Bora kuolewa na mzee aliyejipanga kimaisha kuliko kuolewa na kijana maskini mwenzio

Bila kupepesa macho wewe ni CHOMBO CHA STAREHE na sio vinginevyo
 
Jukumu la boyfriend ni kukupa mapenzi (upendo) tu,hayo mengine binti ni ya wazazi na walezi wako-Aunt sadaka,mshauri wa mahusiano,malezi na ndoa
 
Kweli
 
Mwanamke siku zote ni mpumbavu,kama huyu hawazi kujipigania atoke kwenye umaskini anawaza kuolewa na tajiri
 
Usishangae To yeye
Wapo wanawake wa Aina iyo
utaskia wakisema
"Niolewe TU mie, maisha yameshakua magumu mtaani"
Wako sahihi. Sasa ukimbie maisha magumu mtaani uende kwa mnuka jasho? So bora uendelee ku-hustle peke yako!!?
 
Kasikilize nyimbo ya Ngwair ft Lady jdee inaitwa kama demu sikiliza.
Huo utabqkia kuwa wimbo tu. Mm naongelea uhalisia. Mume maskini HAPANA.

No money no mapenzi
No money no furaha
No money no pepo
 
Huo utabqkia kuwa wimbo tu. Mm naongelea uhalisia. Mume maskini HAPANA.

No money no mapenzi
No money no furaha
No money no pepo
Iko hivi kama hujui
Tajiri anaoa tajiri mwenzake. Hapa anaangalia kwa mke wake wanahela au ni masikini? Akioa mwanamke kwao ni masikini, baba yake, mama yake, wadogo zake na ndugu zake watamtegemea kwa kuanzia kula mpk elimu. Shida haziishi.
Wanawake wenye ndoto ya kuolewa na tajiri halafu kwao ni masikini huishia kugongwa na kuachwa.
Masikini na masikini. Hapa wote maisha ya kuunga kuunga ndiyo wanaoana
 
Yaani mtu hata hela ya kula inakupiga chenga, hao wazee wenye hela utakutana nao wapi? Ukiacha yule wa machache ni wanawake wangapi wameolewa na vizee vyenye hela huku wao hawawezi hata kuingiza hela? Wazee wenye hela wana viwanja vyao ,ili uwapate lazima.na wewe uwe unajiweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…