nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
- Thread starter
-
- #81
Duuu. Wanaona 1.5m inaokotwa hivi. Wakajiuze kama wanataka urahisiBrela hovyo kabisa ,Mimi niliwahi kwenda pale Posta ,,wakanitaka 1,500,000/= kubadilisha wamiliki .
Nimesusa kanisa .
Mjasiliali ndiyo naanza maisha kibiashara ili kupambana na umasikini lakini watu walio ofisini Kwa kwaajili yetu na wanalipwa mshahara wanakwamisha juhudi hizo za watanzania
Hakuna anayejali gharama za Serikali. Kama unavyoona, pesa za ndani zinafujwa wakati pesa za mikopo na misaada zikitumainiwa kufanya maajabu.ORS ilinunuliwa kwa 2.6 B na service fee kwa mwaka ni 600m. Sasa wanakosaje update wakati kila mwaka wanalipia 600m. Though ni ufujaji bado
Mkuu na wewe utakua una ajenda yako tu, toka jana unapiga maneno tu hamna ushahidi wowote... Kama una ushahidi sema hapa kama hauna futa post yako... Ni chuki binafsi tu zitakuwa...kama hamna ushahidi tuambie tujue moja hapa... Kuna mambo mengi ya kujadiliControl number unalipia. Kisha unaambiwa Ili iende haraka utoe pesa. Usipotoa inaenda kawaida.
Kama Brela ilinunua Online Registration System kwa 2.6 bilioni na service fee 600m kila mwaka kwanini haifanyi kazi automatically?
Ni uhuni na tamaa tu. Ndio mtu akiona muda unazidi kwenda na hao watu hawana hofu ya kuwajibishwa inabidi tu atoe pesa aweze kuendelea na kazi zake
Tumeomba ushahidi yeye ana bwabwaja tu. mara 2.6 B za kununua ORS Mara 600 M aweke ushahidi hapa, watu tumehangaika sana enzi zile ushirika unatoka Mwanza kwenda sajili Kampuni Dsm, mambo yanawekwa kwenye mifumo watu hawataki na kuleta chuki.Mkuu na wewe utakua una ajenda yako tu, toka jana unapiga maneno tu hamna ushahidi wowote... Kama una ushahidi sema hapa kama hauna futa post yako... Ni chuki binafsi tu zitakuwa...kama hamna ushahidi tuambie tujue moja hapa... Kuna mambo mengi ya kujadili
Hujaona wote waliolalamika hapa na kutoa malalamiko yao dhidi ya Brela? Wewe unamiliki hata business name?Mkuu na wewe utakua una ajenda yako tu, toka jana unapiga maneno tu hamna ushahidi wowote... Kama una ushahidi sema hapa kama hauna futa post yako... Ni chuki binafsi tu zitakuwa...kama hamna ushahidi tuambie tujue moja hapa... Kuna mambo mengi ya kujadili
Aibu sana na kukosa uzalendoHakuna anayejali gharama za Serikali. Kama unavyoona, pesa za ndani zinafujwa wakati pesa za mikopo na misaada zikitumainiwa kufanya maajabu.
amekuwa CLIENT, anytime akiwa na pesa huduma za kufikia
Ni kweli kabisa. TRA ndio wanajiona wako dunia ya kwanzaOfsi nyingi tu zimejaa ujinga kama huo
Hawapendi teknolojia, hata wakiletewa Bado wanaihujumuHii nchi upande wa system/Teknolojia bado tunaishi kwenye mawazo ya 1960 inatakiwa pasafishwe kote vizee vyote vife au vistaafishwe tuanze upya! Yaani hata kenya na rwanda wametuacha mbali sana duh!
Mtoa mada ni mzushi! Kuna kitu anatafuta! Period!Ilibidi takukuru wakiona huu Uzi wakufuate inbox haraka wafanye Kazi yao lakini na wenyewe watasoma wapite kimya kama vile haiwahusu.
Wanasubiri maelekezoIlibidi takukuru wakiona huu Uzi wakufuate inbox haraka wafanye Kazi yao lakini na wenyewe watasoma wapite kimya kama vile haiwahusu.
Mpuuzi wewe. Kama sio mfanyakazi Brela utakuwa unafugwa kama mfugoMtoa mada ni mzushi! Kuna kitu anatafuta! Period!
Juzi ulichapisha mada hapa, wachangiaji wakaomba mawasiliano ya huyo afisa wa Brela.Mpuuzi wewe. Kama sio mfanyakazi Brela utakuwa unafugwa kama mfugo
Kwa ORS platform ya Brela ... control number zinaletwa promptly. Binafsi, na Mimi nahitaji ushahidi wake.Mkuu na wewe utakua una ajenda yako tu, toka jana unapiga maneno tu hamna ushahidi wowote... Kama una ushahidi sema hapa kama hauna futa post yako... Ni chuki binafsi tu zitakuwa...kama hamna ushahidi tuambie tujue moja hapa... Kuna mambo mengi ya kujadili