BoT yakataza rasmi kampuni za mikopo mitandaoni kuchukua mawasiliano ya wateja ili kuwadhalilisha. Yatoa mwongozo mpya!

BoT yakataza rasmi kampuni za mikopo mitandaoni kuchukua mawasiliano ya wateja ili kuwadhalilisha. Yatoa mwongozo mpya!

BOT fungieni hawa watu hakuna manufaa yoyote kwa mtanzania kwa sababu madhara ni makubwa kuliko faida.Sisi waathitika tunashauri muwafungie hii biashara.Sisi watanzania wenye nchi tunasema fungieni hii biashara ambayo inafanywa na wachina pamoja na wakenya wakishirikiana na watanzania wachache.Tumeona madhara yake ikiwemo kuwa na madeni lukuki hivo inabidi uendelee kukopa kwenye app zao mbalimbali ili ukamilishe madeni ya APP zingine wakati huo riba ni kubwa sana na siku ni chache (5-6)hivo unabaki kuwa mtumwa wa madeni ambayo hayalipiki na hakuna faida unayopata zaidi ya kugombana na ndugu zako, marafiki,wafanyakazi wenzio kwa sababu ili uweze ku maintain pressure za hawa wachina na wakenya wa APP za mikopo inakubidi ukope na kwa watu wako wa karibu hivo husababisha ugomvi na chuki miongoni mwa jamii wakati huo huo aliekopa akiendelea kuwa na madeni kwa sababu inafikia wakati hayo madeni hayalipik tena.kUMBUKA kuwa utapigiwa simu kuanzai saa kumi na moja alfajir hadi usiku wa manake ukipokea vitisho na maneno ya kejeli muda wote unakuwa huna amani badala ya mkopo inakuwa SHARI sasa.Hebu fikiria saa saba usiku mkeo anapigiwa simu eti anaambiwa tunajua uko na jamaa hapo mwambie alipe ! Saa saba usiku wakati umelala na mkeo ! Hii ni zaidi ya ushenzi !
Nawashauri BOT wafanye reseach katika jamii juu ya suala hili ili waujue ukweli na research yenyewe iwe direct one to one na wale walioathirika watapata A to Z ya tatizo hili kubwa.
Narudia tena BOT funga hii biashara ya mikopo ya APP mitanadaoni.
CCM waelekezeni BOT wafunge hii biashara tafadhali.
Na pia wakati BOT wakivuta miguu kufunga biashara hii TRA fuatilieni hizi APP , pesa nyingi sana mapato ya serikali zinaenda kwa wajanja wachache bila kulipa kodi wakati hawana ofisi ya kuwa trace wala kuwa hold responsible.
Huu ni UHUJUMU UCHUMI

Narudia tena BOT na serikali ya sikivu ya CCM fungia hawa watu !
Ila kweli ni ushenzi.
Hii mikopo imewahi kuninyoosha mda fulani.
Jamaa ni freemasons. Kujinasua kunahitaji maombi mazito
 
BOT fungieni hawa watu hakuna manufaa yoyote kwa mtanzania kwa sababu madhara ni makubwa kuliko faida.Sisi waathitika tunashauri muwafungie hii biashara.Sisi watanzania wenye nchi tunasema fungieni hii biashara ambayo inafanywa na wachina pamoja na wakenya wakishirikiana na watanzania wachache.Tumeona madhara yake ikiwemo kuwa na madeni lukuki hivo inabidi uendelee kukopa kwenye app zao mbalimbali ili ukamilishe madeni ya APP zingine wakati huo riba ni kubwa sana na siku ni chache (5-6)hivo unabaki kuwa mtumwa wa madeni ambayo hayalipiki na hakuna faida unayopata zaidi ya kugombana na ndugu zako, marafiki,wafanyakazi wenzio kwa sababu ili uweze ku maintain pressure za hawa wachina na wakenya wa APP za mikopo inakubidi ukope na kwa watu wako wa karibu hivo husababisha ugomvi na chuki miongoni mwa jamii wakati huo huo aliekopa akiendelea kuwa na madeni kwa sababu inafikia wakati hayo madeni hayalipik tena.kUMBUKA kuwa utapigiwa simu kuanzai saa kumi na moja alfajir hadi usiku wa manake ukipokea vitisho na maneno ya kejeli muda wote unakuwa huna amani badala ya mkopo inakuwa SHARI sasa.Hebu fikiria saa saba usiku mkeo anapigiwa simu eti anaambiwa tunajua uko na jamaa hapo mwambie alipe ! Saa saba usiku wakati umelala na mkeo ! Hii ni zaidi ya ushenzi !
Nawashauri BOT wafanye reseach katika jamii juu ya suala hili ili waujue ukweli na research yenyewe iwe direct one to one na wale walioathirika watapata A to Z ya tatizo hili kubwa.
Narudia tena BOT funga hii biashara ya mikopo ya APP mitanadaoni.
CCM waelekezeni BOT wafunge hii biashara tafadhali.
Na pia wakati BOT wakivuta miguu kufunga biashara hii TRA fuatilieni hizi APP , pesa nyingi sana mapato ya serikali zinaenda kwa wajanja wachache bila kulipa kodi wakati hawana ofisi ya kuwa trace wala kuwa hold responsible.
Huu ni UHUJUMU UCHUMI

