Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,672
- 9,806
Aendelee Juu zaidi wapi huko!?Hii ndiyo inatulemaza wengi wakishapata hayo yote basi hawazi sanaa namna ya kuendelea juu zaidi, ni pombe na madem na jamii inaona sawa tu vile amejenga na ana gari.
Kama unaona hajafika juu unapopataka wewe, basi malizia mwenyewe.