Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Wanaondoka mwaka huu hao na chadema itapendekeza wanaostahili baada ya muafaka kufanyika...hongera SamiaPanda miti utavuna ila hao 19 mpaka 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaondoka mwaka huu hao na chadema itapendekeza wanaostahili baada ya muafaka kufanyika...hongera SamiaPanda miti utavuna ila hao 19 mpaka 2025
Anayechukia Tukio la Leo hatufai kabisa.ACHA Wivu na chuki,,kilichofanyika leo mama Lisu ni uungwana,, Binadamu tunapita chuki za Nini..CCM Wenye Upendo tumefurahi...wewe Tunakujua hupendi watu wapendane..Baba Yako ni ibilisi Shetani Tena Wewe ni muuaji.
Raisi kamfuata lissu belgiji kudadekiYaani kitu kidogo tu tuanasahau madhira yanayotukumba kila mwaka nenda rudi. Tumeshakuwa kama maboya yasiyojitaambua kabisa.
Leo naona kila kona mayoweee kibao. Makelele kibao mkiulizwa je kuna tija gani kwa chama chetu na watanzania kwa ujumla hakuna jibu.
Mnatia aibu sana.
Tatizo la samia ni dogo tu bado anafuga majitu fulani yaliyo kuwa yanatumiwa na magufuli kuumiza watuNairobi pia alienda kumsabahi mama kumfata lisu sioleo akiwa amesimama toka akiwa kitandani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia, amekutana na kufanya Mazungu na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Tindu Lissu...
Maumivu yakizidi muone dakrariYaani kitu kidogo tu tuanasahau madhira yanayotukumba kila mwaka nenda rudi. Tumeshakuwa kama maboya yasiyojitaambua kabisa.
Leo naona kila kona mayoweee kibao. Makelele kibao mkiulizwa je kuna tija gani kwa chama chetu na watanzania kwa ujumla hakuna jibu.
Mnatia aibu sana.
Lini mlishakuwa na hoja za maana zaidi ya ushabiki tu.Raisi kamfuata lissu belgiji kudadeki
Una maana gani dogo?Haiwezekani kwa mtu anayejielewa kuendelea kuwa katili kwa mwenzio aliyefanya jambo ambalo umekuwa ukilipigia kelele miaka zaidi ya mitano iliyopita, ukifanya hivyo wastaarabu watakushangaa.
Yaani kitu kidogo tu tuanasahau madhira yanayotukumba kila mwaka nenda rudi. Tumeshakuwa kama maboya yasiyojitaambua kabisa.
Leo naona kila kona mayoweee kibao. Makelele kibao mkiulizwa je kuna tija gani kwa chama chetu na watanzania kwa ujumla hakuna jibu.
Mnatia aibu sana.
MMM na wahuni wenzake walimkejeri ZZK leo yameshindana huko mitandao kusifia as if SSH aliye ubelgiji sio yule alikuwa Dodoma
Lini mlishakuwa na hoja za maana zaidi ya ushabiki tu.
Kivipi dogo ?Hiii habari chungu sana kwa Bavicha
Mmlizoea kuchangisha watu fedha kwa kisingizio Cha kesi ya Mbowe, Sasa jipange kuishi kwa jasho lakoLissu/chadema waliomba kukutana na mama Samia tangu mwaka jana kabla ya bwana yako Zitto hajaanza.
Muwe na record vichwani,wenye kustahili wapate sifa stahiki...hongera chadema!✌
Nashangaa bado mnalazimisha Mbowe aonekane mkosaji bila kutuambia kosa lake ni lipi?Kitu nilichojifunza kwenye maisha shida ambazo zinaniumiza mimi maamuzi ya kujinasua yabaki yangu pia.
Hakuna ubaya wa Lissu kukutana na raisi, ila mtu kama huyu anishauri eti nisiombe suluhisho na serikali kisa raisi huyohuyo aonekane mmbaya kimataifa for his political mileage...
Yes CCM ni ile ile but sidhani kama SSH anatamani ushindi wa 90% kma mwenzake ama majimbo yote yaende CCM!! that's the difference.Asichokielewa Lissu ni kwamba Chief Hangaya anataka kuendelea kuwa Rais baada ya term hii, kwa gharama yoyote ile. Kwahiyo, kufikiria kwamba Chief Hangaya somehow atatengeneza a level playing field kabla ya uchaguzi wa 2025 ni kujipa matumaini hewa!
Yes, even sheikh Yahya altered. Soon chadema is going to overtake ccmThe next thing ni hakimu wa kesi ya mbowe atamuachia huru Mbowe soon
This was well known before.