Bongo Movies wengi ni vilaza, si ajabu wameilaza sanaa ya uigizaji. Wasomi ingieni huko

Bongo Movies wengi ni vilaza, si ajabu wameilaza sanaa ya uigizaji. Wasomi ingieni huko

Daaah yaaani wewe wa kuniuliza mimi elimu ya priyanka chopra? Wenzio hayo mambo ndo tunafanyia presentation.

Priyanka hajasomea film. Alikuwa mrembo na baada ya kushinda tu miss world Abbas akumuita kufanya nae movie 2002. Yaaani infact hakwenda ata chuo.
Kwa hiyo kwa kua Priyanka hakusomea ndio maana mnaokota tu watu kisa wana makalio makubwa na wanaume wakishanyoa viduku na hereni mnawapa scene mwendo mdundo,

Kuna muigizaji mmoja alikua anajisifia kila mwezi anatoa movie, hahaha unategemea mtazamaji atapata kitu gani hapo?
 
Kwa hiyo kwa kua Priyanka hakusomea ndio maana mnaokota tu watu kisa wana makalio makubwa na wanaume wakishanyoa viduku na hereni mnawapa scene mwendo mdundo,

Kuna muigizaji mmoja alikua anajisifia kila mwezi anatoa movie, hahaha unategemea matazamaji atapata kitu gani hapo?
Priyanka hakusomea ila ameshindwa kuelezea elimu yake
 
rodrick alexander ROBERT HERIEL
Tatizo kubwa la cinema za bongo ni technical issues,
ma director ni wabovu sana.pamoja na
Art Direction,
Visual Effects ,
Scripting,
editing,
choreographers,
Back ground score,
music compose,
sound designer,
Sound Recorders,
Costume Designer,
Production Designer,
Cinematography,
Stunt Directors
na hayo ndio maeneo yanayohitaji watu wenye elimu mana ni sehemu za kitaalamu. Waweza kuta mambo yote hayo yanafanywa na mtu mmoja tu, we umesikia wapi yanafanyika hayo Zaidi ya bongo?
Kuwashutumu ma Actors sio suluhishi kabisa, amini mkuu hata tumlete Robert Di Nero kwa watengnezezaji filamu wa bongo nae tutamuona utopolo tu. acting ni kipaji, pamoja na ile hali ya mtu kuwa willing kujifunza mambo mapya kila siku, cheti cha darasani hakimati kabisa kwenye acting, ni just formalities course zakupitia kwa ajili ya kujielewa tu, ni kama vile football players au coaches waweza kuta David Moyes alipasi vizuri darasani kuliko Pep Guardiola, ila tizama hali halisi ya kwenye kazi zao.

Kukosekani kwa fedha ndio msingi wa tatizo kubwa na huku support kutoka kwenye serekali likiwa ndio tatizo kuu.
Yani hiyo hali iliyonayo Bongo movie bado serekali utakuta wana force kupata tax wakati ni mambo yanayohitaji kupata muda mpaka yasimame vizuri, naamini wapo ma financers Zaidi wahindi wanaotamani kuekeza kwenye hii tasnia lakini wanaogopa TRA isije ikapata sababu ya kuwaona kama jamaa kumbe fedha ipo wakaanza kuwasumbua.
Bila ya uwekezaji mzuri na serekali kutoa support hapawezi kuwa na mabadiliko. Hivi hata kuvaa uniform za Polisi au jeshi hawaruhusiwi.

Na jengine kubwa ni kuwa, bila ya kupata support kutoka kwa wananchi ni ngumu sana tasnia kuinuka, hata hao waekezaji wakijitokeza bila yakua na return ya wanachokiekeza ni bure kabisa, Sinema za Nigeria na India zimeinuka kutokana na kupata support kutoka kwa wananchi wao, Bongo biashara ni zero Zaidi ya kuishia kuwasukumia matusi.
Hivi ni lini tutakuta foleni kuelekea ndani ya Cinema Hall tukiwa tumejipanga tunakwenda kutizama bongo Movie? tutakapofika hatua hiyo basi mabadiliko lazima tutayaona.
 
Priyanka hakusomea ila ameshindwa kuelezea elimu yake
Anadhani Priyanka aliishia darasa la nane kama dada zake anaofanya nao kazi, hapo anataka kumfananisha Priyanka na Wema Sepetu kisa wote walikua maMiss, anashindwa kuangalia education backgrounds zao.
 
