Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Wanetu waliona watakula nyingi ndio maana wakakimbia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekamata MBUZI ndie mchawi,mnajifanya wabaabe haya chezeni ndo tushasusaMwanaume unakimbia game alafu unaenda kujisifia maujinga? Waliposema wamejiandaa na wako fit, kumbe ilikua ni kukimbia???
Mmetia aibu sana
Niko huko kwa sasa mkuu napambana karibu usenge hawajuii HawaHamia Rwanda
Umechafua lugha.Someni chin
Sababu ya kuhairisha UCHUNGUZI zaidi
UCHUNGUZI haujafanyikaa hahahaa watakutangazia tarehe ya mechi nyingine
Maaneke Hawa watu wanafanya WATANZANIA wajinga umeshatangaza sababu ya kuhairisha UCHUNGUZI
Aujaisha ushatangaxa hukumu mechi itarudiwa shame n you BODI ya LIGI n tff