Narudia tena BOT na serikali ya sikivu ya CCM fungia hawa watu !
Naunga mkono hoja...jamaa wanatia watu umaskini aisee yaani ni hawafai kabisa
 
Hawa wanaweza sababisha msongo wa mawazo,presha na hata kujinyonga
Madhila katika jamii ya watu ni makubwa mno kuliko faida
Kwa ufupi Hawa ni blackmail .
Na wale wabongo ukiwa mlipaji mzuri usipokopa tena wanakuchezea mchezo kuwa unadaiwa. Mpaka uwape Chao ndipo wanakuclear.
Kwakweli hii mikopo ni kiza nene.
Walinitesa ingawa ilinipa influence kwenye mambo fulani. Mwisho nikasema potelea pote silipi. Tukamalizana kibabe
 
Madhila katika jamii ya watu ni makubwa mno kuliko faida
Kwa ufupi Hawa ni blackmail .
Na wale wabongo ukiwa mlipaji mzuri usipokopa tena wanakuchezea mchezo kuwa unadaiwa. Mpaka uwape Chao ndipo wanakuclear.
Kwakweli hii mikopo ni kiza nene.
Walinitesa ingawa ilinipa influence kwenye mambo fulani. Mwisho nikasema potelea pote silipi. Tukamalizana kibabe
Hahahaa..uliwablock au? Maana kuwakimbia walikua wanatuma sms kwa watu wote inbox
 
Ni kweli kabisa hawa jamaa ni Blackmailers , wanakupa mkopo ambao unaonyesha katika APP yao ni siku saba lakini ikifika siku ya tano saa kumi na moja alfajir wanaanza kukupigia simu kukudai kwa vitisho kuwa usipolipa mpaka saa nne asubuhi basi watawambia jamaa zako wote walio katika phone book yako ! Ikifika saa nne asubuhi wanapiga tena ! Ukiwaambia baado wanakwambia alaa kumbe hutujui eti !?? hazipiti dakika kadhaa utaanza kuona jamaa zako wanaanza kukupigia simu kukuuliza vipi ? Hawa wanatupigia simu na kutuma message eti umetapeli hutaki kulipa , je ni kweli ???? Ninachomaanisha ni kuwa wana kublackmail kwa vitisho ili uwalipe hawa jamaa ni balaa na kwa kuwa wana access ya simu yako wakati mwingine wana screenshot message za mapenzi au madeal unayofanya na watu wanakutumia halafu wanaakuuliza vipi tuwatumie jamaa zako au mkeo ??? Au unalipa ??? Ni blackmail ya hali ya juu iliyo vuka mipaka ! Wana hack simu yako wanawajua wapenzi wako wanawataja kwa majina ! wana monitor simu yako kama imeingiza pesa au imelipa pesa na wanakwambia kabisa mbona una pesa kwenye simu yako kiasi kadhaa ??!!
Kwa kifupi jamaa wana hack simu yako na kila taarifa ya simu yako wana kuwa nayo kiganjani !
 