Ndio maana mwaitwa vilaza, ukisikia make up unadhani ni kupaka poda tu, make up artist ni kipengele kikubwa sana, hizo movies za wenzetu uzionazo mfano za kutisha sio wote wanavaa masks au zamani tuliaminishwa ni computer, kuna wengine ni make up tu, mfano kaangalie movies za Guardians of the Galaxy, yule Drax mwili wake kua na michoro michoro vile ni make up ilipakwa 3 hrs, yule Gamora ile rangi ni make up pia, kuna Joker, na wasanii wengine wengi tu,

Usimchukulie poa make up artist katika kiwanda cha movie.

Hapa ndipo penye point yangu, Elimu inahitajika kwenye maeneo ya technical staff, Ila kuzungumzia elimu kwa ma Actors sio hoja sahihi kabisa.
 
rodrick alexander ROBERT HERIEL
Tatizo kubwa la cinema za bongo ni technical issues,
ma director ni wabovu sana.pamoja na
Art Direction,
Visual Effects ,
Scripting,
editing,
choreographers,
Back ground score,
music compose,
sound designer,
Sound Recorders,
Costume Designer,
Production Designer,
Cinematography,
Stunt Directors
na hayo ndio maeneo yanayohitaji watu wenye elimu mana ni sehemu za kitaalamu. Waweza kuta mambo yote hayo yanafanywa na mtu mmoja tu, we umesikia wapi yanafanyika hayo Zaidi ya bongo?
Kuwashutumu ma Actors sio suluhishi kabisa, amini mkuu hata tumlete Robert Di Nero kwa watengnezezaji filamu wa bongo nae tutamuona utopolo tu. acting ni kipaji, pamoja na ile hali ya mtu kuwa willing kujifunza mambo mapya kila siku, cheti cha darasani hakimati kabisa kwenye acting, ni just formalities course zakupitia kwa ajili ya kujielewa tu, ni kama vile football players au coaches waweza kuta David Moyes alipasi vizuri darasani kuliko Pep Guardiola, ila tizama hali halisi ya kwenye kazi zao.

Kukosekani kwa fedha ndio msingi wa tatizo kubwa na huku support kutoka kwenye serekali likiwa ndio tatizo kuu.
Yani hiyo hali iliyonayo Bongo movie bado serekali utakuta wana force kupata tax wakati ni mambo yanayohitaji kupata muda mpaka yasimame vizuri, naamini wapo ma financers Zaidi wahindi wanaotamani kuekeza kwenye hii tasnia lakini wanaogopa TRA isije ikapata sababu ya kuwaona kama jamaa kumbe fedha ipo wakaanza kuwasumbua.
Bila ya uwekezaji mzuri na serekali kutoa support hapawezi kuwa na mabadiliko. Hivi hata kuvaa uniform za Polisi au jeshi hawaruhusiwi.

Na jengine kubwa ni kuwa, bila ya kupata support kutoka kwa wananchi ni ngumu sana tasnia kuinuka, hata hao waekezaji wakijitokeza bila yakua na return ya wanachokiekeza ni bure kabisa, Sinema za Nigeria na India zimeinuka kutokana na kupata support kutoka kwa wananchi wao, Bongo biashara ni zero Zaidi ya kuishia kuwasukumia matusi.
Hivi ni lini tutakuta foleni kuelekea ndani ya Cinema Hall tukiwa tumejipanga tunakwenda kutizama bongo Movie? tutakapofika hatua hiyo basi mabadiliko lazima tutayaona.
Anzeni kutengeneza movies nzuri hizo foleni zitakuwepo sasa mwataka tupange foleni kuangalia vile mnavyongonoka?
Mpo serious kweli na kazi? Mbona tunapanga foleni kuingia kwenye shows za Music?
 
Toeni basi movie ya kuonyesha mfumo na ccm wanavyowaatiri vinginevyo mtabaki kuchangishana rambirambi na kuibiana maana hicho ndio mnakiweza
Hili wazo zuri sanaaa, naam kama wanaibiwa na CCM au wanakandamizwa na CCM basi ni muda muafaka sana kutoa igizo linalohusu hayo manyanyaso hiyo ndio kazi ya Fasihi, kufikisha ujumbe kwa jamii.
 
