Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Wanajanvi.
Leo ni siku ya wanwake duniani, matamko mengi yametolewa na viongozi mbalimbali. Yapo yaliyoandikwa na kutangazwa na mengine yamepotelea pasipo julikana.
Hofu ya watawala siku ya leo ilikuwa je chadema na Lisu watajadili kipi na jamii itakipokeaje kwa leo. Hasa ikizingatiwa mkuu wa nchi angezungumza.
Wahafidhina wa ccm wakishirikiana na TISS Wakafikiria ili ujumbe wa Chadema usifike kwa wanancchi na kujadiliwa ipasavyo wafanyeje?? Wakaona waahirishe mechi ili kuhamisha tension kwa umma.
Wakaona waahirishe mechi ili watu wapate vya kujadili na ujumbe wa chadema usisikike. Kweli wamefanikiwa kwa kiasi kidogo japo siyo sana. Dr. Sllaa ameongea leo hakuna haija trend kivile.
Ni hivi, watawala wa ccm wanawajua watz, wanajua pia kwamba wengi ni machizi moira ( sicilia namba ya vipindi vya michezo na magazeti utagundua hilo) stories kwenye vijiwe na maongezi ya kawaida.
Kipindi cha JPM CHADEMA walitangaza maandamano ya UKUTA, Kulikuwa na mechi ya Simba na yanga. Siku ya maandamano ndo ilikuwa siku ya mechi, mball na JWTS kuamriwa wafanye usafi lakini mechi iliahirishwa kubadili upepo.
Mechi ile iliahirishwa ikachezwa siku nyingine na siku ya mechi mh. Mbowe na Mwigulu walikaa jukwaa moja na walionekana kupeaba tano wakati mechi inaendelea.
Ulishawahi kujiuliza wanaoingia uwanjani na jezi na mabango ni kina nani ?
Ukwei mchungu ila ndo hivyo dola inaogopa chadema kuliko inavyojitapa.
Tukutane mechi ya marudiano,
400 beef cow, kitimoto pork
 
Huu uhuni wa Kishenzi ulianzia Mwanza toka kwa mwanachama wa utopolo Mtanda kwa maelekezo toka Juu kwenyr uongozi wa utopolo

Hili la Dar tumeonyesha ukubwa wetu Simba ni dude kubwa sanaa "SIMBA TAIFA KUBWA"
Kubwa jinga linakimbia mechi. Ajabu sana eti mnatuvimbia huku metafuta sababu ya kisenge kutopeleka timu uwanjani. Ripoti ya bodi ya ligi inaeleza wazi kuwa hamkutoa taarifa popote kuwa mngekua na mazoezi usiku wa jana.

Ila nimewashusha sana kudadeki kwa ujinga mliofanya leo kuwatia wati hasara
 
Ogopa sana Kilevi kina 40% na unakinywa ndani ya dakika 3 umemaliza kichupa
 
Aliyewapa kazi ndio chanzo kikuu cha hayo yote...

Hivi tangu lini mabaunsa wakawa na uwezo wa kuzuia uchawi?

Mchawi huzuwiwa na maombi ya upako na sio mabaunsa watafuna mirungi.
Mabaunsa waliwekwa na simba wenyewe. Pale niliona gari ya polisi ndiyo iliyokua imeblock njia ya kuelekea getini. Mabaunsa walikua kwenye msafara wa simba. Mnajitekenya na kucheka wenyewe kwa movie mliyoipanga
 
Ukiacha hii siku ni lini Simba wameitumia hiyo kanuni kabla!? Lakini pia usijitoe ufahamu walimpa taarifa nani kuhusu hilo jambo!? Maana kuna taratibu za kufata ili jambo hilo litekeleze, ikiwemo kumpa taarifa MWENYEJI WAKO😁
Usichokijua, kabla ligi haijaanza viongozi wa timu zote hupewa kanuni za ligi, wanazijadili, hufuta baadhi na kuongeza nyingine kulingana na mahitaji.
Kwahiyo viongozi wote wanajua takwa hilo la kikanuni, timu ngeni hailazimiki kukujurisha, wanalazimika kumjurisha kamishna wa mechi ili awafikishe kwa meneja wa uwanja.
 
Pale Yanga wenye akili ni wawili tuu, na hili limethibitishwa kwa tukio hili la Simba kuzuiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja ambao Yanga ni mwenyeji.

Ukiwauliza wana Yanga waweke ushahidi wa video zinazoonyesha hao kuku na mbuzi wakiwa kwenye basi hilo walilokuwa nalo Simba, wanaishia kupiga bla bla bla tuu!

Hakuna hata muandishi habari mmoja au hata msamaria mwema mmoja aliyeweza kurekodi hao mbuzi na kuku waliokuwa kwenye bus la Simba!
Na mbuzi lini wakawa waganga,mbuzi SI ni wanyama na juzi juzi tu walijihusisha na masupusupu au ndo walikuwa wanaroga.
 
Kubwa jinga linakimbia mechi. Ajabu sana eti mnatuvimbia huku metafuta sababu ya kisenge kutopeleka timu uwanjani. Ripoti ya bodi ya ligi inaeleza wazi kuwa hamkutoa taarifa popote kuwa mngekua na mazoezi usiku wa jana.

Ila nimewashusha sana kudadeki kwa ujinga mliofanya leo kuwatia wati hasara
Wasenge ni wale waliowashwa wakavamia magari ya watu.Usenge ni kujigeuza Ina sasa mechi imegeuka.
 
Kubwa jinga linakimbia mechi. Ajabu sana eti mnatuvimbia huku metafuta sababu ya kisenge kutopeleka timu uwanjani. Ripoti ya bodi ya ligi inaeleza wazi kuwa hamkutoa taarifa popote kuwa mngekua na mazoezi usiku wa jana.

Ila nimewashusha sana kudadeki kwa ujinga mliofanya leo kuwatia wati hasara
Wasenge ni wale waliowashwa wakavamia magari ya watu.Usenge ni kujigeuza ona sasa mechi imegeuka.
 
Mabaunsa waliwekwa na simba wenyewe. Pale niliona gari ya polisi ndiyo iliyokua imeblock njia ya kuelekea getini. Mabaunsa walikua kwenye msafara wa simba. Mnajitekenya na kucheka wenyewe kwa movie mliyoipanga
Amphibian katika ubora wako....

Msalimie Jerry
 
Wasenge ni wale waliowashwa wakavamia magari ya watu.Usenge ni kujigeuza ona sasa mechi imegeuka.
Mwanaume unakimbia game alafu unaenda kujisifia maujinga? Waliposema wamejiandaa na wako fit, kumbe ilikua ni kukimbia???

Mmetia aibu sana
 
..
 

Attachments

  • IMG_20250309_100647.jpg
    IMG_20250309_100647.jpg
    163.8 KB · Views: 1
Taarifa ya tff inawabana. hii ni hujuma na kuionea Yanga.

Simba alistahili adhabu, maana amekiuka taratibu na kanuni.

Tunadili hiki KIPENGELE alafu tuone nani amezingua.

tff.jpg
 
Back
Top Bottom