Commander In Chief
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 315
- 719
- Thread starter
-
- #81
Mr Kavishe.Majengo secondary School taasisi ambayo watumishi wake hawakuwahi kuwa na wazo la kuacha kazi wala kutafuta kazi sehemu nyingine.
Management iliyowajali sana watumishi na watumishi wakawajali sana wateja wao wanafunzi
Mungu awapumzishe kwa amani, Tutawakumbuka daima[emoji120]
Brother Peter Lyimo RIP
Brother Pius Kihuru RIP
Mr Mgimwa RIP
Mr Nyindo RIP
Mr Sendoro RIP
Mr Almas RIP
Mr Mkumbwa RIP
Chef mkuu Mr James RIP
Mimi namkumbuka kwa kunibania nafasi ya kusoma PGM pale majengo.Inasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020 katika hospitali ya Mount Meru Arusha. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni.
Nafahamu kuna wana MJSS wengi sana hapa Jukwaani walio ndani na nje ya nchi. Karibuni tumuenzi mkuu wetu mpendwa kwa maneno ya faraja.
MAY HIS SOUL REST IN ETERNAL LIFE.
Rest in Peace,Kama hujasoma MJSS huwezi mfahamu.
Ni snitch tu huyo
Lay down woman ohoooo!
Mzee Said sijui yupo?Mr Kavishe.
Mzee Ally (Mlinzi)
Mr Nnko (Adv' Physics teacher)
KWELI TRENCH MIAKA HIYO NA KINA POISON MAKER, NYAMBI, MAGOGO, RWIZA NA MASELA KIBAOR.I.P mwalimu wangu, aliniadhibu sana kwa sababu nilikuwa mtoro naruka trenchi naingia zangu mitaani
Pole Sana ila Mambo ya kuombea Marehemu kwa wakristo hakuna.Inasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020 katika hospitali ya Mount Meru Arusha. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni.
Nafahamu kuna wana MJSS wengi sana hapa Jukwaani walio ndani na nje ya nchi. Karibuni tumuenzi mkuu wetu mpendwa kwa maneno ya faraja.
MAY HIS SOUL REST IN ETERNAL LIFE.
nilifanikiwa kumaliza mpk 6 hyo yote ni jitihada zake pamoja na walimu wengineLakini bado hukujifunza mpaka leo
ulikuwa ni utoto + baleheKWELI TRENCH MIAKA HIYO NA KINA POISON MAKER, NYAMBI, MAGOGO, RWIZA NA MASELA KIBAO
Ndiyo hiyo hiyo, hapo ni Kiingereza cha kawaida na lugha ya kitabibu.Hivi huwa kuna tofauti gani kati ya heart attack na cardiac arrest?
"Do the right thing at the right time,at the place and at the right moment".Inasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020 katika hospitali ya Mount Meru Arusha. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni.
Nafahamu kuna wana MJSS wengi sana hapa Jukwaani walio ndani na nje ya nchi. Karibuni tumuenzi mkuu wetu mpendwa kwa maneno ya faraja.
MAY HIS SOUL REST IN ETERNAL LIFE.
Du hao wote washafariki?Majengo secondary School taasisi ambayo watumishi wake hawakuwahi kuwa na wazo la kuacha kazi wala kutafuta kazi sehemu nyingine.
Management iliyowajali sana watumishi na watumishi wakawajali sana wateja wao wanafunzi
Mungu awapumzishe kwa amani, Tutawakumbuka daima[emoji120]
Brother Peter Lyimo RIP
Brother Pius Kihuru RIP
Mr Mgimwa RIP
Mr Nyindo RIP
Mr Sendoro RIP
Mr Almas RIP
Mr Mkumbwa RIP
Chef mkuu Mr James RIP