Kwa hiyo kwa kua Priyanka hakusomea ndio maana mnaokota tu watu kisa wana makalio makubwa na wanaume wakishanyoa viduku na hereni mnawapa scene mwendo mdundo,

Kuna muigizaji mmoja alikua anajisifia kila mwezi anatoa movie, hahaha unategemea matazamaji atapata kitu gani hapo?

Watanzania aisee! kipindi industry inafanya vizuri na kina kanumba wapo hawa waigizaji ambao mnasema hawajasomea mbona mlikuwa hamsemi. Uigizaji sio udaktari. NI UFUNDI KAMA KUSHONA NGUO. Mimi naweza kukutajia waigizaji mia ambao hawajasomea na wanaigiza vizuri tu.

Cha pili amna msomi aliyekatazwa kuingia kwenye industry kama wewe ulikutana na wawili watatu thats you mimi najua watu wengi wamemaliza elimu zao na wako kwenye industry. Pambana acha kulalamika humu.

Kitu cha pili
 
Mkuu suala la acting ni uwanja mpana sana, kupasi vizuri chuoni hakukutoshelezi wewe kuwa ni muigizaji mzuri.

Uliwahi kusoma chuo Mkuu?

Hivi unajua chuoni kuna kila aina ya fani? Kila aina ya watu?
Unadhani chuoni hakuna wenye vipaji vya kuigiza, kuimba, kucheza n.k?
 
Mkuu naomba unitajie jina la hiyo muvi ambayo koplo anampigia saluti koplo au ni mwigizaji gani aliigiza kwa hiyo movie ili niitafute.

Tusije tukawa tunaongelea vitu ambavyo havipo ili tu tufurahishe umma
Kuna movie ya kijeshi imeigizwa kiporipori nimeisahau mkuu.

Sinaga tabia za kudanganya ili kuufurahisha umma.

Hiyo movie ipo niliona kipande sio yote na siijui jina.

Kila nilichokiongea nilishawahi kuona katika moviie hizi uchwara za bongo.

Wabongo movie wanatakiwa waelewe kuwa kila fani wanayoigiza basi wajue kuna watanzania wapo katika hiyo fani hivyo wanatakiwa wafanye kwa uweledi kwa mujibu wa fani husika
 
Watanzania aisee! kipindi industry inafanya vizuri na kina kanumba wapo hawa waigizaji ambao mnasema hawajasomea mbona mlikuwa hamsemi. Uigizaji sio udaktari. NI UFUNDI KAMA KUSHONA NGUO. Mimi naweza kukutajia waigizaji mia ambao hawajasomea na wanaigiza vizuri tu.

Cha pili amna msomi aliyekatazwa kuingia kwenye industry kama wewe ulikutana na wawili watatu thats you mimi najua watu wengi wamemaliza elimu zao na wako kwenye industry. Pambana acha kulalamika humu.

Kitu cha pili

Industry ya Bongo haijawahi kufanya vizuri Budah, sema zipo baadhi ya Movie zilijitahidi, na hiyo ni kutokana na sababu kuwa kipindi hicho jamii ilikuwa gizani, wenye elimu walikuwa wachache, wenye Tv walikuwa wachache, Hapakuwa na Smartphone ambazo zingelinganisha kazi zetu na za kigeni.

Huoni mambo yamebadilika sasa, wewe darasa la pili utaigiza jambo gani kuifundisha jamii hii ya utandawazi zaidi ya vichekesho vyako?
 
CCM ndio wanawafundisha nyie kuigiza? Mbona ngono mnazipatia? Nchi hii ni kubwa sana yaan mmeshaizunguka koooote mkatafuta hata stories za makabila flan mkaigiza? Kuna locations chungu nzima mnashindwa kwenda huko mkaigiza muachane na locations za mahotelini? Big budget gani, watu wanasema hamna ubunifu, stories zenu ni zile zile za mapenzi na uchawi, waigizaji hawana viwango, mnajali makalio na hereni za kuning'inia na make ups kama clowns,

Mpishe wasomi waliosomea tasnia hiyo wapige kazi na wao, sura zenu haziuziki tena.

Tunalalamika sie au nyie? Mngekua mnafanya kitu cha kuonekana hata serikali ingewekeza.

Nimekuuliza hizo filamu unazozisema tukishatengeneza kwa bajeti unayoisema wewe tunaonyesha wapi ili turudishe faida unazunguka tu.

How Do we Distribute our movies if the government banned STEPS and haikuja na solution yoyote?

