Bongo Zozo ana hoja kuhusu uraia pacha kwa Watanzania

Bongo Zozo ana hoja kuhusu uraia pacha kwa Watanzania

Daah hawa viongoz ni shidaa una muweka mtu kwenye Cage amekua ndege?
Ukiachana na Rais mwnyewe, nchi hii Hakuna mtu huru.


Hata wabunge wa CCM hawana Uhuru na amani.

Ukitaka kuongea ukweli bungeni, tayari Kuna speaker wa mchongo atakudili hata kukufukuza, ingawa kwa utaratibu speaker alipaswa kuchaguliwa na wabunge na kuwa chini ya wabunge.

Kuna wakati, sheria ilitaka kubadilishwa (sijui Kama walibadili), ili mtu aweze kugombea Ubunge, urais au udiwni inabidi uwe mwanachama wa chama unachotaka kugombea kwa mwaka mmoja.

Tafsiri yake ni kuwa, MwanaCCM akikatwa ndani ya chama asihamie chama kingine akawasumbua.

Uoga uliozidi kiwango.

Hata suala la kukataa KURUHUSU MGOMBEA BINAFSI, ni uoga.


Kwasababu wanaona watashindwa kudhibiti watu.
 
Ukiachana na Rais mwnyewe, nchi hii Hakuna mtu huru.


Hata wabunge wa CCM hawana Uhuru na amani.

Ukitaka kuongea ukweli bungeni, tayari Kuna speaker wa mchongo atakudili hata kukufukuza, ingawa kwa utaratibu speaker alipaswa kuchaguliwa na wabunge na kuwa chini ya wabunge.

Kuna wakati, sheria ilitaka kubadilishwa (sijui Kama walibadili), ili mtu aweze kugombea Ubunge, urais au udiwni inabidi uwe mwanachama wa chama unachotaka kugombea kwa mwaka mmoja.

Tafsiri yake ni kuwa, MwanaCCM akikatwa ndani ya chama asihamie chama kingine akawasumbua.

Uoga uliozidi kiwango.

Hata suala la kukataa KURUHUSU MGOMBEA BINAFSI, ni uoga.


Kwasababu wanaona watashindwa kudhibiti watu.
Huo ndiyo ukweli ingawa mchungu! Vigogo wa CCM wanapenda kudhibiti wenzao kwa maslahi ya matumbo yao!
 
Bongo zozo mke wake ni mtanzania, umemuelewa vizuri sana na hoja yake hii ingeweza kutoka kwenye kinywa cha mke wake ambaye ndie anayeguswa zaidi pamoja na watoto. Tukumbuke kuwa siku hizi kwa sheria zetu za uhamiaji mtoto anaweza kurithi uraia kupitia kwa mama.
Kwa hiyo huyo mtoto atakuwa Muingereza na Mtanzania bila kunyimwa haki zake bongo? au sio hana haja ya special status ya kimchongo??
 
Uraia pacha uruhusiwe ila uwekewe masharti maalumu ili kuzuia wale raia especially wa kigeni wanaoweza tumia fursa hiyo kuja kuchuma rasilimali na kukimbia.

Hiyo hadhi ya uraia pacha mimi napendekeza iwe kwaajiri ya watanzania wa kuzaliwa hapa Tanzania ambao ni waafrika na ancestors wao wamezikwa katika ardhi ya Tanzania vizazi 8 nyuma kutokea yeye, yaani babu wa mababu wa sita na bibi wa mabibi sita awe alikuwa mtoto wa hapa Tanzania kwa kuzaliwa.


Hawa kanjibia tuwe nao makini sana watachuma sana rasilimali hapa na kufilisi taifa.
 
Urai pacha ni muhimu kwa maendeleo ya taifa, kwani kuna watanzania kibao wapo nje wanatamani kuleta uwekezaji Tanzania wanashindwa kwa sababu ya gharama za kuja kama wawekezaji bado masuala ya ununuzi wa ardhi
Hili swala la ununuzi wa ardhi litaleta shida sana. Kuna watu huko nje watakomesha kwa kununua maelfu ya heka halafu wanayahodhi kimya na kufanya wengine wakose hata sehemu ya kufanyia shughuli za kilimo na ufugaji na ndio mwanzo wa uharibifu wa mazingira.

Me nadhani wawezeshwe kuwekeza kwenye maeneo yaliyopo mfano real estate. Kununua hisa za makampuni ya real estate. Kuwekeza mitaji ya kampuni,kuwekeza kwenye elimu mfano kujenga shule za kisasa zenye teknolojia ya hali ya juu, uwekezaji kwenye miundo mbinu kama kupewa ruhusa ya kujenga barabara ambazo zitakuwa zinalipiwa watu kupita. Kuwekeza kwenye sekta ya umeme, etc


Hili swala linataka umakini sana.
 
