Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Jambo lipo kikanuni team mgeni atatumia uwanja kwa mazoezi siku moja kabla ya mchezo sasa hapo unahitaji taarifa ya nn?Na kanuni haijatoa muongozo kuwa lazima watoe taarifa
Wapo weng
Mzee Rage alikua sahihiWapo wengi tu
Wawahi bafuni sasa kuoga na maji ya baridiMechi ingechezwa ni sawa, game kuahirishwa ni sawa na kupaka mkongo halafu demu aingie mitini 😅😅
Kwa Hili Mpira wetu unarudi nyuma sana.Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha leo Machi 8, 2025, ilipitia shauri la klabu ya Simba kuzuiliwa kuingia kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC (Young Africans SC vs Simba SC) uliopangwa kufanyika kwenye uwanja huo leo kuanzia saa 1:15 usiku.
Soma Pia: Simba SC yatangaza haitacheza mechi dhidi ya Yanga, Wakidai vitendo visivyo vya kiungwana dhidi yao
Katika shauri hilo, klabu ya Simba iliandika barua kwa Bodi ya Ligi kueleza kususu tukio tajwa hapo juu, huku pia ikieleza nia yao ya kuto shiriki mchezo huo kwa sababu wamezuiliwa kutumia haki yao ya kikanuni kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni ya 17:45 ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.
View attachment 3263593
Ikitokea hawajatumia uwanja wagomee mechi?Jambo lipo kikanuni team mgeni atatumia uwanja kwa mazoezi siku moja kabla ya mchezo sasa hapo unahitaji taarifa ya nn?
Yanga wametupita Hapa Geza wanaenda Uwanjani, Itakuwaje sasa?Jambo lipo kikanuni team mgeni atatumia uwanja kwa mazoezi siku moja kabla ya mchezo sasa hapo unahitaji taarifa ya nn?
Hapana washushwe darajaIkitokea hawajatumia uwanja wagomee mechi?
Yanga iligomea mechi kwa sababu ya kubadilishwa kwa muda wa mchezo bila sababu yenye mashiko, TFF ilifanya makusudi ili kuiondoa Yanga mchezoni., kwa huu ujinga wenu wa kuhangaika nje ya mchezo makombe mtayasikia tu, kama mnavyoyasikia misimu yote.😀😂😂😂Hamna kitu umeeleza bado ni blah blah, unaulizwa sababu zilitokea, unaanz akulala tff inahangaika na yanga, seriously? It that all?
IWaandike hapa hiyo kanuni ya 34 imeandikwa nini, sio kunukuu kifungu tu waandike hapa hiyo kanuni inasema nini? tumalize mjadala
Haji Manara na Luc Emayel walikuwa sahihi zaidiMzee Rage alikua sahihi
Unafanya promotion ya mechi lakini unaruka baadhi ya kanuni za mchezo, lazima upate hasara.Ujinga mtupu! Watu wamesafiri kutoka mikoani, mechi imefanyiwa promotion zaidi ya mwezi mzima alf ina ahilishwa kizembe!
Kimewalamba;sasa wamechanganyikiwa.Yanga wametupita Hapa Geza wanaenda Uwanjani, Itakuwaje sasa?
Kanuni ya 17: 45 imewekwa kwa sababu za kiufundi.Huwa Simba wanao huu utaratibu wa kufanya mazoezi wakiwa ugenini kabla ya mechi katika uwanja husika!? Au ndio kutafutiana sababu tu😁
Nachokiona hapa kwa wote, ni kuwa na imani za kishirikina badala a kuamini katika mazoezi, mbinu na matayarisho..!
Pole kwa makasiriko.Bodi ya Ligi imekuwa bodi ya HOVYO sana, kwanini mchezo uahirishwe? Mbona mchezo wa JKT Queens haukuahirishwa? Yanga hatupo tayari kwa mchezo siku nyingine na tunafahamu mchezo ni leo.FULLSTOP
Simba na yanga ndiyo alama ya mpira wa Tanzania.Nawambiaga kila siku Tifu Tifu ni muunganiko wa Simba na Yanga. Ingekua Pamba point 15 zingekatwa na wangeshushwa ligi. Ila kwa sabab ni hao hao wenyewe hamna lolote hapo.
Bodi ya Ligi yenyewe haiheshimu kanuni, kuahirisha mchezo kisa timu kunyimwa kufanya mazoezi ulisikia wapi?Pole kwa makasiriko.
Siku nyingine mjifunze kuheshimu kanuni.
Si kweli mkuu... Wewe ni mtu mzima na una akili.Ubaya Ubwela
Hiki kiburi kisiwe kwa Simba tu, bali timu yeyote inayofanyiwa mambo ya kihuni.. Yanga na mashabiki wake wamekuwa na mambo ya kisenge sana.
Mnakumbuka RC wa Mwanza? Tukaingiza timu, mwisho wa siku inaonekana kama kitu cha kawaida tu.