BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi

Wengine tunatumia free basic jaribu ku summarize mazungumzo Yao kwa maandishi.
Jiwe basic wanaumia
 
Haa haa. Naona wapumbavu kama wewe wala hujui kinachoendelea. Baki ukijidanganya tu na ujinga wako.
 
Lissu muelewa sana kaonyesha kukubaliana jambo na mama kwa maslahi ya nchi.

Kilichobaki ni Lissu kupewa wizara flani atumikie nchi yake adhimu.

Lissu ni mtu na nusu.
 
Press za sasa hivi ni ;

"Akutana na kufanya mazungumzo".
 
Tbc ipo kwaajili yenu kaa kwa kutulia.
Sina tv mkuu, hapa ni Mimi na smartphone na smartphone na Mimi, nikiwa Sina bandit natembea na free basic mode ndani ya halotel tz
 
Naona wafia vyama wanaanza kutoana damu sasa.

La muhimu ni TL kakutana na Mama, wamefanya mazungumzo juu wa mustakabadhi wa mambo mbalimbali, next step TL will be back, Mbowe will be out and they will both get down to their business..

Angalizo: CCM wananamna yao ya kudeal na mambo, ukiifuata ndoano kifala unanasa, and the good thing siasa zao sasa ziko chini ya wasukuma kete wa saigoni..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…