Tatizo wanaolilia uraia pacha si watanzania tena. Ni kama bongo zozo, na wengine ambao walishaukana uraia wa Tanzania hali wakijua tz kwa sasa hairuhusu uraia pacha. Wameshakuwa foreigners hawawezi wakatuamulia wala kutusemea mambo ya ndani ya nchi yetu. Waheshimu sheria za kimataifa.

Walipaswa wapiganie uraia pacha wakiwa bado ni watanzania, ndipo sauti zao zingesikika.
True mkuu.
 
Hakika kabisa! Kuliko hivi sasa tumebaki kujisifia watu ambao tayari walikwisha ukana uraia wa Tanzania kama Sunak Waziri Mkuu wa UK wa sasa ni Mtanzania, au huyu mwafrika ambaye amechaguliwa kuwa seneta huko Ujerumani ni Mtanzania kwa kuwa tu wazazi wake ni wa asili ya Tanzania au yule Mzanzibari mwandishi wa vitabu ambaye sasa ana uraia wa Uingereza.

Tunapaswa kubadilika!
50Cent mwenyewe babu na bibi yake walikuwa wenyeji wa Kilwa kivinje. So ni mtanzania by asili.
 
Uraia Pacha.... ? No Problem am a Globalist na Binafsi naona Dunia kama kijiji na mtu anaweza kuishi popote na kupaita ni kwake...

Kwamba Uache kuwekeza Sehemu au usifanye lolote sababu hauna Kijitabu kinachosema wewe ni raia wakati huko ndipo ulipozaliwa ? (well hata ukipewa hilo karatasi huenda deep down hauna attachment na hio sehemu; just a mercenary....; Which is not bad so long as the end justifies the Means....
 
Hili swala la ununuzi wa ardhi litaleta shida sana. Kuna watu huko nje watakomesha kwa kununua maelfu ya heka halafu wanayahodhi kimya na kufanya wengine wakose hata sehemu ya kufanyia shughuli za kilimo na ufugaji na ndio mwanzo wa uharibifu wa mazingira.

Me nadhani wawezeshwe kuwekeza kwenye maeneo yaliyopo mfano real estate. Kununua hisa za makampuni ya real estate. Kuwekeza mitaji ya kampuni,kuwekeza kwenye elimu mfano kujenga shule za kisasa zenye teknolojia ya hali ya juu, uwekezaji kwenye miundo mbinu kama kupewa ruhusa ya kujenga barabara ambazo zitakuwa zinalipiwa watu kupita. Kuwekeza kwenye sekta ya umeme, etc


Hili swala linataka umakini sana.
Acha uoga
 
Mkikubali uraia pacha basi mkubali na ushoga kuruhusiwa inchini..

Hivi mtu ana uraia wa inchi zinazokubali ushoga unaweza kumuhukumu na kumfunga kwa hapa tanzania?


Jibu ni BIG NO...
 
Mkikubali uraia pacha basi mkubali na ushoga kuruhusiwa inchini..

Hivi mtu ana uraia wa inchi zinazokubali ushoga unaweza kumuhukumu na kumfunga kwa hapa tanzania?


Jibu ni BIG NO...
Mtu akitenda jinai anahukumiwa kwa mujibu wa sheria bila kujali uraia wake!
 
Uraia pacha uruhusiwe ila uwekewe masharti maalumu ili kuzuia wale raia especially wa kigeni wanaoweza tumia fursa hiyo kuja kuchuma rasilimali na kukimbia.

Hiyo hadhi ya uraia pacha mimi napendekeza iwe kwaajiri ya watanzania wa kuzaliwa hapa Tanzania ambao ni waafrika na ancestors wao wamezikwa katika ardhi ya Tanzania vizazi 8 nyuma kutokea yeye, yaani babu wa mababu wa sita na bibi wa mabibi sita awe alikuwa mtoto wa hapa Tanzania kwa kuzaliwa.


Hawa kanjibia tuwe nao makini sana watachuma sana rasilimali hapa na kufilisi taifa.
Wanaofolisi taifa ni wabongo wenyewe na kwenda kuficha mali Dubai na mauricius
 
Madhara ni ardhi yote nzuri watachukua wageni na tunaweza kuja kutawaliwa na mamluki nusu mtz nusu muingereza, hatufungulii mlango mabeberu
hili watu hawalioni........
na tunaweza kuwa na mawaziri nusu watanzania, nusu wamarekani...... sijui wata-serve interest za nani
 
hili watu hawalioni........
na tunaweza kuwa na mawaziri nusu watanzania, nusu wamarekani...... sijui wata-serve interest za nani
Hadi sasa bila hata kuwa na uraia pacha bado kuna mawaziri wana-serve interest zao na za wawekezaji!
 
Back
Top Bottom