Ligi kueleza kususu tukio tajwa hapo juu, huku pia ikieleza nia yao ya kuto shiriki mchezo huo kwa sababu wamezuiliwa kutumia haki yao ya kikanuni kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni ya 17:45 ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.

View attachment 3263593
Yanga ni wapumbavu pumbavu.... Kuna fala alipiga mtu makofi nikasema I wish I could be there....
 
Bodi ya Ligi imekuwa bodi ya HOVYO sana, kwanini mchezo uahirishwe? Mbona mchezo wa JKT Queens haukuahirishwa? Yanga hatupo tayari kwa mchezo siku nyingine na tunafahamu mchezo ni leo.FULLSTOP
Kwahio kijana upo uwanjani? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wa mikoani mtoe location sasa, kilichobaki ni vyombo tu, itabidi mshana ulete ile mada pendwa.
 
Back
Top Bottom