BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi

Orodha ni ndefu acha mawasiliano tu

Miamala
Kutafuta watu
Vitendea kazi
And so forth

Tatizo wapelelezi walikuwa na haraka tu ya kumtia hatiani, au mission ilikuwa abandoned wakaona wafungue kesi kwa ushahidi hafifu huo huo walionao.

But clearly the intention to commit a crime was there.

Good Morning
 
Ukiwa mjinga huwezi kuelewa utofauti wa TAL kukutana na Samia, na baadhi ya mambo ya kuongelea ikawa ni suala la kufuta kesi ya Mbowe, na unafiki wa Zito kumwombea msamaha Mbowe, mtu asiye na makosa.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Mh. Samia na Mh. Tundu Lisu, waliongelea suala la katiba mpya, mikutano ya hadhara, passport yake iliyopotea, utengamano wa Taifa na kesi ya Mbowe.

Mwenye akili utaona utofauti mkubwa. Lakini ukiwa punguani, huwezi kuona.
 
Hakuna asiyependa amani, hizo tabia za hovyo walifundishwa na jiwe pamoja na wafuasi wake kina Bashite. Binadam aliye na moyo wa nyama nahisi amefurahi jambo jema na lenye tija kwa Taifa.

KUSIFIA kilicho bora sio DHAMBI.
Sure kabisa

Tunapenda tusikilizane kama Taifa badala ya kujenga uadui na kuishi kwa masonona mioyoni.

Tz ni ya wote ila watu wanataka waifaidi wao peke yao kana kwamba wana hatimiliki ya hii nchi.

Ha ndio walionuna baada Mhe.Rais kukutana na Lissu.
 
MBOWE sio GAIDI
 
Ni jambo jema kusifia,lakini ni vizuri tuwe na msimamo! Leo Rais kakutana na Wapinzani unasifia,kesho amekataa kukutana nao unasifia pia! Tusiwe watu wa njia mbili,mpaka hatujulikani tunachokiamini na kukisimamia
 

Huu mstari haukuwa na sababu ya kuingia kwenye taarifa umekaa kichonganishi
 
Yaani Yustino alimdanganya had mama kwamba Lissu alilipwa mafao yake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ana haki ya kujiuzulu aiseeew
 
The foolish alwas think foolisness
 





Mwanzo walichukua tahadhari, baada ya mazungumzo wamesuspend tahadhari, kweli umoja wa kitaifa unapangwa na Mungu😂
 
Wote wamoja, wametoka mbali, wana Bosi mmoja George Soros pure evil.

Masikini Mbowe aidha akubali kuachia Uenyekiti kwa Makamu au aozee Jela, Samia na Tundu Lissu lao moja!
Na wewe Ni mavi, talk sense please. Watu wanajadili mambo ya msingi wewe inaleta nonsense
 
Sasa hapo umeandika nn mkuu?
 
Huko ndiyo kuomba msamaha kwenyewe sasa. Njia yeyote ya Mbowe kutoka rumande bila hukumu au kutoroka (jailbreak) ndiyo inaitwa msamaha.

Alichoongea TUNDU LISSU na aluchoongea Zitto Kabwe ni sawa kasoro mpangilio wa maneno
Ndiyo maana huwa mnafail mitihani .....!!
 
"Huu ni wakati wa kuzika tofauti zetu na kuwa wamoja kama taifa, ni wakati wa kufarijiana, kuonyesha upendo, udugu wetu, kudumisha amani yetu, kuenzi utu wetu, uzalendo wetu na utanzania wetu.

Huu si wakati wa kutazama mbele kwa mashaka bali ni wakati wa kutazama mbele kwa matumaini na kujiamini. Huu sio wakati wa kutazama yaliyopita lakini ni wakati wa kutazama yaliyo mbele.

Huu ni wakati wa kuzika tofauti zetu. Si wakati wa kunyosheana vidole bali ni wakati wa kushikana mikono. Ni wakati wa kufutana machozi ili tuweke nguvu zetu pamoja na tujenge Tanzania yetu, Tanzania mpya."

By Mhe. Samia Suluhu Hassan - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania_19 Machi, 2021
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…