Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwahiyo tutakuwa tumepigwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OKW BOBAN SUNZU umesoma vizuri hii barua?Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha leo Machi 8, 2025, ilipitia shauri la klabu ya Simba kuzuiliwa kuingia kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC (Young Africans SC vs Simba SC) uliopangwa kufanyika kwenye uwanja huo leo kuanzia saa 1:15 usiku.
Soma Pia: Simba SC yatangaza haitacheza mechi dhidi ya Yanga, Wakidai vitendo visivyo vya kiungwana dhidi yao
Katika shauri hilo, klabu ya Simba iliandika barua kwa Bodi ya Ligi kueleza kususu tukio tajwa hapo juu, huku pia ikieleza nia yao ya kuto shiriki mchezo huo kwa sababu wamezuiliwa kutumia haki yao ya kikanuni kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni ya 17:45 ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.
View attachment 3263593
Hawa wasenge wameonyesha kiburi zaidi kuifuata Simba kwenye uwanja wao wa mazoezi kule BunjuUbaya Ubwela
Hiki kiburi kisiwe kwa Simba tu, bali timu yeyote inayofanyiwa mambo ya kihuni.. Yanga na mashabiki wake wamekuwa na mambo ya kisenge sana.
Mnakumbuka RC wa Mwanza? Tukaingiza timu, mwisho wa siku inaonekana kama kitu cha kawaida tu.
Hicho ni kiburi kikichanganyika "wenye akili ni wawili tu"Hawa wasenge wameonyesha kiburi zaidi kuifuata Simba kwenye uwanja wao wa mazoezi kule Bunju
Mkuu nimesoma juu juu sana kwa sababu naanza kupoteza interest na mpira wetu. Naomba nijuze zaidiOKW BOBAN SUNZU umesoma vizuri hii barua?