BullDoza Mwamposa Ana Powers za Mvuto wa Ajabu, Aleta Balaa Kubwa Kawe na Maeneo ya Jirani, Mkesha Wake, Kawe, Mikocheni, Mbezi Beach, Wote Tumekesha!

Sina ugomvi na mkesha wao, nina ugomvi na aina ya watu tunaozidi kuwajaza ujinga kuhus the so called Mitume na manabii. Huu ndio mtaji wa CCM na nina imani kuwa hapa kulikua na ajenda ya CCM nyuma yake
Ungependa watu wajazwe juu ya watu gani?
 
Hao mliojazana hapo karibu asilimia 90 ni watu mliokata tamaa ya maisha pamoja na watu mafukara. Hiyo asilimia 10 iliyobaki ni watu wanaojificha kwenye kivuli cha huyo jamaa ila nyuma ya pazia ni mashetani waliobobea. Wewe upo kundi lipi?
 
Ukiacha dhambi ukaishi maisha matakatifu unapata tu nguvu
 
Alafu faza wangu pascal mwanzoni nilipokua naona wadau wanakuponda nikawa najua wanakuonea wovu..

Ila kwa hili naona kabisa faza unazinguwa kumbe
 
Hakuna atakacho pata, zile shuhuda nu Fabricated hakuna shuhuda ya ukweli pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…