Ni kweli kabisa hawa jamaa ni Blackmailers , wanakupa mkopo ambao unaonyesha katika APP yao ni siku saba lakini ikifika siku ya tano saa kumi na moja alfajir wanaanza kukupigia simu kukudai kwa vitisho kuwa usipolipa mpaka saa nne asubuhi basi watawambia jamaa zako wote walio katika phone book yako ! Ikifika saa nne asubuhi wanapiga tena ! Ukiwaambia baado wanakwambia alaa kumbe hutujui eti !?? hazipiti dakika kadhaa utaanza kuona jamaa zako wanaanza kukupigia simu kukuuliza vipi ? Hawa wanatupigia simu na kutuma message eti umetapeli hutaki kulipa , je ni kweli ???? Ninachomaanisha ni kuwa wana kublackmail kwa vitisho ili uwalipe hawa jamaa ni balaa na kwa kuwa wana access ya simu yako wakati mwingine wana screenshot message za mapenzi au madeal unayofanya na watu wanakutumia halafu wanaakuuliza vipi tuwatumie jamaa zako au mkeo ??? Au unalipa ??? Ni blackmail ya hali ya juu iliyo vuka mipaka ! Wana hack simu yako wanawajua wapenzi wako wanawataja kwa majina ! wana monitor simu yako kama imeingiza pesa au imelipa pesa na wanakwambia kabisa mbona una pesa kwenye simu yako kiasi kadhaa ??!!
Kwa kifupi jamaa wana hack simu yako na kila taarifa ya simu yako wana kuwa nayo kiganjani !
Duuh hii kali aisee sijawahi isikia. Mi nimeiskia ya kuwapigia watu simu na kuwatumia texts na picha za IDs. Hawa jamaa ni wahalifu,haiwezekani kudai umfanyie mtu hivi hata kama kashindwa kulipa
 
Hahahaa..uliwablock au? Maana kuwakimbia walikua wanatuma sms kwa watu wote inbox
Nilichukua course ya ku deal nao kama wiki 2 hivi. Nikawazima kama taa.
App moja tu sijui nilikosea nini wakanibana nikalipa laki yao.
Wengine mpaka leo sijawalipa. App moja ya MLOAN tarehe 01.9.2024 ilikuwa kama 2.5ml
Bongo pesa 1 ml.
Wengine vilaki laki.
 
BOT fungieni hawa watu hakuna manufaa yoyote kwa mtanzania kwa sababu madhara ni makubwa kuliko faida.Sisi waathitika tunashauri muwafungie hii biashara.Sisi watanzania wenye nchi tunasema fungieni hii biashara ambayo inafanywa na wachina pamoja na wakenya wakishirikiana na watanzania wachache.Tumeona madhara yake ikiwemo kuwa na madeni lukuki hivo inabidi uendelee kukopa kwenye app zao mbalimbali ili ukamilishe madeni ya APP zingine wakati huo riba ni kubwa sana na siku ni chache (5-6)hivo unabaki kuwa mtumwa wa madeni ambayo hayalipiki na hakuna faida unayopata zaidi ya kugombana na ndugu zako, marafiki,wafanyakazi wenzio kwa sababu ili uweze ku maintain pressure za hawa wachina na wakenya wa APP za mikopo inakubidi ukope na kwa watu wako wa karibu hivo husababisha ugomvi na chuki miongoni mwa jamii wakati huo huo aliekopa akiendelea kuwa na madeni kwa sababu inafikia wakati hayo madeni hayalipik tena.kUMBUKA kuwa utapigiwa simu kuanzai saa kumi na moja alfajir hadi usiku wa manake ukipokea vitisho na maneno ya kejeli muda wote unakuwa huna amani badala ya mkopo inakuwa SHARI sasa.Hebu fikiria saa saba usiku mkeo anapigiwa simu eti anaambiwa tunajua uko na jamaa hapo mwambie alipe ! Saa saba usiku wakati umelala na mkeo ! Hii ni zaidi ya ushenzi !
Nawashauri BOT wafanye reseach katika jamii juu ya suala hili ili waujue ukweli na research yenyewe iwe direct one to one na wale walioathirika watapata A to Z ya tatizo hili kubwa.
Narudia tena BOT funga hii biashara ya mikopo ya APP mitanadaoni.
CCM waelekezeni BOT wafunge hii biashara tafadhali.
Na pia wakati BOT wakivuta miguu kufunga biashara hii TRA fuatilieni hizi APP , pesa nyingi sana mapato ya serikali zinaenda kwa wajanja wachache bila kulipa kodi wakati hawana ofisi ya kuwa trace wala kuwa hold responsible.
Huu ni UHUJUMU UCHUMI

