Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi ukitaka uishi vizuri usifikirie chochote kuhusu uongoz aisee. Nakumbuka thaman iliyojengea chuo cha Dodoma ungeweza kujenga vitatu. Lori la cement au nondo linaingiza nondo na kurud nazo inaandikwa nondo zimeingia tayar.Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.
Hii picha inajielezea.
View attachment 2743927
Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage
Unaogopa?😅Wewe mweka mada uwe na adabu swala la kuliwa umeliwa wewe! Komamanga mkubwa wee!.
Arab contractor.Mkandarasi ni nni?
Hatariiiii 😢😰😫Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.
Hii picha inajielezea.
View attachment 2743927
Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage
Ndio kuliwa tenaUnaogopa?😅
Ni hatari🤣Ndio kuliwa tena
Yes, kutoka Misri, nimekumbuka. Of all expertise around the world mkamuona mwarabu.... kweli mwarabu?Arab contractor.
Maswali ya kitotoKwahiyo huo ukuta hilo ndio bwawa?
We unapendaNi hatari🤣
Ndio,Mwarabu na kanzu yake😅😅😅Yes, kutoka Misri, nimekumbuka. Of all expertise around the world mkamuona mwarabu.... kweli mwarabu?
Hapana kabisa ..W
We unapenda
Ni expansion joint hiyo [emoji23]Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.
Hii picha inajielezea.
View attachment 2743927
Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage
Haya tuliza komwe mama...😅Hapana kabisa ..
Isije ikawa mmepiga bomu tuTanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.
Hii picha inajielezea.
View attachment 2743927
Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage