HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Unatoa mimba afu haitokiUtoe kafara halaf usiupate utajiri😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatoa mimba afu haitokiUtoe kafara halaf usiupate utajiri😂
Ukisha mfanya kuwa msukule wewe hauta kufa?Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Kwanin atoe mimba??Unatoa mimba afu haitoki
Mim watoto watamu kuliko wazazi aiseeBora kumtoa mtoto kuliko mzazi,lakini mtoto nae awe mdogo, kabla hajajua mengi sana ya Dunia na uoga wa kifo,rejea kafara ya Ibrahim Kwa isaka,au adhabu ya Mungu Kwa Daudi pale alipotembea na mke wa mtu,au collabo la Mungu na shetani Kwa watoto wa ayubu au mauji aloyafanya Mungu Kwa wazaliwa wa kwanza pale mjini Cairo misri,au kafara ya Mungu mwenyewe kumuua mwanae(😬😬🤣🤣) Ili wewe upone,mifano ni mingi TU inayosajesti atolewe mtoto kuliko mzazi,so nakushauri tufate hiyo truck iloanza toka zamani na Mungu mwenyewe Ili tupige pesa hapa Kwa Dunia😶😶😶
Kitamu ndo kizuri kukitoa babrai fata hiyo chain ya mafanikio mkuu,hutojutia niamini mimi 😎😎Mim watoto watamu kuliko wazazi aisee
SiweziKitamu ndo kizuri kukitoa babrai fata hiyo chain ya mafanikio mkuu,hutojutia niamini mimi 😎😎
Kwani huyo unayemtoà kafara hataki utajiri?Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Ngoja nikusaidie ndugu, unajua umaskini au utajiri katika familia au ukoo ni mnyororo au link ndefu ambayo imeanza kizazi na kizazi mpaka kufikia kwako.Kukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Kafara zilianza enzi huko sema tu sasa iv watu wanahofuBora kumtoa mtoto kuliko mzazi,lakini mtoto nae awe mdogo, kabla hajajua mengi sana ya Dunia na uoga wa kifo,rejea kafara ya Ibrahim Kwa isaka,au adhabu ya Mungu Kwa Daudi pale alipotembea na mke wa mtu,au collabo la Mungu na shetani Kwa watoto wa ayubu au mauji aloyafanya Mungu Kwa wazaliwa wa kwanza pale mjini Cairo misri,au kafara ya Mungu mwenyewe kumuua mwanae(😬😬🤣🤣) Ili wewe upone,mifano ni mingi TU inayosajesti atolewe mtoto kuliko mzazi,so nakushauri tufate hiyo truck iloanza toka zamani na Mungu mwenyewe Ili tupige pesa hapa Kwa Dunia😶😶😶
Aisee na wewe ymejiunga na wale wahuni NDUGU haya Katoe mkeo na wanaooKukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Kwahiyo wewe ni KATAA NDOA pro😄😄😄Me kuwa mdingi sahau mkuu..
Kwanza takua natelekeza hukooo
Wewe unatakiwa utolewe kafara wa kwanza uwe msukule. Maana huna maana kwenye hii nchiKukubali ukoo mzima kuishi ktk umaskini ni sawa na kukubali kuutoa kafara ukoo mzima. Ndiyo! Umaskini ni ugonjwa. Mkiwa maskini mtakufa kwa magonjwa, stress au mtauana kwa kugombania vitu vidogo.
Ni Bora ukaamua kumtoa kafara mzazi mmojawapo ili awe msukule wa kuleta utajiri utakaotumika kuufanya ukoo mzima kuishi maisha mazuri.
Ni kweli mkuu,umagharibi unatusumbuaKafara zilianza enzi huko sema tu sasa iv watu wanahofu