K11
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 3,447
- 11,274
Ungependa watu wajazwe juu ya watu gani?Sina ugomvi na mkesha wao, nina ugomvi na aina ya watu tunaozidi kuwajaza ujinga kuhus the so called Mitume na manabii. Huu ndio mtaji wa CCM na nina imani kuwa hapa kulikua na ajenda ya CCM nyuma yake