Alafu acha kujikaririsha ujinga inaonekana hata filamu zenyewe huangalii

Unaongea vitu kirahisi sana kwamba unazunguka tu paaap movie imetoka wakati we mwenyewe unalalamika hupewi nafasi. Nijibu movie tutasambaza wapi turudishe faida?
 
Mkuu umeongea ukweli mtupu hawa watu lazima wawe na utaalamu kuhusu fani husika.

Kama mtu anaigiza udaktari basi aigize kweli aelewe mambo muhimu ya udaktari juu ya script anayocheza.

Sio unaigiza daktari alafu umevaa nguo za nesi.

Kama mtu anaigiza polisi kweli awe na taaluma kuhusu upolisi,sio polisi wa kituoni na nguo zake za kaki ati ana ndevu wakati polisi wale hawatakiwi kufuga ndevu.

Sio polisi wawili wameenda kukamata kila polisi anamwita mwenzie afande wakati kijeshi lazima kuna mmoja atakuwa senior na mwingine mdogo

Sio mtu anaigiza movie ya kijeshi ati private wa jeshi anampigia saluti coplo wa jeshi jambo ambalo halipo na ni upuuzi.

Kiufupi wanaigiza kama watoto wadogo vile wakati wenzetu huko nje unajiuliza ni kweli ama maigizo wakati huo hapa bongo unaona kabisa hapa ni changa la macho.

Wanachofanya bongo movie ni kutudanganya hata juu ya wanachoigiza,yaani huwezi kujifunza kitu cha ukweli kwenye movie za bongo

Coplo kumpigia saluti coplo ni uongo kiuhalisia haipo hivyo kwa hiyo movie zetu wanatudanganya na ndo wanazidisha ujinga kwenye jamii kwa kuwaigizia watu jambo ambalo silo.

Kwenye mapenzi oooooh wanajua kuigiza sana hasa ukikuta mwanaume the way anareact akiona demu mwenye chura utaona kabisa ni kama wamekuona wewe lakini wapii they are experts katika hiyo sector ya mapenzi na ngono.

Nilishawahi kuwaza na mimi nije kuwa muigizaji ili nielimishe jamii juu ya mambo mbali mbali ya Nchi hii kwa kuigiza kitu cha ukweli kutokana na wao kuharibu tasnia hii lakini ndo nina malengo mengine tofauti na uigizaji.

Hilo lote ni tatizo la film Director, Ndio mana nikasema bongo movie ina tatizo kubwa kwenye technical issues
 
Kheee wewe acha kupotosha watu. Unaposema wanatumia bajet ya kawaida unamaanisha nini?

Hivi unajua series ya korea "kingdom" walikuwa wanatumia bajeti ya 1M Usd per EPISODE!

Mkuu unajua series ya Gu Family Book featuring Lee Seungi walikuwa wanatumia kiasi gani kwa episode moja?

Nigeria? Niambie mara ya mwisho kuangalia movie MPYA kutokea nigeria ilikuwa ni lini?

Acha kupotosha watu mkuu. Fatilia vitu kabla ya kuandika hapa.

Wewe unataja Movie zenye bajeti kubwa wakati kuna filamu za kizungu zenye bajeti ndogo kabisa zinafanya vizuri, angalia filamu za kifilipino hakuna bajeti ya kutisha lakini zinachezwa kitaalamu, angalia filamu za kikorea zipo nyingi tuu zina bajeti ndogo, na vifaa visivyogharimu pesa nyingi.

Kwa hiyo hao wanaofatilia ndio wameamua kuigiza utopolo licha ya kuwa wafuatiliaji?
 
Nimekuuliza hizo filamu unazozisema tukishatengeneza kwa bajeti unayoisema wewe tunaonyesha wapi ili turudishe faida unazunguka tu.

How Do we Distribute our movies if the government banned STEPS and haikuja na solution yoyote?

Alafu acha kujikaririsha ujinga inaonekana hata filamu zenyewe huangalii

Unaongea vitu kirahisi sana kwamba unazunguka tu paaap movie imetoka wakati we mwenyewe unalalamika hupewi nafasi. Nijibu movie tutasambaza wapi turudishe faida?
Steps alibanwa sababu ya kukwepa kodi na mbaya zaidi alikuwa anaibia mpaka wenye movies, alikuwa anawakata asilimia 5 anasema analipa serikalini wakati halipi
 
Hizo ndizo fikra zenu za kimaskini, unauliza watamuuzia nani, Kuna mtu haangalii kitu kizuri?, hebu fanyeni hivyo muone kama hamtopata wanunuzi kutoka ndani na nje ya nchi,

Kama mnaweza kukopeshana pesa hadi kufikia hatua ya kutukanana matusi ya nguoni kwanini msiungane mkachukua mkopo bank na kufanya mambo makubwa?

