Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

We kasome Tangazo Vizuri inaonekana huelewi nini kinaendelea
Tuwekeni ushabiki pembeni kidogo tuliongelee suala la mpira wetu. Tukubaliane kilichofanyika na Yanga sio sawa kabisa na adhabu kali sana ilitakiwa kutolewa lakini Simba kugomea mchezo eti sababu hawajafanya mazoezi siku moja kabla ya mechi ni ujinga wa kupitiliza na adhabu ingetolewa lakini kwakuwa TFF ndio Simba na Yanga basi madudu yanaanzia humo. HIi nadhani inatakiwa iwekwe kwenye record ya dunia ujinga huu. Kila kosa lina adhabu yake sasa mangapi huko mbele tutahairisha maana kila kanuni ikivunja mechi itavunjwa au hii ni kwa Simba na Yanga tu. Au wanaona mechi imeanguka kwenye Ramadhan wanaweza wasipate pesa nyingi wataisogeza siku ya Eid au pasaka ndio sababu kuu, washenzi wakubwa hawa.
 
El
Wakuu,
Nipo hapa mpakani kati ya Uganda na Tanzania mtukula,Taarifa nyeti hatuna,ni kwamba mechi imeahirishwa au itachezwa?

Mlioko Jijini Kinondoni basi mtuambie yanayojiri huko,hasa wale waliokaribu na uwanja wa Mkapa,shamla shamla vipi,mageti yamefunguliwa,watu wanaingia,au watu wamesusa?

bado hatujajua tujuzeni Huko Daslam
Ela ya kifurushi nilikuwa nimekopa.
 
Nimepata hasara sana sema tiketi zangu nitatumia game zijazo na Kuna mwanangu katoka uingereza kisa hii game Leo anakutana na haya majanga dah
 
Tatizo press release ya Simba mliisoma kikawaida sana.

Ila mngeyazingatia yale maneno ya mwisho HAKI ZOTE ZIMEHIFADHIWA mngeweza kupima kiwango cha u serious walicho maanisha
Football inachezwa kwa ajiri ya mashabiki haiwezekani wahuni wachache wasababishe watu washindwe kuangalia mpira, viongozi wa Simba wapeleke timu uwanjani hayo mambo mengine wa deal nayo nje ya uwanja hio ni weakness wameonesha
 
Huwa Simba wanao huu utaratibu wa kufanya mazoezi wakiwa ugenini kabla ya mechi katika uwanja husika!? Au ndio kutafutiana sababu tu😁
Nachokiona hapa kwa wote, ni kuwa na imani za kishirikina badala a kuamini katika mazoezi, mbinu na matayarisho..!
Unakikumbuka kisa cha RC wa mwanza kwwnye mechi ya pamba jiji vs simba?
 
Ubaya Ubwela

Hiki kiburi kisiwe kwa Simba tu, bali timu yeyote inayofanyiwa mambo ya kihuni.. Yanga na mashabiki wake wamekuwa na mambo ya kisenge sana.

Mnakumbuka RC wa Mwanza? Tukaingiza timu, mwisho wa siku inaonekana kama kitu cha kawaida tu.
Vibaby girl/ drama queens/ vilast born kwa kupenda kulialia basi sisi hatusemi.
 
Kwahiyo TFF waongo!? Haya unakwendaje uwanja wa taifa usiku bila taarifa, uliambiwa ule ni uwanja wa fisi!? Kwa utaratibu huo pia inaonekana timu mwenyeji ndio alitakiwa amtayarishie mgeni MAHALA PAZURI PA KULALIA, Ssasa mgeni unakurupuka tu MAJUMBANI MWA WATU hupigi hata simu UTALALA KIBARAZANI😁😁😁
Sijui umeanza kufuatilia mpira lini lakini kanuni inaruhusu timu kufanya mazoezi muda ule ule ambao mechi itachezwa. Mechi ilikuwa ichezwe saa 1 kwa hiyo Simba ilifika uwanjani muda huo huo. Kama ni mfuatiliaji wa mpira utajua hilo ni jambo la kawaida sana.
 
Wakuu,
Nipo hapa mpakani kati ya Uganda na Tanzania mtukula,Taarifa nyeti hatuna,ni kwamba mechi imeahirishwa au itachezwa?

Mlioko Jijini Kinondoni basi mtuambie yanayojiri huko,hasa wale waliokaribu na uwanja wa Mkapa,shamla shamla vipi,mageti yamefunguliwa,watu wanaingia,au watu wamesusa?

bado hatujajua tujuzeni Huko Daslam

Screenshot_20250308_145133_Samsung Internet.jpg


Kuandika Yanga dhidi ya Simba badala ya Yanga na Simba kunatia ukakasi
 
Ni aibu timu kubwa kama Simba kufanya kitendo kama hiki. Unamuhofia mpinzani wako mpk unaogopa kupeleka timu uwanjani na kuanza kutafuta visingizio vya kitoto, simba imeonyesha tabia za kike kususa susa tena kususa pasina kuwa na sababu ya msingi, ukiwaza unacheka tu mwenyewe😅😂😂😂
 
Football inachezwa kwa ajiri ya mashabiki haiwezekani wahuni wachache wasababishe watu washindwe kuangalia mpira, viongozi wa Simba wapeleke timu uwanjani hayo mambo mengine wa deal nayo nje ya uwanja hio ni weakness wameonesha
Watapeleka timu siku ambayo TFF itapanga rasmi tarehe ya mechi husika.
 
Kumbe kosa ni la kwao wenyewe hawakutoa taarifa yoyote kwamba watautumia uwanja. Sasa wanaahirisha kwa lipi?
 
Back
Top Bottom