Bunge live ni jambo jema kwani haya mambo ya kumsifiasifia Kiongozi na kulazimisha apendwe linachosha sana.
Sasa ili kuondoa hiyo hulka ni kujua matumizi ya fedha alizokopa ni kiasi gani na alitumia vipi ili watanzania wote tujue na kuangalia je anastahili hizo sifa
Maendeleo yana vyama,gunzi na beteri mlijichelewesha sana.CCM na ACT wazalendo wameshirikiana kuunda serikali.
Wabunge 20 hawajulikani wako chama gani kwani kule wanakodai wao ni wanachama wamekataliwa
Mbunge wa upinzani ni mmoja tu, mwanamama kutoka CUF Ntwara.
Bunge la namna hii ni sawa kabisa na bunge la chama kimoja kwa sababu litakuwa linatekeleza ilani ya CCM na hakuna namna yoyote ile ya kulikemea itakayobadilisha " chochote"
Wakati wa Mwalimu Nyerere RTD ilitumika sana kutoa elimu ya Kilimo cha kisasa nadhani TBC hiyo kodi ya kurusha bunge live waipeleke kwenye makala za kilimo labda na teknolojia.
Maendeleo hayana vyama!
Kuna shida kwenye ubongo wawatanzania. Lisiporushwa live mnakosoa. Likirushwa live mnakosoa. Basi shaurini livunjwe
Wewe ndio mwenye matatizo makubwa ya ubongo na sio hao watanzania unaowakejeli.Kuna shida kwenye ubongo wawatanzania. Lisiporushwa live mnakosoa. Likirushwa live mnakosoa. Basi shaurini livunjwe
Anatamani afufuke aje atufokee asubuhi asubuhiAliyefuta Bunge live ni Simba wa Yuda sio wapinzani
Hii haina tofauti na Kupeleka Selela la tani 18 za kifusi cha udongo na kumwaga juu ya kaburi la marehemu MALAIKA JIWESawa bunge live ndiyo kilio cha Chadema.
Kupanda bei vitu na kukatika umeme siyo jambo la maana sana kwao
Wabunge kwa hisani ya Magufuli.Wataangalia Wananchi wa Tanzania, wenye wabunge wao bungeni.
Maadam wabunge ni wawakilishi wa wananchi, wananchi hawana chama, watapenda na tutafurahi kuona jinsi wawakilishi wetu wanavyo tuwakilisha bungeni..Bunge la namna hii ni sawa kabisa na bunge la chama kimoja kwa sababu litakuwa linatekeleza ilani ya CCM na hakuna namna yoyote ile ya kulikemea itakayobadilisha " chochote"
CCM na ACT wazalendo wameshirikiana kuunda serikali.
Wabunge 20 hawajulikani wako chama gani kwani kule wanakodai wao ni wanachama wamekataliwa
Mbunge wa upinzani ni mmoja tu, mwanamama kutoka CUF Ntwara.
Bunge la namna hii ni sawa kabisa na bunge la chama kimoja kwa sababu litakuwa linatekeleza ilani ya CCM na hakuna namna yoyote ile ya kulikemea itakayobadilisha " chochote"
Wakati wa Mwalimu Nyerere RTD ilitumika sana kutoa elimu ya Kilimo cha kisasa nadhani TBC hiyo kodi ya kurusha bunge live waipeleke kwenye makala za kilimo labda na teknolojia.
Maendeleo hayana vyama!
Maadam wabunge ni wawakilishi wa wananchi, wananchi hawana chama, watapenda na tutafurahi kuona jinsi wawakilishi wetu wanavyo tuwakilisha bungeni.
P
Don't do preemptive thinking kuwa kwa vile ni Bunge la chama kimoja, then ni Bunge la praise and worship!. No!.Mkuu Mayalla, praise and worship itakayokuwa ikiendelea huko Bungeni itakuwa na faida gani kwa mpigakura?
Hiyo ni kazi yako nyukiSawa bunge live ndiyo kilio cha Chadema.
Kupanda bei vitu na kukatika umeme siyo jambo la maana sana kwao
Ugonjwa mpya umeingia TanzaniaPraise team. Kila neno moja la pili Mama Samia kafanya
Kabisa maana hatuna mwelekeo hata kidogoBongo mradi kunakucha!!
Dogo tafuta hela!We kinyesi tupu inashindwa kuelewa bwanako mfa pabaya ndio alikuwa anatupeleka kubaya sana mbwa wewe, wacha nchi iwe huru Sasa nyie washenzi mlizoea nchi ipelekwe kishenzi sana.
Nawe utangulie kufa mijitu Kama nyie muwage mnawahi kufa mtuachie tuishi kwa raha kidogo.
We naye ndiyo unakufa kabisa kiasi huna mvuto hata kidogoDon't do preemptive thinking kuwa kwa vile ni Bunge la chama kimoja, then ni Bunge la praise and worship!. No!.
Kwenye the right to information, sisi wananchi wa Tanzania, tunapatiwa the right to information kuwasikia wawakilishi wetu wanavyo tuwakilisha bungeni.
This is very important right, a very important thing.
P