Bunge Live larudi. Kuoneshwa kuanzia Aprili 5, 2022 katika mkutano wa saba wa Bunge la Bajeti

Bunge Live larudi. Kuoneshwa kuanzia Aprili 5, 2022 katika mkutano wa saba wa Bunge la Bajeti

Bunge live ni jambo jema kwani haya mambo ya kumsifiasifia Kiongozi na kulazimisha apendwe linachosha sana.
Sasa ili kuondoa hiyo hulka ni kujua matumizi ya fedha alizokopa ni kiasi gani na alitumia vipi ili watanzania wote tujue na kuangalia je anastahili hizo sifa

Hayo maswali hayawezi kuulizwa, na haya yakiulizwa yatakuwa na majibu ya upotoshaji.
 
CCM na ACT wazalendo wameshirikiana kuunda serikali.

Wabunge 20 hawajulikani wako chama gani kwani kule wanakodai wao ni wanachama wamekataliwa

Mbunge wa upinzani ni mmoja tu, mwanamama kutoka CUF Ntwara.

Bunge la namna hii ni sawa kabisa na bunge la chama kimoja kwa sababu litakuwa linatekeleza ilani ya CCM na hakuna namna yoyote ile ya kulikemea itakayobadilisha " chochote"

Wakati wa Mwalimu Nyerere RTD ilitumika sana kutoa elimu ya Kilimo cha kisasa nadhani TBC hiyo kodi ya kurusha bunge live waipeleke kwenye makala za kilimo labda na teknolojia.

Maendeleo hayana vyama!
Maendeleo yana vyama,gunzi na beteri mlijichelewesha sana.
 
Kuna shida kwenye ubongo wawatanzania. Lisiporushwa live mnakosoa. Likirushwa live mnakosoa. Basi shaurini livunjwe
 
Kuna shida kwenye ubongo wawatanzania. Lisiporushwa live mnakosoa. Likirushwa live mnakosoa. Basi shaurini livunjwe
Wewe ndio mwenye matatizo makubwa ya ubongo na sio hao watanzania unaowakejeli.

Hivi ulijiuliza ni kwanini watanzania kipindi kile walikuwa wanataka bunge live?

Hivi umejiuliza ni kwanini watanzania wa leo hawahitaji bunge live?

Hivi umejiuliza ni sababu gani zilipelekea watawala kufuta bunge live kipindi kile na kuleta bunge live kipindi hiki?

Ukipata majibu sahihi ya hayo maswali, huenda utaelewa akili kubwa za watanzania unaowakejeli.
 
Watu waangalie watu ambao hawakuwachagua bali ni watu makuwadi wa vimemo na amri za marehemu dikteta.

Stupidity of the highest order!!
IMG_20201028_173703.jpg
 
.Bunge la namna hii ni sawa kabisa na bunge la chama kimoja kwa sababu litakuwa linatekeleza ilani ya CCM na hakuna namna yoyote ile ya kulikemea itakayobadilisha " chochote"
Maadam wabunge ni wawakilishi wa wananchi, wananchi hawana chama, watapenda na tutafurahi kuona jinsi wawakilishi wetu wanavyo tuwakilisha bungeni.
P
 
CCM na ACT wazalendo wameshirikiana kuunda serikali.

Wabunge 20 hawajulikani wako chama gani kwani kule wanakodai wao ni wanachama wamekataliwa

Mbunge wa upinzani ni mmoja tu, mwanamama kutoka CUF Ntwara.

Bunge la namna hii ni sawa kabisa na bunge la chama kimoja kwa sababu litakuwa linatekeleza ilani ya CCM na hakuna namna yoyote ile ya kulikemea itakayobadilisha " chochote"

Wakati wa Mwalimu Nyerere RTD ilitumika sana kutoa elimu ya Kilimo cha kisasa nadhani TBC hiyo kodi ya kurusha bunge live waipeleke kwenye makala za kilimo labda na teknolojia.

Maendeleo hayana vyama!

Nakubaliana na wewe. Kurusha live kipindi cha wabunge cha kusifu na kuabudu watawala ni matumizi mabaya ya airtime!
 
Mkuu Mayalla, praise and worship itakayokuwa ikiendelea huko Bungeni itakuwa na faida gani kwa mpigakura?
Don't do preemptive thinking kuwa kwa vile ni Bunge la chama kimoja, then ni Bunge la praise and worship!. No!.

Kwenye the right to information, sisi wananchi wa Tanzania, tunapatiwa the right to information kuwasikia wawakilishi wetu wanavyo tuwakilisha bungeni.
This is very important right, a very important thing.
P
 
We kinyesi tupu inashindwa kuelewa bwanako mfa pabaya ndio alikuwa anatupeleka kubaya sana mbwa wewe, wacha nchi iwe huru Sasa nyie washenzi mlizoea nchi ipelekwe kishenzi sana.

Nawe utangulie kufa mijitu Kama nyie muwage mnawahi kufa mtuachie tuishi kwa raha kidogo.
Dogo tafuta hela!

Hizi stress zitakuua

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Don't do preemptive thinking kuwa kwa vile ni Bunge la chama kimoja, then ni Bunge la praise and worship!. No!.

Kwenye the right to information, sisi wananchi wa Tanzania, tunapatiwa the right to information kuwasikia wawakilishi wetu wanavyo tuwakilisha bungeni.
This is very important right, a very important thing.
P
We naye ndiyo unakufa kabisa kiasi huna mvuto hata kidogo
 
Back
Top Bottom