Narudia tena BOT na serikali ya sikivu ya CCM fungia hawa watu !
Nakazia hapa, serikali chukueni huu ushauri
 
WATU WASHAZALILIKA HAISAIDIII

NILIWAAMBIA KUNA SIKU NDUGU JAMAA ZAOO
Wakuu,

Kwa muda mrefu sasa, wakopaji wengi wa mitandaoni wamekuwa wakilalamika kuhusu kitendo cha baadhi ya apps za mikopo ku-access list ya mawasiliano ya wateja na kisha kuwatumia message baadhi ya contacts iwapo mteja ameshindwa kulipa.

Soma pia: Serikali ipitie upya Sheria ya 'Mikopo ya Mtandaoni (Online)'

Tabia hiyo ilifika hatua mbaya zaidi kiasi cha baadhi ya kampuni kuanzisha magroup ya Whatsap na kuadd baadhi ya contacts unaowaheshimu na kuweka picha za wadeni wao ili kuwapa presha za kulipa madeni wanayodaiwa.



Siku ya jana BOT walitoa muongozo rasmi kujibu vilio vya wananchi ambapo katika muongozo huo, BOT umeweka miongozo ifuatayo (Nime-summarize)
  • Hairuhusiwi kwa kampuni moja kumiliki apps mbili au zaidi za mikopo
  • Kampuni za mikopo haziruhusiwi kushare taarifa za mteja kwa watu au makampuni za nje ya nchi
  • Hairuhusiwi kwa kampuni za mikopo mitandaoni kukusanya namba za simu, meseji, picha, email au taarifa nyingine zozote kwenye simu yako
  • Mdhamini wa mteja ni lazima afahamishwe kuwa amechaguliwa kuwa mdhamini na akubali
  • Watu wa huduma kwa wateja hawaruhusiwi kutumia lugha chafu na kejeli kwa wateja
  • Ni marufuku kuchapisha taarifa za mteja mtandaoni iwapo atafeli kulipa deni
  • Ni marufuku kwa kampuni kumtaka mteja kulipa riba au pesa yote anayodaiwa kabla ya tarehe ya makubaliano
  • Ni marufuku kutuma meseji kwa contacts za mteja ili kumuonesha kuwa anadaiwa
Hayo ni machache tu wakuu.

Ningependa kuwapongeza BOT kwa kusikiliza kilio cha watanzania wengi.

Unaweza kupata taarifa zaidi kupitia website ya BOT

Nawasilisha
WATAGUSWAA NA HIZI MSG WATAJUA UMUHIMU WA VILÌO VYETU

WEE TOKA APRI.MARCH.MAY.JUNE JULY AUG SEPT NDIO MNAONAA EEHEEEEEE

NA WAENDELEEE HIVIHIVIII KUTUZALILISHA TUKAE SAWA
 
WATU WASHAZALILIKA HAISAIDIII

NILIWAAMBIA KUNA SIKU NDUGU JAMAA ZAOO

WATAGUSWAA NA HIZI MSG WATAJUA UMUHIMU WA VILÌO VYETU

WEE TOKA APRI.MARCH.MAY.JUNE JULY AUG SEPT NDIO MNAONAA EEHEEEEEE

NA WAENDELEEE HIVIHIVIII KUTUZALILISHA TUKAE SAWA
Saizi hadi wabunge wanatumiwa SMS za jamaa zao kuwa ni matapeli wamegoma kulipa
 
Nilichukua course ya ku deal nao kama wiki 2 hivi. Nikawazima kama taa.
App moja tu sijui nilikosea nini wakanibana nikalipa laki yao.
Wengine mpaka leo sijawalipa. App moja ya MLOAN tarehe 01.9.2024 ilikuwa kama 2.5ml
Bongo pesa 1 ml.
Wengine vilaki laki.
Kumbe ni ishu ya hivi karibuni tu hahahaaa. Itakua wanajipanga waje na mashambulizi upya dadadeki maana hawawezi kubali kirahisi pesa mingi hivyo. Watu wamedhalilishwa kwa pesa ndogo mno hata 50k haifiki. Toa codes ya hiyo course saidia na wengine maana serikali haijali na kila siku tunapata sms eti tumemdhamini fulani kisa tu kakusave kwenye namba yake.
 
Back
Top Bottom