Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Mwanaume unakimbia game alafu unaenda kujisifia maujinga? Waliposema wamejiandaa na wako fit, kumbe ilikua ni kukimbia???

Mmetia aibu sana
Aliyekamata MBUZI ndie mchawi,mnajifanya wabaabe haya chezeni ndo tushasusa
 
Halafu mungu mtukufu wa Israel lini atamaliza vita na jamii zingine maana anapenda vita kama mgambo.
 
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI
WAZIRI WAULINZI
NA WAZIRI WA MICHEZO

SASA TUMESEMA TUMECHOKA
TUNATAKA KUJUA HIZI PESA ZETU ZINAENDAGA WAPI KAMA HAMTURUDISHIIII??

HIZI MECHI ZIMEKUWA ZIKITUZOEA KIPUMBAVUUU

HAIWEZEKAN TUNAKATA TKT KUONA MECHI

MECHI HAICHEZWI..PESA HAZIRUDSHWI...ZINAENDA WAPI NANI ANAHUSIKA NA HAYA MAMBOOOOO???

TUFIKE WAKATI KAMA WAMEAMUA KUCHEXA NA SOKA LETU BASI WASICHEXE NA PESA ZETU HUU N WEZI NA UTAPELI

WAH WA TAKUKURU TUNAOMBAA WANANCHI WARUDISHIWE PESA ZAO ZOTE WALIZOLIPIA TKT KUONA SIMBA NA YANGA ELSE KILA MTU ATAANZA KUOGOPA SOKA LA TANZANIA NA VIONGOZI WAKE

NA TUTASHITAKI RASMI FIFA NA CAF KUHUSU HUU UTAPELI UNAOENDELEA KWENYE SOKA LETU

HAIWEZEKAN MNATUDANGANYA TUTATUMIA SIJUI MECHI IJAYO NYOKONYOOOOKOO TUNAISHIA KUPIGWAA

TUFIKE WAKATI TUSEME IMETOSHA
TUNATAKA PESA ZETU ZIRUDI
 
Hawa wapuuzi WA BODI wangekuwa Rwanda nawaambia kwa sasa wako ndani
Jtatu wako MAHAKAMAN
JNNE wananyea debeeeee

Jtano WANAANDIKA URITHI kwa familia zaooooo

YAAN kuna baadhi ya nchi unatamani ukaishi hukoo maana hawajui kuendekeza upumbavu kabisa unaohusu MASLAHI ya wananchi
 
Hizi mada zinazoanzishwa khs simba na Yanga inaonyesha n kwa namna gn wabongo n wapuuzi.
 
Sheria za FiFa haziruhusu serekali kuingilia mambo ya mpira labda itokee jinai kama mauaji, ila hizi vurugu za kawaida zina adhabu zake hukohuko kwenye sheria za mpira, serekali ikiingilia nchi inafungiwa
 
Daah mfano uliotolea inaonyesha umeshindwa kusoma alama za nyakati
 
YAANI HAWA JAMAA WANA SHIDA YA AFYA YA AKILI KUBWA SANA

SOMENI HII BARUA MWISHON INASEMA

BODI IMEHAIROSHA ILI KUPATA MDA WA KUPATA TAARIFA ZA UCHUNGUZI

WALIVYO CRAIZY TAARIFA HAWAZIJAPATA BADO WANAMALIZIA

TUTAWATAARIFU WANANCHI SIKU NYINGINE MECHI ITAKAYOCHEZWA

HIZI SIASA ZA KIPUMBAVU MNAZIPATA WAPI

SIMBA IMEANDIKA MALALAMIKO

HAMJAKAA KIKAOOO SIMBA IKATOA MAAZIMIO YA BODI YA LIGI HATUCHEXI

MLIVYOWAJINGA MKAKAA KIKAOO KAMA MNAVYOTUMA MAREFA WENU KWENYE MECHI XA SIMBA SAA NNE MKAJA NA MATOKEO YALE YALE SIMBA WAMEANDIKA KWENYE BARUA

SASA KAMA MTATANGAZA TAREHE YA NYINGINE YA MECHII HUO UCHUNGUZII MNAOUCHUNGUZA WA NN KAMA MMESHAAMUA KUTANGZA SIKU NYINGINE

NAJUA MNAIJARIBU SOKA LA TANZANIA LAKINI KWA HILI SWALA LAKE LAXIMA LIWAJERUHI KARIA NA WENZAKO NA BODI YA LIGI KAENI KKAOO WAKICHAPOO

ZILE DILI ZENUU ZIMEISHIAAA JANA

CYA N GROUND
TEN MINS TO LAND
 
Someni chin
Sababu ya kuhairisha UCHUNGUZI zaidi
UCHUNGUZI haujafanyikaa hahahaa watakutangazia tarehe ya mechi nyingine

Kama wanavyotuma marefa mechi za Simba WANAINGIA na matokeo yaoo WALICHOFANYA wamekwendankikaon na matokeo ya simba

Maaneke Hawa watu wanafanya WATANZANIA wajinga umeshatangaza sababu ya kuhairisha UCHUNGUZI

Aujaisha ushatangaxa hukumu mechi itarudiwa shame n you BODI ya LIGI n tff
 

Attachments

  • IMG_20250308_231443.jpg
    IMG_20250308_231443.jpg
    440.9 KB · Views: 1
Hawa matapeli WA soka washaatuona sisi n wapuuzi na wajingaaa kila siku tuache kununua nyama za watoto tukaangalie Mpira wanakuletea iuhanithi
 
Someni chin
Sababu ya kuhairisha UCHUNGUZI zaidi
UCHUNGUZI haujafanyikaa hahahaa watakutangazia tarehe ya mechi nyingine

Maaneke Hawa watu wanafanya WATANZANIA wajinga umeshatangaza sababu ya kuhairisha UCHUNGUZI

Aujaisha ushatangaxa hukumu mechi itarudiwa shame n you BODI ya LIGI n tff
Umechafua lugha.
Sio kuhairisha, ni kuahirisha au kuakhirisha.
Sio wamehairisha, andika wameahirisha au wameakhirisha
 
Nilikuwa pub Moja nasubiria kuxika kinondon

Niliposikia wale wehu wamekwenda kikaon saa NNE

Nilimwambia aliekuwa MMOJA WA MJUMBE WA tff nae n mfiwa

Nilimwambia NDUGU kama HII BODI NA VIONGOZI WA TFF WANATUMA MAREFA UWANJAN KUINGIA NA MATOKEO YA SIMBA WASHINDE

UNAHISI HIKO KIKAO LINAFANYA NN ZAIDI YA KU COPY N PASTE

WALICHOFANYA BODI N KUCOPY NA KUPASTE YALE WANAYOTUMAGA MAREFA WAKAFANYE MECHI YA SIMBA

SIMBA ALISHATANGAZA HACHEZI

BODI IKAINGIA NA KUPASTE MECHI HAICHEZWI

SASA MNASHANGAA NN HAWAHAWA NDIO WANAAMRISHA MAREFA WAWAPE SIMBA PENALTY UPINZANI WAPEWE REDKAD WAHAKIKISHE WANASHINDA

MNATEGEMEA WANGENDA TOFAUTI NEVER

KUNA MGAO WANAPATA TOKA ....OM

.SIO WAJINGA WALE CHA HUZUNI WANAENDA KUAIBIKA

SUBIRINI NIKO KWA MASAWE KWA WAKALA
 
Back
Top Bottom