Bwala la kufua umeme la Mwl. Nyerere, limeanza kutoa nyufa
Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.

Hii picha inajielezea.

View attachment 2743927

Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage
Can you prove kwamba hiyo picha imepigwa kwenye hilo bwawa?

Kwahiyo Kwa kuona nyufa tumeliwa

Kuna any analysis ya why nyufa zipo?
 
Hii picha pekee ndiyo inajitosheleza kabisa kuitumia, kwenye kutolea haya madai yako?
Kwenye hili hata mimi sipo pamoja na hii timu pingapinga, hauwezi ukaleta kipandw za picha tu like that na tuka kuelewa never ever 😂🤣
 
Ngoja Biteko naye aupige mwingi.
Nini mnataka waupige wale wale tu/*-+
 
Watu ukiwaambia wanadhani utani, na hapo bado , hilo bwawa wanapanga kulilipua kwa mabaruti kwenye kingo zake ,waseme limezidiwa , huu ni mwanzo wa usaliti mkubwa unaoendelea serikalini

Ni akina nani hao wanaofanya mipango ya uhujumu? Wataje Mkuu. Hii Nchi hovyo sana hao tunaowaita Wazee wa intelligence yamekaa kufatilia wapinzani tu, na akina nyangali mdude, mwambukusi na dr Silaa!! Mambo ya msingi yanayogusa maisha ya kila mtanzania yanapiga usingizi wa pono!! Ujinga kabisa huu. Hivi jeshi liko wapi wachukue hii Nchi!! Hata miaka 5. Inatia hasira sana!!! [emoji36][emoji36][emoji36]
 
Ni akina nani hao wanaofanya mipango ya uhujumu? Wataje Mkuu. Hii Nchi hovyo sana hao tunaowaita Wazee wa intelligence yamekaa kufatilia wapinzani tu, na akina nyangali mdude, mwambukusi na dr Silaa!! Mambo ya msingi yanayogusa maisha ya kila mtanzania yanapiga usingizi wa pono!! Ujinga kabisa huu. Hivi jeshi liko wapi wachukue hii Nchi!! Hata miaka 5. Inatia hasira sana!!! [emoji36][emoji36][emoji36]
Hakuna anayefuatilia nyagali zaidi ya wafuasi wake

Ile ni metal case

Ilishaharibika long time
 
Watu ukiwaambia wanadhani utani, na hapo bado , hilo bwawa wanapanga kulilipua kwa mabaruti kwenye kingo zake ,waseme limezidiwa , huu ni mwanzo wa usaliti mkubwa unaoendelea serikalini
....wakilipua watafaidika vipi ?
 
Trillions 11 zimeenda hivyo
Tuna shida kubwa sana ya negativity nchini mwetu

Bahati nzuri ni wachache mko hivyo

With all the progress made…. Mmetafuta negative ili mpate amani ya mioyo yenu

Kweli shida yetu ni unyani
 
Tuna shida kubwa sana ya negativity nchini mwetu

Bahati nzuri ni wachache mko hivyo

With all the progress made…. Mmetafuta negative ili mpate amani ya mioyo yenu

Kweli shida yetu ni unyani
Acha kutetea upumbavu wewe ,nchi zilizoendelea unafungwa kabisa muhandisi na waziri wako. Umepewa trillions 11 ujenge project hata haijaisha imeanza kupasuka. Ilibidi ukuta uvunjwe na msimamizi utajenga Kwa hela Yako na sio Hela wa walipa Kodi.


Be serious Fisadi nyie
 
Acha kutetea upumbavu wewe ,nchi zilizoendelea unafungwa kabisa muhandisi na waziri wako. Umepewa trillions 11 ujenge project hata haijaisha imeanza kupasuka. Ilibidi ukuta uvunjwe na msimamizi utajenga Kwa hela Yako na sio Hela wa walipa Kodi.


Be serious Fisadi nyie
Una uhakika na crack unayoitaja?
 
Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.

Hii picha inajielezea.

View attachment 2743927

Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage
Likijazwa maji tope litaziba hizo nyufa, haina shida.
 
Wapo watakaosema hizi taarifa ni za chuki.

Mimi nasema hilo nyufa ndiooo lileeee la Bwawa wanaoogelea mabwana wa C C M...subiri ni kidogo tu...watatoka humo wakinyosheana vidole....

...na bandarini wataja sema kina cha maji bado ni kifupi, kwamba, mkandarasi hakuchimba kwa kina walichokubaliana....

....au ipo kwenye ilani?
 
Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.

Hii picha inajielezea.

View attachment 2743927

Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage
BWALA LA MWALIMU NYERERE?
Tanzania, TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba, bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela, mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi.

Hii picha inajielezea.

View attachment 2743927

Kuna ufa wing ya kulia ya Bwawa. Ufa umetokea kwenye construction joint kati ya blocks na zege. Sababu ni shrinkage
Lipo wapi Hilo BWALA?
 
Screenshot_20230910-204343.jpg
 
Sitashangaa zinahitajika robo tatu ya pesa zilizoshatumika ili kufanya ukarabati utakaochukua muda wa kutosha...; Na uzuri wa hili sehemu za kupeleka lawama ipo wazi (Yule ambaye alikuwa hafanyi Maintenance kipindi kile umeme haukatiki kama sasa) Sijui kwanini hakuwa kazi hawa wafanya maintenance na kukuta umeme kila kukicha...

Things are Falling Apart...
Very sad 😢
 
na mimi nilitaka kushangaa, tangu lini mwarabu akwa injinia mzuri. sasa hapo watafanyeje, wabomoe lote waanze kujenga upya? au wasubiri lije litawanye maji? wana uhakika walichanganya mchanga na kokoto vya kutosha au waliuza cement?
 
Back
Top Bottom