Angalieni wenzenu wa Bongo flavor wanavyojitahidi, sasa hivi hadi Wamarekani wameanza kufanya collabo na Waafrica baada ya kuona hatusikilizi tena miziki yao tupo busy na ya kwetu, kwanini Bongo movies msibadilike kama Bongo flavor? Na kama hamuwezi basi mtuachie fursa sie wapya tufanye mapinduzi lakini bado mnatubania,

Aibu yenu.

Huwezi fananisha Bongo Flavor na Bongo movie, Movie industry ni tasnia inayohitaji taaluma na uekezaji mkubwa, tofauti na masuala ya music.
 
Industry ya Bongo haijawahi kufanya vizuri Budah, sema zipo baadhi ya Movie zilijitahidi, na hiyo ni kutokana na sababu kuwa kipindi hicho jamii ilikuwa gizani, wenye elimu walikuwa wachache, wenye Tv walikuwa wachache, Hapakuwa na Smartphone ambazo zingelinganisha kazi zetu na za kigeni.

Huoni mambo yamebadilika sasa, wewe darasa la pili utaigiza jambo gani kuifundisha jamii hii ya utandawazi zaidi ya vichekesho vyako?

Mkuu I said it in their CONTEXT course wanafanyaga reference ya kile kipindi cha Kanumba wanasema the market was good.

Pia kiukweli uwezi ukafananisha hali ya kipindi kile na sasa hivi when it comes to sales of movies. Kipindi kile movie zilikuwa mbaya but soko lilikuwa zuri kipindi hiki ubora vumeongezeka compared to zamani lakini soko hamna kabisa
 
Nimekuuliza hizo filamu unazozisema tukishatengeneza kwa bajeti unayoisema wewe tunaonyesha wapi ili turudishe faida unazunguka tu.

How Do we Distribute our movies if the government banned STEPS and haikuja na solution yoyote?

Alafu acha kujikaririsha ujinga inaonekana hata filamu zenyewe huangalii

Unaongea vitu kirahisi sana kwamba unazunguka tu paaap movie imetoka wakati we mwenyewe unalalamika hupewi nafasi. Nijibu movie tutasambaza wapi turudishe faida?

Unaona usivyo na akili nzuri. Hivi kama mmeweza kuigiza filamu mnashindwa vipi kuajiri maafisa masoko wakuwasaidieni kutafuta soko, mnashindwa kuandaa hata matamasha ya bei rahisi kwa kuingia mikataba na wanamuziki?
Haya mmeshindwa kuanzisha YOUTUBE CHANNEL Maalumu kwa kutangaza movie zenu, mmeshindwa kuanzisha page maalumu kwa kazi hizo?

Mnashindwa na watafsiri Movie hamjiulizi wanasambazaje?

Kitu kikiwa bora huwezi pata shida kukisambaza, lakini kikiwa kibaya lazima uone shida kukisambaza.
 
Hizo ndizo fikra zenu za kimaskini, unauliza watamuuzia nani, Kuna mtu haangalii kitu kizuri?, hebu fanyeni hivyo muone kama hamtopata wanunuzi kutoka ndani na nje ya nchi,

Kama mnaweza kukopeshana pesa hadi kufikia hatua ya kutukanana matusi ya nguoni kwanini msiungane mkachukua mkopo bank na kufanya mambo makubwa?

Angalieni wenzenu wa Bongo flavor wanavyojitahidi, sasa hivi hadi Wamarekani wameanza kufanya collabo na Waafrica baada ya kuona hatusikilizi tena miziki yao tupo busy na ya kwetu, kwanini Bongo movies msibadilike kama Bongo flavor? Na kama hamuwezi basi mtuachie fursa sie wapya tufanye mapinduzi lakini bado mnatubania,

Aibu yenu.

Untie samahani, naona una povu kubwa, hivi wewe upo kwenye fani gani ambayo ulimwengu wa bongo movie umekuekea mguu? ningependa kujua kama utakua open ku share, japo kwa PM kama hapa utahisi sio poa.
 
Back
Top Bottom