Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
kumbe ww
mshamba tuNafikiri umeelewa ndo maana umepaniki
Labda nikuongezea swali lingine
Hiyo Ist uliyonunua million 10 unafikiri baada ya miatano utaweza kuiuza hiyo Bei ?
Na unafikiri itakuwa imepanda thamani au imeshuka thamani ?
Kama imeshuka thamani , unafikiri umejiongezea utajiri au umaskini ?