peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
January hajawahi kufanikisha jambo lolote zaidi ya kupiga tuTanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
Hii picha pekee ndiyo inajitosheleza kabisa kuitumia, kwenye kutolea haya madai yako?Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
February kajipigia kwenye bwawa na sasa katuachia msala wa mafuta kwa kubuni njia za kijanja za uagizaji mafuta sasa tunaumiaExpansion joint hiyo, usichoelewa nini?
Kwanini hujuma Ustaadh?Kuna member hapa anaitwa @poisonous ...alisema hii hujuma itatokea....
Huyu alimaliza kila kitu. Lakini swali, kwa Sa100 alimuamini Makamba?Kuna member hapa anaitwa @poisonous ...alisema hii hujuma itatokea....
Hizi ni expansion joint 😂😂Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
Hapo utaambiwa ni expansion joint kama zile za bweni la magufuli.Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
Mkandarasi ni nni?Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea.
Na amesema kabisa huko mbeleni litaanza kuwa linabomoka sehemu sehemu, na serikali na mkandarasi watatoa sababu kuwa asili/nature ya mwamba uliopo pale, hauhimili ukuta huo. Na ndio ndoto ya Umeme nafuu itakuwa imeingia gharama.Huyu member anaitwa vikingX ...alisema hapa hujuma kuhusu bwabwa la Nyerere miezi kadhaa nyuma