Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

Kwahiyo city centre ikitanuka mpaka kariakoo tuendelee kuhamisha shule mpaka zianzie shaurimoyo kwenda pembeni?
Wanafunzi wa Bunge primary schools wanatokea Goba, Tabata na Kigamboni. Ni nani anayekaa Posta zaidi ya ofisi za serikali na private sector??..
 
Watu wakuja Dar es Salaam utawajua tu kwa hoja zao, wao ndiyo waliona pavement za barabarani ni soko wakajiuliza kwanini hawajafungua gulio la kila siku ndio mwanzo wa machinga kufanya biashara barabarani na sasa wanataka shule zivunjwe wafungue biashara !
 
Umtoka zako uyole kuja kusoma chuo mjini tayari unajikuta mwenye mji
 
Unazungumzaje kambi za jeshi zilizo mjini kabisa kama Mgulani, ile ya anga majumba sita/banana n.k? Yale sio maeneo potential ya uwekezaji?
 
Unazungumzaje kambi za jeshi zilizo mjini kabisa kama Mgulani, ile ya anga majumba sita/banana n.k? Yale sio maeneo potential ya uwekezaji?
Kwani Mgulani na Ukonga ni CBD (Central Business District) kama pale mita chache kutoka Ikulu??..
 
Ukipita pale sokoni na usikwazike kwa ile harufu inabidi uwe mtu uliyezoea uchafu.
Unategemea harufu ya perfume katika soko la Samaki?? You can't be serious my brother..
 
Ndio na ni English Medium ya serikali kama ilivyo Olympio.
Mkuu, sasa Kisutu kwa mfano, anasoma mtoto wa kutokea wapi kwa maana wahindi wanaokaa maeneo hayo watoto wao wote wamewapeleka katika shule za kihindi??..
 
Kuna majumba kibao ya National Housing na wanakaa waswahili. Sasa sijui wapeleke watoto wapi.
Inawesekana mleta mada ametumwa kwa personal interests
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…