Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Huu uhuni wa Kishenzi ulianzia Mwanza toka kwa mwanachama wa utopolo Mtanda kwa maelekezo toka Juu kwenyr uongozi wa utopolo

Hili la Dar tumeonyesha ukubwa wetu Simba ni dude kubwa sanaa "SIMBA TAIFA KUBWA"
 
Kwa Hili Mpira wetu unarudi nyuma sana.
 
Jambo lipo kikanuni team mgeni atatumia uwanja kwa mazoezi siku moja kabla ya mchezo sasa hapo unahitaji taarifa ya nn?
Ikitokea hawajatumia uwanja wagomee mechi?
 
Jambo lipo kikanuni team mgeni atatumia uwanja kwa mazoezi siku moja kabla ya mchezo sasa hapo unahitaji taarifa ya nn?
Yanga wametupita Hapa Geza wanaenda Uwanjani, Itakuwaje sasa?
 
Hamna kitu umeeleza bado ni blah blah, unaulizwa sababu zilitokea, unaanz akulala tff inahangaika na yanga, seriously? It that all?
Yanga iligomea mechi kwa sababu ya kubadilishwa kwa muda wa mchezo bila sababu yenye mashiko, TFF ilifanya makusudi ili kuiondoa Yanga mchezoni., kwa huu ujinga wenu wa kuhangaika nje ya mchezo makombe mtayasikia tu, kama mnavyoyasikia misimu yote.😀😂😂😂
 
Ujinga mtupu! Watu wamesafiri kutoka mikoani, mechi imefanyiwa promotion zaidi ya mwezi mzima alf ina ahilishwa kizembe!
Unafanya promotion ya mechi lakini unaruka baadhi ya kanuni za mchezo, lazima upate hasara.
 
Kanuni ya 17: 45 imewekwa kwa sababu za kiufundi.
Timu kujaribu kuizoea pitch, mwanga wa taa nk.
Taratibu hizo siyo ushirikina, kama unamzuia mpinzani wako asifike uwanjani wewe ndiye mshirikina.
 
Kuna watu wameingia chaka na msomali wao wa tifu tifu, tupo zetu uwanjani
 
Bodi ya Ligi imekuwa bodi ya HOVYO sana, kwanini mchezo uahirishwe? Mbona mchezo wa JKT Queens haukuahirishwa? Yanga hatupo tayari kwa mchezo siku nyingine na tunafahamu mchezo ni leo.FULLSTOP
Pole kwa makasiriko.
Siku nyingine mjifunze kuheshimu kanuni.
 
Nawambiaga kila siku Tifu Tifu ni muunganiko wa Simba na Yanga. Ingekua Pamba point 15 zingekatwa na wangeshushwa ligi. Ila kwa sabab ni hao hao wenyewe hamna lolote hapo.
Simba na yanga ndiyo alama ya mpira wa Tanzania.
Hata kama hupendezwi na hio lakini ndiyo iko hivyo.
 
sasa hii barua inasema kuna vitendo inachunguza hapo hapo inasema mechi itapangiwa siku nyingine

vipi kama uchunguzi huo utaonesha simba ana makosa
 
Ubaya Ubwela

Hiki kiburi kisiwe kwa Simba tu, bali timu yeyote inayofanyiwa mambo ya kihuni.. Yanga na mashabiki wake wamekuwa na mambo ya kisenge sana.

Mnakumbuka RC wa Mwanza? Tukaingiza timu, mwisho wa siku inaonekana kama kitu cha kawaida tu.
Si kweli mkuu... Wewe ni mtu mzima na una akili.
Usiwe boya .

Mmekimbia hii game.. pumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…